Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #101
Achana story za kijiweni, mtu kawachoma kama kuku hadi wakapoteana leo unaleta story za vijiwe vya bangi, embu mnapokuwa mnaongea humu ongeeni kama watu mlioenda shule sio vistory vyenu vya kudanganyana vijiweni na mnavyodanganywa na wachungaji wenu
Mtu ambae anapigana na mgambo mwaka mzima na kashindwa kumaliza vita wala kuwaokoa mateka unaona anaweza kitu gani, maana kieneo chenyewe ni kama kijiji tu na kashindwa kuwapata mateka zaidi ya 200 sasa anaweza kitu gani , aishukuru tu jumuia za nchi za magharibi kwa kumsaidia ila ni mweupe sana
Wewe ndio hujui hayo mayahudi ni nani
Kama ungejua Wayahudi ni nani ungejua sababu ya Hitler kuwaua zaidi ya milioni 6.
Sasa mwambie Iran mwenye Jeshi aingie uone vyuma.
Kina China,Russsia na mataifa makubwa yajua Mayahudi ni kina nani wewe na Waarabu ndio hamuelewi kwa sababu madarasa madogo