Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Uislamu una historia kamili, mayahudi hata wale Iran ni miongoni mwa makabila ya wayahudi ....Kumetajwa makabila hata waarabu wana makabila tofauti.Nani kasema Adamu alikuwa Myahudi?
Nimekuambia ukiwatoa Wayahudi kwenye Quran hicho kitabu kinabaki hakina maana yoyote Ile
unafeli ,unaulizwa harusi lini Au ushaoa?Ungejibu harusi bado Au Tayari ,Au Sijaoa.Unanitaka niwe mumeo?
Haya pata shule kidogo (source The times of israel)Lete huo ushahidi.
Uislamu una historia kamili, mayahudi hata wale Iran ni miongoni mwa makabila ya wayahudi ....Kumetajwa makabila hata waarabu wana makabila tofauti.
unafeli ,unaulizwa harusi lini Au ushaoa?Ungejibu harusi bado Au Tayari ,Au Sijaoa.
Binti angefunguka zaidi.
Haya pata shule kidogo (source The times of israel)
Ukisia shia ni mayahudi wote kiasilia ukifuatilia historia , wapo Arab jews , kuanzia Iran , yemen ndio maana hawa hawapatani na saudi hata baadhi ya taarifa ya vifo vyao waislamu wa saudia wanafurahi ....Kumbuka shia kashamdunda sana sunni ambao wengi ni Saudia, Oman, qatarWaajemi hawajawahi kuwa Wayahudi ila nakubaliana na wewe kuwa Kuna baadhi ya waajemi wanaasili ya uyahudi kutokana na intermarriage
Ni sawa ni kina MO hapa Bongo ni Watanzania wenye asili ya uhindi.
Uislam Hauna hiyo historia kamili. Ndio maana Kuna hadithi
Ukisia shia ni mayahudi wote kiasilia ukifuatilia historia , wapo Arab jews , kuanzia Iran , yemen ndio maana hawa hawapatani na saudi hata baadhi ya taarifa ya vifo vyao waislamu wa saudia wanafurahi ....Kumbuka shia kashamdunda sana sunni ambao wengi ni Saudia, Oman, qatar
Soma uelewe kilichotokea siyo unaleta ushabiki hilo ni gazeti la israel likielezea walivyopigwa hadi marekani akaingilia ,wewe upo mbagala unaleta hadithi zakoHiyo message ni sawa na miaka kumi ijayo iseme Hammas walishinda vita Oktober 7.
Kumshambulia adui na kuanzisha vita sio kushinda vita Mzee
Soma report kutoka american army press library wakiekezea israel alivyopigwa 2006 na hezbollahLete huo ushahidi.
Soma uelewe kilichotokea siyo unaleta ushabiki hilo ni gazeti la israel likielezea walivyopigwa hadi marekani akaingilia ,wewe upo mbagala unaleta hadithi zako
Soma uelewe kilichotokea siyo unaleta ushabiki hilo ni gazeti la israel likielezea walivyopigwa hadi marekani akaingilia ,wewe upo mbagala unaleta hadithi zako
Sasa hapo ndio utaelewa kwa nn kuna mgomvi wa sunni na shia , basi tambua shia wengi ni jews na ndio wababe pale sio wapole miongoni mwao ni Iran , hata saudia hawezi kuingia ...Ukiwaona wanatumia kitabu kimoja ila wapo tofauti kwa sababu wanachanganya dini na tamaduni zao ...Jaribu kuangalia mavazi ya viongoi wa Iran na saudi ndio utaona tofauti .Wapo waajemi wenye asili ya Uyahudi.
Wapo Waisrael hapo Israel wenye asili ya Uarabu.
Wapo Hammas wenye asili ya Uyahudi lakini hapa tunaangalia wengi wao ni kina nani.
Wapo Wayahudi waislam, wapo Wayahudi wakristo, wapo Wayahudi Wayahudi. Na wapo Wayahudi wapagani ambao ndio hao LGBT
Jews walipigana na wameshapigwa mara mbili na wao wenyewe wamekiri kama unavyoona kwenye source zao wenyewe ,sasa labda ukawasahihishe waisrael kuwaambia hawajawahi kupigwa sio mimiNdio Nikakuambia Waarabu hawawahi kumshinda Myahudi.
Kwenye Vita Kuna Alliance.
Jews Wana genge lao Vs waarabu na genge Lao.
Hao Marekani ni genge la Mayahudi kwa sababu wanazozijua wao.
MBULULA NI WEWE,NA KAFIRI NI WEWEHuna ulijualo..
Soma historia ili UJUE na uache kujidanganya na kudanganya mambulula wenzako..
Kwa kukusaidia tu, nenda ugoogle kitu kinaitwa RASHIDUN CALIPHATE, Hapa soma kwa nini wayahudi mpaka leo wanamchukia sana Mtume Muhammad (SAW).
Kwenye hii Rashidun Caliphate, pia msome sahaba/khalifa anaitwa Omar Al Khattab jinsi alivyoukamata mji wa Jerusalem kutoka kwa makafiri, pia tafuta ujue kwa nini Wayahudi mpaka leo hii wanamkumbuka na wanamuheshimu sana huyu mtu..
Halafu ukitoka hapo msome mtu anayeitwa Salahuddin Al Ayyubi, soma jinsi alivyoutwaa mji wa Jerusalem na jinsi alivyoulinda dhidi ya maadui wa kikafiri. Soma na jinsi alivyoteketeza kwa moto jeshi zima la makafiri walipotaka kuuchukua mji wa Jerusalem.
Soma uelimike uache kudanganya Mambulula wenzako..
Sasa hapo ndio utaelewa kwa nn kuna mgomvi wa sunni na shia , basi tambua shia wengi ni jews na ndio wababe pale sio wapole miongoni mwao ni Iran , hata saudia hawezi kuingia ...Ukiwaona wanatumia kitabu kimoja ila wapo tofauti kwa sababu wanachanganya dini na tamaduni zao ...Jaribu kuangalia mavazi ya viongoi wa Iran na saudi ndio utaona tofauti .
Katika waarabu Israel alichapwa na Egypt maana wote wana historia ndefu .
Jews walipigana na wameshapigwa mara mbili na wao wenyewe wamekiri kama unavyoona kwenye source zao wenyewe ,sasa labda ukawasahihishe waisrael kuwaambia hawajawahi kupigwa sio mimi
Hata hitler pia alichoma watu kama kuku haya mambo ni swala la muda tu , muda ni mwalimu mzuri sanaMara kadhaa Myahudi akikutana na Mmisri anakaa
Sawa.
Ila Muhammad mwenyewe anawaita watoa roho
Ibrahim originality yake 2015 BC ,ni Uru wa wakaldayo ambayo ni Iraq ya leo. Huko Iraq alikotokea, kwa sasa wanaishi nani, waarabu au ?Kwema Wakuu!
Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.
Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.
Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.
Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.
Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.
Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu
Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.
Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone
Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.
Mlale unono
Hata hitler pia alichoma watu kama kuku haya mambo ni swala la muda tu , muda ni mwalimu mzuri sana
Ibrahim originality yake 2015 BC ,ni Uru wa wakaldayo ambayo ni Iraq ya leo. Huko Iraq alikotokea, kwa sasa wanaishi nani, waarabu au ?
Achana story za kijiweni, mtu kawachoma kama kuku hadi wakapoteana leo unaleta story za vijiwe vya bangi, embu mnapokuwa mnaongea humu ongeeni kama watu mlioenda shule sio vistory vyenu vya kudanganyana vijiweni na mnavyodanganywa na wachungaji wenuWayahudi ndio walimkalisha huyo Hitler
Yahudi humjui vizuri. Kamsome kwenye Quran n Hadithi za kiislam utamjua Yahudi ni nani hasa.