Hili jambo la rc linanipa tabu sana, nguvu kubwa inayotumika inatia shaka. Lkn pia najiuliza mbona hakuna wadau anayejitokeza kusema kasoma na Makonda au Bashite?, je hawa watu walisoma peke yao tena angani?, je walimu wao washakufa wote?, mbona hawajitokezi? au tuseme hawako ktk dunia ya mitandao?.