mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kichapo tu kitawafaaaNa hando
Kuna watu wanacheza na maisha ya
Wenzao
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichapo tu kitawafaaaNa hando
Kuna mambo yanakera sana sana, mnajifungasha huko mnapewa perdiems na marupurupu kwenda kuwarubuni wananchi wa Ngorongoro!
Mwandishi wa habari tangu Lini akawa muelimisha Jamii? Why tunaingilia KAZI za watu? Tamaa mbaya saaana, haya mmevuna mlichokipanda.
View: https://twitter.com/MariaSTsehai/status/1691549136854597643?t=PECXdHbXKn_hmz38HK12-Q&s=19View attachment 2718672View attachment 2718673View attachment 2718673View attachment 2718674
Ni sehemu ya kazi yao madamNdo waache umbeya, walikwenda fuata nini huko?
SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WA CRISDA RODRIGUEZ KITANDANIEe Mungu turehemu waja wako tunakusihi, yote haya ni matokeo ya kukuasi wewe kwa tamaa za kitambo tu za kuwaza anasa na mali za dunia hii na kupelekea mafarakano miongoni mwetu.
Wana bahati wangewaua kabisaa wasaliti kama hao. Waandishi makanjanja kama hao wanao tumika na Dp world mimi nasema muwapige tuu popote wakijitokeza kuleta urongo wao. Taifa limevamiwa yenyewe yanapewa bahasha kuzurula kushabikia uvamizi wa waarabu.Mkurugenzi wa Gazeti la Jamvi la Habari Habibu Mchange na waandishi wa habari wapatao sita wamevamiwa na kundi la Vijana wa kimasai na kujeruhiwa vibaya walipokuwa wakifanya mahojiano na wananchi wanaotaka kuhama kwa hiyari kutoka ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.
Baadhi ya waandishi wa habari waliojeruhiwa katika mashambulizi hayo katika kijiji cha Endureni wilayani Ngorongoro ni Denis Msacky, Ferdinand Shayo. Akizungumza na Jambo TV ndugu Habib Mchange amemtuhumu Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro Mhe. Emanuel Oleshangai kuratibu mashambulizi hayo ambapo.
Jambo TV imefanikiwa kuzungumza na Mbunge Oleshangai kuhusiana na tuhuma za kuratibu mashambulizi hayo kwa wanahabari ambapo amekanusha vikali kuhusika na uhalifu huo huku akisema hana sababu ya kuratibu mashambulizi kwa wanahabari hao.
Oleshangai amesema Endureni ni kijijini kwake na aliwaona hao waandishi wa habari wakiwa mnadani wakiwakusanya watu kwa ajili ya kuzungumza nao huku yeye na viongozi wengine akiwemo Mwenyekiti wa CCM wakila nyama na baadae akaondoka kurejea nyumbani kwake.
Oleshangai amesema alipofika nyumbani kwake ndio alipata taarifa ya kutokea kwa fujo hizo hivyo hahusiki nazo.
============
Mchange si ndio wale wenye takataka yao wanaiita Jamvi la habari?Akina Mchange wako Mwananchi?!
Mimi nasikitika tu ni kwa nini Maulid Kitenge hakuwemo kwenye huo msafara?Wana bahati wangewaua kabisaa wasaliti kama hao. Waandishi makanjanja kama hao wanao tumika na Dp world mimi nasema muwapige tuu popote wakijitokeza kuleta urongo wao. Taifa limevamiwa yenyewe yanapewa bahasha kuzurula kushabikia uvamizi wa waarabu.
Situliambiwa wananchi waliobaki Ngorongoro wa naomba kuhamishwa? Imekuweje tena?Kuna mambo yanakera sana sana, mnajifungasha huko mnapewa perdiems na marupurupu kwenda kuwarubuni wananchi wa Ngorongoro!
Mwandishi wa habari tangu Lini akawa muelimisha Jamii? Why tunaingilia KAZI za watu? Tamaa mbaya saaana, haya mmevuna mlichokipanda.
View attachment 2718701View attachment 2718702
"Watetezi" wa haki za binadamu mbona siwasikii kwenye hili?Mkurugenzi wa Gazeti la Jamvi la Habari Habibu Mchange na waandishi wa habari wapatao sita wamevamiwa na kundi la Vijana wa kimasai na kujeruhiwa vibaya walipokuwa wakifanya mahojiano na wananchi wanaotaka kuhama kwa hiyari kutoka ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.
Baadhi ya waandishi wa habari waliojeruhiwa katika mashambulizi hayo katika kijiji cha Endureni wilayani Ngorongoro ni Denis Msacky, Ferdinand Shayo. Akizungumza na Jambo TV ndugu Habib Mchange amemtuhumu Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro Mhe. Emanuel Oleshangai kuratibu mashambulizi hayo ambapo.
Jambo TV imefanikiwa kuzungumza na Mbunge Oleshangai kuhusiana na tuhuma za kuratibu mashambulizi hayo kwa wanahabari ambapo amekanusha vikali kuhusika na uhalifu huo huku akisema hana sababu ya kuratibu mashambulizi kwa wanahabari hao.
Oleshangai amesema Endureni ni kijijini kwake na aliwaona hao waandishi wa habari wakiwa mnadani wakiwakusanya watu kwa ajili ya kuzungumza nao huku yeye na viongozi wengine akiwemo Mwenyekiti wa CCM wakila nyama na baadae akaondoka kurejea nyumbani kwake.
Oleshangai amesema alipofika nyumbani kwake ndio alipata taarifa ya kutokea kwa fujo hizo hivyo hahusiki nazo.
============