MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #81
Huwaga hatufuatilii nyie ,wew unaumia mda huo Marekani dini inasambaa kwa kasi 😂😂watu wanajua ukweli..
Hata vita ya dunia kama pangekuwa na taifa la kiislamu ungesema ila waliopigana wote wanajulikana ,hakuna muislamu anaweza kuzungumzia wakristo ndio wamepigana kwa vile hatuna time ni nyie na chuki zenu...Kutwa mpo Dubai !
Sijaelewa hapa umeandika nini, uislamu kusambaa kwa kasi wala sio jmbo jipya maana mlishatabiriwa, hizi enzi Wakristo wengi watashindwa kuvumilia na kujiunga kwenye maushetani yote yakiwemo freemazon, illuminati, uislamu na mengine yote, yaani kwa sasa shetani anapambana kwa nguvu zote maana muda wake umeisha.
Wakristo watachinjwa sana kama ilivyotabiriwa na tumeshuhudia waislamu wakichinja Wakristo, hivyo hamna jipya hapo.