Waarabu kuchukuwa fedha zetu za mafuta?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kama Waarabu wamepewa Bandari zote, ina maana bomba la mafuta kotoka Uganda linaloishia Tanga Port ambayo itakuwa chini ya Waarabu au mali ya Waarabu, fedha watachukuwa Waarabu?

Ina maana tutagawana na Waarabu faida ya mafuta? Ikumbukwe bomba la kutoka Uganda lita pump > 240 000 barrels kwa siku, hii ni zaidi ya mafuta wanayopump baadhi ya opec members, think abou it.

Hii ni vita Mwarabu, anabomb Somalia sababu ya Mafuta na Gesi.
 
Atakachofanya ni kuliteka soko,kwa kumwaga mafuta yake na kumhujumu mganda ili kusiwe na ushindani katika soko,kwani mganda akiuza sana mafuta yake mwisho yatarudia kwenye soko atakalokuwa ameliteka mwarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…