Waarabu wa Algeria CR Beluizdad waomba kutumia uwanja wa Mkapa dhidi ya Mamelodi Sundowns

Waarabu wa Algeria CR Beluizdad waomba kutumia uwanja wa Mkapa dhidi ya Mamelodi Sundowns

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Kama taarifa ya TFF inavyojieleza hapo chini.​

FB_IMG_16139272061893148.jpg


Game itakuwa tamu sana hii, wabongo tukajivinjari kwa Mkapa siku ya mechi tarehe 28.02.2020 tukiwa na barakoa zetu.
 
Ni jambo jema.
Sasa sababu ni nini?
Mambo ya Corona na protokali za kila nchi zinatofautiana, kumbuka Afrika Kusini ndio inasemekana ina kirusi kipya cha Corona (new variant) ambacho wametuletea mpaka sisi, sasa waarabu wanawaogopa hao jamaa hawataki hata wakanyage kwao, sisi ndio shamba la bibi hatukatai watalii.
 
Mambo ya Corona na protokali za kila nchi zinatofautiana, kumbuka Afrika Kusini ndio inasemekana ina kirusi kipya cha Corona (new variant) ambacho wametuletea mpaka sisi, sasa waarabu wanawaogopa hao jamaa hawataki hata wakanyage kwao, sisi ndio shamba la bibi hatukatai watalii.
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sawa bhana
 
Mambo ya Corona na protokali za kila nchi zinatofautiana, kumbuka Afrika Kusini ndio inasemekana ina kirusi kipya cha Corona (new variant) ambacho wametuletea mpaka sisi, sasa waarabu wanawaogopa hao jamaa hawataki hata wakanyage kwao, sisi ndio shamba la bibi hatukatai watalii.
Hao waarabu wakishatoka hapa wanaenda wapi au timu inahamia babati!? Kwa wairaqy wenzao!?
 
Mambo ya Corona na protokali za kila nchi zinatofautiana, kumbuka Afrika Kusini ndio inasemekana ina kirusi kipya cha Corona (new variant) ambacho wametuletea mpaka sisi, sasa waarabu wanawaogopa hao jamaa hawataki hata wakanyage kwao, sisi ndio shamba la bibi hatukatai watalii.
Mkuu nimecheka kwamba sisi ni shamba la bibi.
 
Woga mtupu, kwani lazima aseme wameshauriana na serikali?
Serikali ndio mmiliki wa uwanja wa Mkapa, pía Serikali ndio mwenye mamlaka ya kuruhusu nani aingie nchini na nani asiingie

Swali langu ni je, wataruhusu mashabk kuingia uwanjani maana hao waarabu ndio wenyeji wa mchezo
 
Back
Top Bottom