Waarabu wenye OG wanapiga msosi huku chui naye akiwa anapiga piga nao msosi maisha yanaenda

Waarabu wenye OG wanapiga msosi huku chui naye akiwa anapiga piga nao msosi maisha yanaenda

Chuki za kidini zinawapa upofu.

1. Huyo duma sio mbwa
2. Sio jambo akifanya muarabu ndio halali kwenye dini.
Wewe ndo umeleta chuki za kidini. Kuna mtu ametaja Dini hapo? Muwe mnatumia akili na elimu duniya inasaidia.
 
Mnafeli kuwashambulia waarabu kumbe wote sio waislamu na hayo kama kweny dp yako ni mavazi tu ...Just imagine kama kungekuwa na filamu yenye picha Mtume ,ni jinsi gani mngeandaa vibonzo vya matusi.

Inaweza hata mfalme wa saudia pia asiwe muislamu kwa sababu viongozi wa kiislam wapo msikiti wa Meccah .

Wakifanya hivyo unawasifia kwa kuuponde uislam ,ukisikia mdada wa kazi kauliwa bado utatuka waislamu tena. WE NI MKRISTO USIYEJIAMINI BASI INSTEAD YA KUFUNDISHA YA DINI YAKO UNAPOTEZA MUDA KUFUATILIA YA WENGINE.

Italy yote sio wakristo ila pale Vatican ni sehemu patakatifu kwa imani yao kama ilivyo meccah.
Kwa wanyama ambao hawaruhusiwi ni kwamba hawapo kabisa katika mji kiislam ,huwezi kuingia kwa namna yoyote ile.​
Dogo kuna sehemu imetajwa Dini yoyote hapo? Mnafail sana kujishuku na kukosa common sense. Mna inferiority complex to the highest stage.
 
Dogo kuna sehemu imetajwa Dini yoyote hapo? Mnafail sana kujishuku na kukosa common sense. Mna inferiority complex to the highest stage.
Dogo tuliza kalio , hauna kazi za kufanya mpaka ufautilie mambo ya wengine.
 
Waarabu wenye OG wanapiga msosi huku chui naye akiwa anapiga piga nao msosi maisha yanaenda.

Ungekuta huku kwetu akiguswa na Mbwa anakimbia kwenda kunawa utadhani wa maana. Hawa jamaa si tu huyu kawagusa. Wanakula naye msosi.

Badala ya kuiga teknolojia na wawekeze huko utawakuta wanajiona wao ni Waarabu kuliko Waarabu, ni Wayahudi kuliko Wayahudi.
View attachment 3255582
You are a fool if you believe that is a "Chui"
 
Duma hanaga noma... hata huko mbugani huwa rafiki sana kwa watalii
 
Wakina Mbonde Wanagombania Dini Zao, Haa
 
Back
Top Bottom