Achomoke mara ngapi?NECTA wakiweka taaluma yao mfukoni, Hapo ndipo DAUDI BASHITE atafanikiwa kwenye nia yake hii ovu.
Otherwise itakuwa ni ngumu sana BASHITE kuchomoka kwenye hili!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achomoke mara ngapi?NECTA wakiweka taaluma yao mfukoni, Hapo ndipo DAUDI BASHITE atafanikiwa kwenye nia yake hii ovu.
Otherwise itakuwa ni ngumu sana BASHITE kuchomoka kwenye hili!
Umewasiliana naye au?Mods hii kitu sio ya kweli tunaomba ifutwe
Watapewa pipi na maji na kama wanakisukari mwafaaKiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
nimejikuta tu nimeipenda hii sentenceUkweli una tabia ya kupanda ngazi !
La saba oyeeeeHakika huyu ni mwana kipenzi wa mfalme.
Kwahiyo ameandaa list ya watu wa kwenda kuhojiwa.
Na watu hao 'wameshajiandaa' kuhojiwa.
Hawa watu waache kutufanyia maigizo,huu ni upotevu wa rasilimali.
Mmeanza kumwambia atoe vyeti lini? Kwahiyo mpk atoe vyeti ndio mthibitishe? Hivi mnategemea ajichome kisu mwenyewe kama kweli amefoji? Akili yenu ndogo sana.Yote hayo ya nini siaweke vyeti mezani
Mbona ameshakataa siku nyingi hamna plan b?Eti mateja ndio wamuombee msamaha, haiwezekani atoe vyeti!!
La saba oyeeee
Nalog off
Kwahiyo mnategemea makonda atajichoma kisu mwenyewe kama kweli amefoji?kaka yupo anaogopa kujitokeza, inawezekana alishapigwa beat, yupo tabora ni mtangazaji wa redio 1, anajua akijitokeza bado vibano vitawageuka wote wa2
AsipowekaIli kuokoa muda na kuwafanya hao waandishi wa habar kuendelea na majukumu mengine n kuweka vyeti tu.
Hataki kwa sab ni muda mrefu sasa tokea mmeanza kumtaka afanye hivyo. Tafuteni plan bHaihitaji waandishi kwani hana vyeti?
Si avioneshe....
Umewahi kumuuliza?Njaa itakuponza ww! Kifupi mimi nimesoma Azania Sec O' mpaka A' level mwaka naujua mwenyewe na baadaye UDSM leo ukiniuliza Walimu wa pale Azania kuanzia Mchwampaka, Christian, Kwayu (Head Master), Matrey, Sanga, Amrani,na yule Refa aliyekula mpunga wa Azam waifunge Yanga, Primus, na Wanafunzi Sebastian Ndege, Bob Leo, Chief wengine wengi. Sasa muulize Bashite Akutajie angalau Walimu wanne wa shule anakodai alisoma kama hajaanza kupiga yowe la kilio kama mtoto anayelilia ziwa la mama yake