The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
- Thread starter
- #21
This dudes are serious with foodHawa jamaa kwenye kula hawana mchezo asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This dudes are serious with foodHawa jamaa kwenye kula hawana mchezo asee
Huyu idd naona aliipaniaaMashehe na ubwabwa utawaambia nini!
Wanayo hela ya mafuta kwahio wao kazi Yao ni kuuza mafuta na Kula tuu. Pesa kwao sio shida kubwa. Ndio maana waarabu weusi wengi huishia umasikini wanapojaribu kuiga maisha ya waarabu wa Asia. kwasababu hawa wa Asia wanakula kutokana na pesa inayopatikana na mafuta wakati huku kwetu hawana kituView attachment 1458560View attachment 1458561View attachment 1458562
Chini hapo ni wa Bangladeshi Jamii yenye mrengo huohuo kama waarabu View attachment 1458564
Lakini bora wao, huku kwetu unywaji wa Pombe kwa kupokezana kile kilita, unasemaje? Maana kila mtu anaweka mdomowake pale.Wachafu Kama Nini [emoji21][emoji21][emoji21]
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk