Waandishi washambuliwa Ngorongoro huku Mbunge akihusishwa katika tukio hilo

Waandishi washambuliwa Ngorongoro huku Mbunge akihusishwa katika tukio hilo

Denis Msacky,
Duh!! Suti nyeusi bado hawajambadilishia majukumu hadi sasa? Miaka 15 now, naikkumbuka kazi moja ilikua gumzo sana nchini Tanzania. Nadhani hapo ndiyo walianza kum drag in Mzito Mkabwela, huyu Msaki ndiye alianza kuchezesha
 
Kuna mambo mengine ni sisi media tunajitakia!, unless umekwenda kwenye IJ, ndio unakwenda incognito, lakini ukienda mahali popote wewe ni Mgeni hapo, pays a courteous call to authorities, eleza nia yako, kisha endelea na kazi yako, no one will touch you!.
P
Kaka siyo kwamba hawajui ila Hawa MACHAWA wanaotengeneza stori za afu lela u lela Ili kumfurahisha mwenye enzi Ili ionekane duniani kwamba wamasai wanahama Kwa hiari yao, yaani sasa hivi ukiongea utopolo weye kuonesha UCHAWA utafumuliwa hata prof ASSAD anajua
 
Tumesema tulipofika ni pazuri sana
Na bado…
Mmejichimbia kaburi wenyewe
Tuendelee
Pascal Mayalla
Mkuu tupo pamoja 🤪
I meant: Wanaojichimbia kaburi ni waimba pambio kusifu na kuabudu na waimba taarabu za dp welidi na wafungua kesi
 
Onyo kwenu waandishi wa habari mnaotumika kupotosha maumivu ya Wananchi, mtapigwa tuu huu ndio mwanzo.
Kumbukeni Maulid Kitenge na Oscar Oscar walipotumika mission hii ya Ngorongoro kupotosha wakiwa wamepewa malipo makubwa kisha wanatumbua kwa kusafiri duniani huku wamaasai wakisota ndani ya nchi yao kwa kusagwa kama ng'ombe ili mwarabu afanye yake Ngorongoro.
Kwa kweli sasa wapigwe tuu, maana waandishi ni watu muhimu kwa kueneza ukweli na sio kupotosha ila hawa wamekubali kutumika wakubali na kipigo. Hata hawa wa DPW na wapewe haki yao wakipotosha
 
Hao morani sema wamefeli wapi yaan mpo 200 mshindwe kuua watu watano?🤔🤔 Bladifaken kbs, next time wachinjeni kbs tumieni vifaaa vyao kurusha live hlo tukio
 
Kuna mambo yanakera sana sana, mnajifungasha huko mnapewa perdiems na marupurupu kwenda kuwarubuni wananchi wa Ngorongoro!

Mwandishi wa habari tangu Lini akawa muelimisha Jamii? Why tunaingilia KAZI za watu? Tamaa mbaya saaana, haya mmevuna mlichokipanda.

Mchange.png
Ngorongoro.jpg
 
Back
Top Bottom