Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Hao ni vijana wa CDM - CCM hawawezi kufanya vitendo hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuhitaji Tanzania, tunataka Tanganyika yetu.Sisi ndiyo wenye nchi bila CCM hakuna Tanzania. CCM imejaa wazalendo na chini ya Dkt Samia ni imara zaidi.
Huo ni mchezo wa CCM wa miaka yote, na ikifika nyakati za chaguzi hufanya mambo hayo kwa uwazi zaidi. Na mara zote hufanya hivyo kwa kushirikiana na vyombo vya dola.Hao ni vijana wa CDM - CCM hawawezi kufanya vitendo hivyo
Bado huna akili kabisa!Hilo gaidi lenu ndiyo lina akili ya kuua watu tu? Mkome kabisa. Na kesho limkutano lenu linabuma hakuna wa kuja kusikiliza ujinga
Bibi yako huyo kwanini anauza nchi?Hilo gaidi lenu ndiyo lina akili ya kuua watu tu? Mkome kabisa. Na kesho limkutano lenu linabuma hakuna wa kuja kusikiliza ujinga
Wqjitesa mwenyewe....Nitakutesa sana, na bado.
Wanufaika wa lile shetani lazima walisifu tuHuyu shetani jiwe ndiye mwanzilishi wa ushetani unaofanywa na uvccm.
Kwahiyo kumsifia jiwe kwa kukataza mikutano ya hadhara kunahitaji mtu uwe kichaa ambaye hujaanza dozi.
Green gadi aka Wagner wameisha fanya yao,hivi kama mkataba ni mzuri kuana ajagani ya kuzua watu kujadili?Waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Fortune Francis, Sunday George na dereva wa kampuni hiyo, Omary Mhando wamejeruhiwa baada ya kupigwa na kundi la vijana ambao hawajafahamika wa chama gani wakati wakitekeleza majukumu ya katika Uwanja wa Buriaga, Temeke jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo limetoekea leo Jumamosi, Julai 22, 2023 wakati walipokwenda kuangalia maandalizi ya mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Chadema unaotarajia kufanyika kesho Jumapili.
Mbali na kujeruhiwa kwa waandishi hao na dereva, pia wameibiwa simu za mkononi pamoja na gari kuharibiwa kwa kuvunjwa vioo.
Tayari uongozi umeripoti tukio hilo Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kama hatua ya awali wakati taratibu zingine za kiofisi zikiendelea.
Wameripoti MwananchiView attachment 2696294