Waandishi wa Michezo Tanzania wachukia kutumika kuleta Hamasa Taifa Stars na baadae Kunyanyasika Viwanjani na TFF Ofisini

Waandishi wa Michezo Tanzania wachukia kutumika kuleta Hamasa Taifa Stars na baadae Kunyanyasika Viwanjani na TFF Ofisini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Wakitaka tuwasaidie kuleta Hamasa kwa Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) huwa wanatunyenyekea ila tukimaliza tu Kuwatangaza na Kuhamasisha Watanzania na Kujikita katika Majukumu yetu ya Habari wanaanza Kutudharau na hata Kutunyanyasa.

Jana baada ya Taifa Stars Kufungwa na Uganda Waandishi wa Habari tulitaka Kumhoji Kocha Mkuu wa Taifa Stars tukafukuzwa Media Center Mkapa Stadium huku Msemaji wa TFF nae Clifford Ndimbo akija na Kutuambia tuuchune na Meneja wa Taifa Stars Nadir Haroub Cannavaro nae akitusukuma Kibabe Waandishi wa Habari za Michezo" amesema Mtangazaji wa Sports Headquarters ya EFM Abdulrazaq Majid muda mfupi uliopita katika Kipindi chao cha Michezo cha Asubuhi hii.

Mtizamo wangu Kwenu Waandishi wa Habari za Michezo nchini Tanzania kwa mnayofanyiwa na mliyofanyiwa kwa Unafiki, Ujuha wenu na Kutumika Kwenu Kipumbavu GENTAMYCINE naomba mzidi Kunyanyasika huko na hata Kupigwa ikiwezekana kwani nyie ndiyo Sumu ya Maendeleo ya Soka la Tanzania kwa Uandishi na Utangazaji wenu wa Kiunazi na Kinafiki.

Hovyoooooooo......!!!!!!
 
1. Wengi wanafkii
Unafkia performance za wachezaji wakati wapo form na wakati wanapitia vipindi vigumu
eg. Watakuponda wakati wa vipindi vigumu na kukumwagia sana sifa ukiwa form
eg.
Chama - mchezaji slow/konokono
Lomalisa - Yanga mmepigwa Hamna beki hapo
Aziz Ki

2. Wengi wafitinishaji
eg.
Ishu ya Yanga na Fei
Muwekezaji Mo na Simba
Makipa waliotunguliwa na Aziz Ki
  • Kipa Ahmada Azam
  • Kipa Namungo
  • Kipa Mtibwa

3. Wengi uwa-frustrate wachezaji kipindi wanapitia wakati mgumu wa form za viwango vyao na ivyo kuwapa wakati mgumu sana wachezaji ku-regain form
eg.
Mwamnyeto
Kibu D
 
1. Wengi wanafkii
Unafkia performance za wachezaji wakati wapo form na wakati wanapitia vipindi vigumu
eg. Watakuponda wakati wa vipindi vigumu na kukumwagia sana sifa ukiwa form
eg.
Chama - mchezaji slow/konokono
Lomalisa - Yanga mmepigwa Hamna beki hapo
Aziz Ki

2. Wengi wafitinishaji
eg.
Ishu ya Yanga na Fei
Muwekezaji Mo na Simba
Makipa waliotunguliwa na Aziz Ki
  • Kipa Ahmada Azam
  • Kipa Namungo
  • Kipa Mtibwa

3. Wengi uwa-frustrate wachezaji kipindi wanapitia wakati mgumu wa form za viwango vyao na ivyo kuwapa wakati mgumu sana wachezaji ku-regain form
eg.
Mwamnyeto
Kibu D
Uko sahihi kabisa, hata sijui Kwa nini nafasi ya Canavaro asipewe Nyoso ili awanyooshe.
 
"Wakitaka tuwasaidie kuleta Hamasa kwa Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) huwa wanatunyenyekea ila tukimaliza tu Kuwatangaza na Kuhamasisha Watanzania na Kujikita katika Majukumu yetu ya Habari wanaanza Kutudharau na hata Kutunyanyasa.

Jana baada ya Taifa Stars Kufungwa na Uganda Waandishi wa Habari tulitaka Kumhoji Kocha Mkuu wa Taifa Stars tukafukuzwa Media Center Mkapa Stadium huku Msemaji wa TFF nae Clifford Ndimbo akija na Kutuambia tuuchune na Meneja wa Taifa Stars Nadir Haroub Cannavaro nae akitusukuma Kibabe Waandishi wa Habari za Michezo" amesema Mtangazaji wa Sports Headquarters ya EFM Abdulrazaq Majid muda mfupi uliopita katika Kipindi chao cha Michezo cha Asubuhi hii.

Mtizamo wangu Kwenu Waandishi wa Habari za Michezo nchini Tanzania kwa mnayofanyiwa na mliyofanyiwa kwa Unafiki, Ujuha wenu na Kutumika Kwenu Kipumbavu GENTAMYCINE naomba mzidi Kunyanyasika huko na hata Kupigwa ikiwezekana kwani nyie ndiyo Sumu ya Maendeleo ya Soka la Tanzania kwa Uandishi na Utangazaji wenu wa Kiunazi na Kinafiki.

Hovyoooooooo......!!!!!!
walimksi kufungwa tuwasamehe tu
 
Back
Top Bottom