Waarabu wa Algeria CR Beluizdad waomba kutumia uwanja wa Mkapa dhidi ya Mamelodi Sundowns

😂😂 Visit Tanzania yajibu
 
Sisi Wenye Nchi Tutaingiaa Bure au Tutalipia.Na Jezi je tunazipataje?. Mimi nakodisha kikundi cha kushangilia.asante.
 
Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria imependekeza kutumia uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar kwa ajili ya mchezo wao wa klabu bingwa Afrika(Caf Champions League) dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini Jumapili ya February 28. CR Belouizdad wamedai kuwa wamepata idhini kutoka TFF na sasa wanasubili maamuzi ya CAF kukubali mchezo huo kuchezwa Tanzania.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…