Waarabuni hutumia Islam to colonize countries kama vile wazungu walivotumia Ukristo

Waarabuni hutumia Islam to colonize countries kama vile wazungu walivotumia Ukristo

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
  • Uislamu ni "Trojan-horse" wa ukoloni wa Kiarabu.
  • Mwanzilishi wa dini hiyo alikuwa Mwarabu.
  • Kitabu chao kitakatifu kiko katika lugha ya Kiarabu.
  • Lugha unayopaswa kujifunza na kutumia katika sala nayo ni Kiarabu.
  • Mwelekeo ambao unapaswa kuomba ni Uarabuni. (Ambao hata hivo hauko sahihi; Scientifically speaking, you can ONLY pray, facing Kaaba, if the earth is considered COMPLETELY FLAT)
Screenshot_20240103_154735_Gallery.jpg

Screenshot_20240102_131024_X.jpg

  • Maeneo matakatifu unayopaswa kutembelea na kuyapa heshima yako katika nchi za Kiarabu.
  • Wahusika wakuu unaopaswa kuwasifia ni Waarabu kiasilia.
  • Hadithi unazozitukuza ni za kuhusu Waarabu.
  • Kalenda yako iko katika Kiarabu.
  • Matukio na sikukuu zinahusu matendo ya kundi la Waarabu.
  • Sheria za nchi pia inabidi zitoke kweny kitabu chao(Sharia), bila kujali "Haki za binadamu"👇
Screenshot_20240102_135056_X.jpg

Swali....Kwa hiyo, kama Muhammad angekuwa hai leo, je, wangemuua pia?
  • Majina unayochagua kwa ajili ya watoto wako ni ya Kiarabu.
  • Hati ya ndoa iliyosomwa kwenye harusi yako ni ya Kiarabu.
  • Maombolezo kwenye mazishi yako ni kwa Kiarabu.
  • Mavazi uvae ya kiarabu, Islam does not preserve the indigenous cultures, why??
Screenshot_20240102_131828_X.jpg

Screenshot_20231221_141318_X.jpg


This is what they real want from the bottom of their hearts👇👇
Screenshot_20240103_160948_X.jpg

For Islam or for Arabs😅???

Your Friendly Narcissist
I love history and I challenge people's religions for fun(I hope I don't end-up like Salman Rushdie).
 
  • Uislamu ni "Trojan-horse" wa ukoloni wa Kiarabu.
  • Mwanzilishi wa dini hiyo alikuwa Mwarabu.
  • Kitabu chao kitakatifu kiko katika lugha ya Kiarabu.
  • Lugha unayopaswa kujifunza na kutumia katika sala nayo ni Kiarabu.
  • Mwelekeo ambao unapaswa kuomba ni Uarabuni. (Ambao hata hivo hauko sahihi; Scientifically speaking, you can ONLY pray, facing Kaaba, if the earth is considered COMPLETELY FLAT)
View attachment 2860907
View attachment 2860947
  • Maeneo matakatifu unayopaswa kutembelea na kuyapa heshima yako katika nchi za Kiarabu.
  • Wahusika wakuu unaopaswa kuwasifia ni Waarabu kiasilia.
  • Hadithi unazozitukuza ni za kuhusu Waarabu.
  • Kalenda yako iko katika Kiarabu.
  • Matukio na sikukuu zinahusu matendo ya kundi la Waarabu.
  • Sheria za nchi pia inabidi zitoke kweny kitabu chao(Sharia), bila kujali "Haki za binadamu"👇
View attachment 2860896
Swali....Kwa hiyo, kama Muhammad angekuwa hai leo, je, wangemuua pia?
  • Majina unayochagua kwa ajili ya watoto wako ni ya Kiarabu.
  • Hati ya ndoa iliyosomwa kwenye harusi yako ni ya Kiarabu.
  • Maombolezo kwenye mazishi yako ni kwa Kiarabu.
  • Mavazi uvae ya kiarabu, Islam does not preserve the indigenous cultures, why??
View attachment 2860903
View attachment 2860904

This is what they real want from the bottom of their hearts👇👇
View attachment 2860933
For Islam or for Arabs😅???

Your Friendly Narcissist
I love history and I challenge people's religions for fun(I hope I don't end-up like Salman Rushdie).
Your...
Allah anawafunza Waislam katika Qur’an kwa kuwaambia kuwa hakuna kulazimishana katika dini kwa sababu haki na batil viko wazi.

Waislam wanafundishwa pia kuheshimu imani za wengine na wasiwatukanie miungu yao ikawa sababu ya wao kumtukana Mungu wa kweli.

Kwa mafunzo haya hakuna Muislam wa kweli atakaekuja hapa kwani hapana sababu.
 
Your...
Allah anawafunza Waislam katika Qur’an kwa kuwaambia kuwa hakuna kulazimishana katika dini kwa sababu haki na batil viko wazi.

Waislam wanafundishwa pia kuheshimu imani za wengine na wasiwatukanie miungu yao ikawa sababu ya wao kumtukana Mungu wa kweli.

Kwa mafunzo haya hakuna Muislam wa kweli atakaekuja hapa kwani hapana sababu.
Mohamed Said uliyo ongea hapo si kweli lakini kwa heshima yako, naomba tuu nikae kimya.
 
All the lands that were conquered or ever ruled by Muslims, Millions were killed. Hundreds of thousands were enslaved. Several indigenous cultures and civilizations were wiped out.

Arab Muslims INVENTED colonialism, centuries before Europeans.
Screenshot_20240105_104036_X.jpg
 
Your...
Allah anawafunza Waislam katika Qur’an kwa kuwaambia kuwa hakuna kulazimishana katika dini kwa sababu haki na batil viko wazi.

Waislam wanafundishwa pia kuheshimu imani za wengine na wasiwatukanie miungu yao ikawa sababu ya wao kumtukana Mungu wa kweli.

Kwa mafunzo haya hakuna Muislam wa kweli atakaekuja hapa kwani hapana sababu.

Mnafiki katika unafiki wake.
 
  • Uislamu ni "Trojan-horse" wa ukoloni wa Kiarabu.
  • Mwanzilishi wa dini hiyo alikuwa Mwarabu.
  • Kitabu chao kitakatifu kiko katika lugha ya Kiarabu.
  • Lugha unayopaswa kujifunza na kutumia katika sala nayo ni Kiarabu.
  • Mwelekeo ambao unapaswa kuomba ni Uarabuni. (Ambao hata hivo hauko sahihi; Scientifically speaking, you can ONLY pray, facing Kaaba, if the earth is considered COMPLETELY FLAT)
View attachment 2860907
View attachment 2860947
  • Maeneo matakatifu unayopaswa kutembelea na kuyapa heshima yako katika nchi za Kiarabu.
  • Wahusika wakuu unaopaswa kuwasifia ni Waarabu kiasilia.
  • Hadithi unazozitukuza ni za kuhusu Waarabu.
  • Kalenda yako iko katika Kiarabu.
  • Matukio na sikukuu zinahusu matendo ya kundi la Waarabu.
  • Sheria za nchi pia inabidi zitoke kweny kitabu chao(Sharia), bila kujali "Haki za binadamu"[emoji116]
View attachment 2860896
Swali....Kwa hiyo, kama Muhammad angekuwa hai leo, je, wangemuua pia?
  • Majina unayochagua kwa ajili ya watoto wako ni ya Kiarabu.
  • Hati ya ndoa iliyosomwa kwenye harusi yako ni ya Kiarabu.
  • Maombolezo kwenye mazishi yako ni kwa Kiarabu.
  • Mavazi uvae ya kiarabu, Islam does not preserve the indigenous cultures, why??
View attachment 2860903
View attachment 2860904

This is what they real want from the bottom of their hearts[emoji116][emoji116]
View attachment 2860933
For Islam or for Arabs[emoji28]???

Your Friendly Narcissist
I love history and I challenge people's religions for fun(I hope I don't end-up like Salman Rushdie).
kwanza kabisa hapo kwenye maeneo matakatifu ya kiislamu yote yapo uarabuni sio kweli, kuna maeneo yapo israel, mengine ya uajemi, mengine yapo hata hapa Tanzania unaweza kudhuru misikiti ya zamani, ni vile tu yale maeneo ya uarabuni yametajwa tangu mwanzo katika Quran na kama Makka ni lazima kwenda kwa muislamu mwenye uwezo ila si kweli hakuna maeneo mengine matakatifu kwa waislamu.

halafu kuhusu kiarabu kuonekana ndio lugha rasmi ya ibada, unapaswa ujue dini zote zilikuwa hivyo huko mwanzo,

na kwamba hadi leo hii wayahudi lugha yao takatifu ni kiebrania hata wakisali husali kwa lugha hiyo, wakatoliki walizungumza na kusali kilatino hadi pale Papa wao aliposema inaruhusiwa kusali lugha ingine, ila ukienda vatican hadi kesho wanatumia kilatini ijapokuwa kuna lugha ya kiitaliani ambayo ndio lugha izungumzwayo maeneo kuzunguka vatican yote,

wahindu hadi kesho kutwa wakisali hawasali kihindi wanasali kwa kutumia lugha ya kale iitwayo sanskrit

na uonapo waislamu wasio waarabu wamevaa hijab ama makanzu jua tu ni kutokana na aya za Quran, ukisoma mafundisho yake utapata kuona vazi la hijab limeelekezwa liwe kama lilivyo, wakati kanzu halina maelekezo ya moja kwa moja, ila linaonekana linaendana sana na maelezo ya stara anayopaswa mtu wa kiislamu wa kiume awe nayo, kama vile kuvaa nguo kuvuka magoti, na kuvaa nguo kufunika kifua , halafu haibani

kuhusu waislamu wote kuwa eti wanalazimika kuwa na utamaduni mmoja sio kweli, waislamu tupo wa aija nyingi, muislamu wa saudi arabia na waafrika wana mitazamo tofauti, muislamu wa malaysia ana mtazamo tofauti na muislamu wa india.

ndio maana hata hapa Tanzania waislamu wa asilo tofauti huwa hawachangamani sana kwasababu wana tofauti kubwa za kitanaduni na kimtazamo wa dunia na dini pia
 
  • Uislamu ni "Trojan-horse" wa ukoloni wa Kiarabu.
  • Mwanzilishi wa dini hiyo alikuwa Mwarabu.
  • Kitabu chao kitakatifu kiko katika lugha ya Kiarabu.
  • Lugha unayopaswa kujifunza na kutumia katika sala nayo ni Kiarabu.
  • Mwelekeo ambao unapaswa kuomba ni Uarabuni. (Ambao hata hivo hauko sahihi; Scientifically speaking, you can ONLY pray, facing Kaaba, if the earth is considered COMPLETELY FLAT)
View attachment 2860907
View attachment 2860947
  • Maeneo matakatifu unayopaswa kutembelea na kuyapa heshima yako katika nchi za Kiarabu.
  • Wahusika wakuu unaopaswa kuwasifia ni Waarabu kiasilia.
  • Hadithi unazozitukuza ni za kuhusu Waarabu.
  • Kalenda yako iko katika Kiarabu.
  • Matukio na sikukuu zinahusu matendo ya kundi la Waarabu.
  • Sheria za nchi pia inabidi zitoke kweny kitabu chao(Sharia), bila kujali "Haki za binadamu"[emoji116]
View attachment 2860896
Swali....Kwa hiyo, kama Muhammad angekuwa hai leo, je, wangemuua pia?
  • Majina unayochagua kwa ajili ya watoto wako ni ya Kiarabu.
  • Hati ya ndoa iliyosomwa kwenye harusi yako ni ya Kiarabu.
  • Maombolezo kwenye mazishi yako ni kwa Kiarabu.
  • Mavazi uvae ya kiarabu, Islam does not preserve the indigenous cultures, why??
View attachment 2860903
View attachment 2860904

This is what they real want from the bottom of their hearts[emoji116][emoji116]
View attachment 2860933
For Islam or for Arabs[emoji28]???

Your Friendly Narcissist
I love history and I challenge people's religions for fun(I hope I don't end-up like Salman Rushdie).
halafu mbona christianity pia imereplace indegeneous culture sana tu,

halafu pia si ni lengo la wakristo kufanya dunia nzima iwe wakristo pia, au we mwezetu wakristo gani gani hao uwajuao wasio na ajenda ya kuusambaza ukristo kama tu waislamu watakavyo uislamu usambae
 
Back
Top Bottom