Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Usikimbie kwani kwenye biblia dola ya wayahudi ilimalizwa na nani hadi wakaenda utumwani miaka maelfu?
Hao Babylonia walivamia Jerusalem mwaka 587 kabla ya kristo na wakauteketeza mji wakaondoka na wayahudi. Sasa sijui kwa definition yako watu wakutoka Iraq/Syria ya miaka hiyo ni waarabu au sio waarabu?
Kwahiyo Biblia inaposema wayahudi walitandikwa hadi wakatekwa kupelekwa Babylon ya kale na Assyria walikua wanadanganya?
Kudanganyana huku. Huyo Yahudi mwenyewe kaja miaka baada ya Ibrahim.Kwema Wakuu!
Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.
Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.
Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.
Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.
Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.
Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu
Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.
Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone
Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.
Mlale unono
Unaongea kitu ambacho hujui ,yaani chukulia mfano wa juzi tu kabla ya viata ya pili ya dunia 1945, wayahudi hawana nguvu ya kupigana kama wangekuwa kweli wanayo nguvu wangempiga Adolf Hitler, wale pale n wazungu ili wapo jewish rab ndani ya ile nchi hata iran wapo .
Hitler tu kaua zaidi ya milion 6 ya wayahudi 😀 😀 .
SIx days war imepigwa 1967 baada ya wazungu kuwa miongoni wa wengi katika taifa lile .Pia, jaribu kuunganisha historia hayo mataifa mengi ni ya juzi haypo kwenye maandiko , ukienda kimaandika hata Iran ni miongoni mwa jews.
Narudia tena wale ni wazungu , wayahudi wameteswa wakiwa hawana ngvu miaka ya 1940 walikuwa bado dhaifu hawana muelekeo ...Yule Netanyhulu ni settler kutoka poland ndio amekaza pale ...Wayahudi wanaish vzuri na jamii za pale sio hawa wazungu
Kudang
Kudanganyana huku. Huyo Yahudi mwenyewe kaja miaka baada ya Ibrahim.
Wayahudi wapi labda ? Hawa wakina Netanyuhlu sio wayahudi ....Hao ambao Hitler aliua zaidi ya million 6 tena miaka ya juzi hapa 1940 ....Wayahudi halisi hawana nguvu yoyote ndio maana walikuwa kama wakimbizi ...Hao unawaona ni settlers wana asili ya uzungu .Waarabu wamekuja lini?
Wayahudi ndio Waebrania wenyewe yaani watoto wa Ibrahim
Wayahudi wapi labda ? Hawa wakina Netanyuhlu sio wayahudi ....Hao ambao Hitler aliua zaidi ya million 6 tena miaka ya juzi hapa 1940 ....Wayahudi halisi hawana nguvu yoyote ndio maana walikuwa kama wakimbizi ...Hao unawaona ni settlers wana asili ya uzungu .
Wayahudi hawana nguvu kama unavyfikria ile ni offshore europe , kwani huoni wanashiriki EUFA?Kuwa na asili ya uzungu haimuondoi mtu kuwa Myahudi.
Kuna Wayahudi wenye asili ya kiafrika, wapo wenye asili ya kiarabu, wapo wenye asili ya kizungu. Wote ni Wayahudi.
Musa alizaa na muafrika. Unataka kusema watoto wa Musa sio Wayahudi kwa sababu wanaasili ya kiafrika?
Wayahudi hawana nguvu wakati ndio jamii pekee ambayo inaweza ku-trace vizazo vyao mpaka kuumbwa kwa ulimwengu.
Wayahudi ndio jamii pekee ambayo mipaka na nchi yao haijachorwa na mtu isipokuwa Mungu wao.
Jamii zingine zote ikiwemo wazungu, waarabu, Wachina na Waafrika wote nchi zetu tumewekewa mipaka na ramani.
Ukitaka kujua Wayahudi Wana nguvu au hawana nenda hapo Mashariki ya Kati uwaulize.
Kwa huku huwezi kujua Tena usipojua historia ndio hujui kabisa
Unasema Wayahudi hawana nguvu wakati Dini zote kuu tatu ikiwemo waislam wameiba na kunukuu visa vya mayahudi
Ndio maana nilisha kwambia kuwa ww ni mweupe japo unajitia ujuaji mkuu.Ibrahim ni muebrania hajawahi kuwa Mkurdi
I
Wakurdi ni waarabu waliokuja huko baadaye
Mkuu uiburania sio asili bali ni kabila.Wake za Yakobo wote walikuwa watoto wa baba Mmoja Laban.
Ibrahim sio Muarabu, Ibrahim ni muebrania
Ayoub hakuwa muebrania wala Muarabu
Hakuna nabii Muarabu zaidi ya Muhammad
Watoto wengine wa Ibrahim walitoa mataifa mengine kama Wamidiani, waishmael, waedomu, n.k
Uebrania ulibaki kwa watoto wa Isaka na Yakobo
Ndio maana mpaka leo hii taifa linaloongea kiebrania ni Waisrael mpaka leo hii. Akiwemo huyo Benjamin Netanyau
Wanasema hivyo kwa sababu ya sheria za urithi za wakati huo.
Ibrahim alimrithisha Isaka badala ya Ishmael, na watoto wa Ketura.
Isaka akamrithisha Yakobo badala ya Esau.
Masuala ya urithi yanatolewa kisheria ma utashi wa mzazi.
Hivyo kuuliza hao wengine hawana HAKI hiyo ni ishu nyingine kwa sababu hata huku Afrika kulikuwa na tamaduni hizo.
Ndio maana nilisha kwambia kuwa ww ni mweupe japo unajitia ujuaji mkuu.
Kama vitabu vyote vya historia vinaonesha Ibrahim alikuwa mkurdi kutoka Iraq kabla ya kuhamia kanani ww ni nani mpaka ubishe mkuu?
Alafu kingine hakuna uhusiano kati ya waarabu na wakurdi ni jamii mbili tofauti kabisa.
Mkuu uiburania sio asili bali ni kabila.
Ibrahim ndo mwanzilishi wa kabila la kihebrania lakini hakuwa myahudi bali alikuwa na asili kikurdi.
Tatizo lako unachanganya kati ya asili na kabila hapa duniani hakuna asili inayo itwa waebrania bali kuna kabila linalo itwa waebrania.Lete hicho kitabu au andiko lolote hata ulilotunga wewe linaloonyesha Ibrahim alikuwa Mkurdi.
Ibrahim muebrania
Lugha alizozungumza, kiebrania na kiaramu.
Mwenyeji wa Uru ya ukaldayo (Iraq ya leo)
Aliyeanzisha taifa la Kiyahudi ambao mpaka leo wanaongea kiebrania.
Huyo Rais wa Misri yeye aliongea pengine kwa chuki, au kutokujua.Wayahudi hawana nguvu kama unavyfikria ile ni offshore europe , kwani huoni wanashiriki EUFA?
Hakuna ubishi wale sio asili , alishawahi kuuliza Rais wa Egypt akasema waliondoka weusi wakarudi weupe na hapo vita haitoisha ...Katika masimulizi na baadhi na ya kwenye biblia ni uongo kwa sababu majina hayana uhusiano wa pale mashariki ya kati .
Hakuna dini walianzisha hata ukitaka ushahidi tufungue vitabu , mayahudi walishindwa kufanya manipulation kweny Qur an ila biblia zamani sana ....Soma Qur an kwanza usiropke kwa story za jaba .
Dunia nzima ilimshtumu Hitler unajua kwa nn ? Kama ingekuwa ni waarabu unafikria wengepaza sauti
Wenzio mpaka leo hawana jibu la msikti wa pale jerusalem . Hitler alikuwa kama huyo Netanyhulu aliwatesa kaua wengi sana watu ambao walitaka kuleta Africa , nguvu wzitoea wapi ?
Rudi shule kidogo acha kukaririshwa na wachungajiKwema Wakuu!
Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.
Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.
Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.
Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.
Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.
Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu
Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.
Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone
Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.
Mlale unono
Tatizo lako unachanganya kati ya asili na kabila hapa duniani hakuna asili inayo itwa waebrania bali kuna kabila linalo itwa waebrania.
Rudi shule kidogo acha kukaririshwa na wachungaji
Keshapigwa tena sio mara moja
Adam alikuwa myahudi ? Uislamu umeeleza kila kitu kama unabisha kaangalie tofauti zao ..Huyo Rais wa Misri yeye aliongea pengine kwa chuki, au kutokujua.
Kwa wanaofuatilia historia ya Dunia wanajua kuwa Wayahudi walikimbia hapo Israel kipindi cha Dola la Rumi.
Wengine walikimbilia Afrika, wengine walikimbilia, Asia, wengine walikimbia Ulaya wengine Matekani.
Unaweza Kutoa simulizi yoyote ya kwenye Biblia ambayo ni UONGO inayowahusu hao Wayahudi. Wakati Biblia imefupisha hizo simulizi. Ukisoma vitabu vingine utaona kilchozungumzwa kwenye Biblia kuwahusu Wayahudi ni kidogo sana. Na hii ni ili kufanya kitabu kisiwe kikubwa
Uislam hauwezi kusimama bila Uyahudi. Robo tatu ya masimulizi ya Quran yanawahusu Wayahudi alafu useme uislam haujaanzishwa na Mayahudi.
Ni sawa na useme Ukristo hautokani na Mayahudi wakati robo tatu yote ya masimulizi ni Wayahudi.
Huyo Muhammad mwenyewe kwenye hiyo Quran ametajwa kidogo sana ukilinganisha na Mayahudi kama Yesu, Musa, Yusuph
Adam alikuwa myahudi ? Uislamu umeeleza kila kitu kama unabisha kaangalie tofauti zao ..