Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Kama Mkuu wa majeshi ya M23 anavyonukuliwa na shirika la habari la UK, SKY NEWS....
Waasi wa Kongo wanasema wamechukua mji muhimu wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Kiongozi wa muungano wa waasi unaojumuisha kundi la M23 alisisitiza Jumapili kwamba majeshi ya serikali yalikuwa na muda hadi saa 9 alfajiri kusalimisha silaha zao.
==================
Congolese rebels say they have "taken" the key city of Goma in the Democratic Republic of Congo (DRC).The leader of a rebel alliance that includes the M23 group reiterated on Sunday that government forces had until 3am to surrender their weapons.
news.sky.com
Waasi wa Kongo wanasema wamechukua mji muhimu wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Kiongozi wa muungano wa waasi unaojumuisha kundi la M23 alisisitiza Jumapili kwamba majeshi ya serikali yalikuwa na muda hadi saa 9 alfajiri kusalimisha silaha zao.
==================
Congolese rebels say they have "taken" the key city of Goma in the Democratic Republic of Congo (DRC).The leader of a rebel alliance that includes the M23 group reiterated on Sunday that government forces had until 3am to surrender their weapons.
Rebels in Democratic Republic of Congo say they have taken key city of Goma
The Democratic Republic of Congo (DRC) has severed diplomatic ties with Rwanda, accusing it of fuelling the rebellion. At least 13 soldiers serving with peacekeeping forces in the DRC have been killed in clashes with M23 rebels, United Nations officials said.