Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Acheni kusingizia rwanda,hao DRC na M23 walifanya makubaliano na DRC mpaka sasa bado haijatimiza ahadi zake ,hiyo ndio sababu ya mapigano,haya ya rwanda kuitaka kivu ni uzushi tu,viongozi wa DRC wanatafuta uungwaji mkono wa wananchi wao na mataifa yanje,lakini ukweli ni kwamba DRC haitaki ku implement makubaliano waliyofanya kitambo na M23.
Mukamantare katika ubora wake!! Je, za siku nyingi??
 
Msitake kuchota watu akili hasa wakazi/wenyeji wa Maziwa makuu - they know you like back of their hands specifically hulka zenu za ndio sivyo - sasa unatuletea attachments hizi za kimagamushi ku-prove nini?? Mbona hutuletei machapisho ya manifesto zenu zinazo husu ndoto zenu za muda mrefu za kuazishwa "Hima Empire??"

Kitu cha kujiuliza hapa: Mbona Congo DRC kuna makabila mengi tu - inakuwaje Kabila moja nchini (Wanyamuleng a.k.a M23) humo ndio wajione wao wana haki zaidi ya kuajiliwa kwenye jeshi tena wanalazimisha,vile vile wanataka wapewa vyeo Vikubwa Serikalini wako wired kuchochea vurugu tu nchini Congo DRC mwanzo mwisho, kulalamika tu 24X7 eti: wanabaguliwa na hawatendewi haki - kuiandikia Serikali ya Congo ultimatum watekeleze masharti yao or else-na ukiangalia kwa umakini ultimatum zao zinaonekana ni handout walizoandikiwa na kupewa na paymasters wao wachochee vurugu.

As I said, malalamiko yao ni ya kuchonga tu/manufactured, ukweli wa mambo hizo zote ni mbinu tu za kujenga hoja kwamba wanaonewa na Serikali ya Congo DRC hivyo Umoja wa Mataifa (UN) i-annex Jimbo la Kivu lote ili wapewe uhuru wajitawale, lakini baadae wajenge hoja ya kujiunga na nchi jirani - a very clever ploy -tatizo hapa sijui kama Viongozi wetu wa Afrika kusini mwa jangwa la Sahara hilo wamekwisha lishtukia na - wasipo kuwa makini ku-address tatizo hili to the letter, tutaendelea kupoteza wanajeshi wetu na wa UN huko Congo Wakati Viongozi wetu wa Afrika wanajuwa who is the brains behind endless turmoil kaskazini mashariki mwa Congo na lengo lake ni nini - cha ajabu Viongozi wa Afrika hawana ujasiri wa ku-nip in the bud mtu ambaye anachochea vurugu hizo za kijinga!!! Wanashindwa nini ku-emulate ujasiri wa the late Robert Mugabe, Jacob Zuma, Dos Santos na Jakaya Kikwete - masuala ya Congo sio ya kuchukulia poa hata kidogo!!
Mbona watusi walikua jeshini tangu zamani katika jeshi la congo,naona wewe utakua interahamwe tu,hao watutsi wa congo walikua serikalini,jeshini hata wakati wa mobutu,lakini baada ya kuja interahamwe wakongo walianza kuwabagua watutsi na kuanza kuwaondoa jeshini na kuwaua na huko uraiani walianza kuwaua na kula ng'ombe zao,ndio wengi kutimkia rwanda na uganda,kwahiyo M23 kipigana hiyo vita ni for their rights ,utake usitake watapigana miaka mingi sana bila kuchoka mpaka kieleweke.
 
tembea ujifunz acha kuish kwa kusubir bbc au aljazeera wakuambie , watutsi wapo wengi sana tz kwa kivuli cha makabila ya kiha au wahangaza na wapo ambao wanrudig kwao either burund au rwanda , nmesoma nao watano ambao atleast kila likizo walikuwa wanarud rwanda kusalimia
AHAHAAHA...Ungejua katika hayo makabila ya wahangaza,waha,wahaya n.k kuna matabaka ya watutsi ndani yao,sio kitu cha ajabu,hawa wote wanamahusiano na hizo nchi za burundi na rwanda kabla ya hii mipaka iliyowekwa na wazungu.
 
Kwa taarifa yako estrn congo ni shamba la mama,hakuna serikali huko,kila Genaral wa jeshi la congo anakikundi chake huko kinacho mchimbia madini,business people wanavikundi vyao huko,ndio maana inakua vigumu kuviondoa hivyo vikundi huko congo,sasa imagine Jeshi la DRC,FDLR ,NYATURA,MAYIMAYI pamoja na vikundi vingine wameungana kupambana na M23,sababu ni kwa sababu masilahi ya hao ma generals na wafanyabishara yatakua hatarini M23 ikishika hatamu katika hayo maeneo,wao wako tayari M23 ichukue kaeneo kadogo lakini hawewezi kukubali M23 ichukue estern congo yote ,kwa kifupi hawataki amani estern congo,wanataka hiyo disorders ili waendelee kufaidika na utajili wa pale.
Kwahiyo hao M23 wanafanya uasi kama njia ya kuleta amani ?...kwamba wao ndio wazalendo kuliko maelfu ya watu waliokimbia Vita vyao?

...Wasalimie huko Rwanda.
 
Kwanini 80% tu,wale 100% Ni

Kwahiyo hao M23 wanafanya uasi kama njia ya kuleta amani ?...kwamba wao ndio wazalendo kuliko maelfu ya watu waliokimbia Vita vyao?

...Wasalimie huko Rwanda.
Unajua katika familia lazima pawe kiongozi wa kuleta order /displine sasa M23 ndiye kiongozi pekee anaeweza leta order pale estern congo,kuhusu uzalendo M23 ni wazalendo kama wengine ndani ya congo.
 
Unajua katika familia lazima pawe kiongozi wa kuleta order /displine sasa M23 ndiye kiongozi pekee anaeweza leta order pale estern congo,kuhusu uzalendo M23 ni wazalendo kama wengine ndani ya congo.
Kwanini 'order' iletwe na M23 wakati kuna jeshi halali la Serikali ya Drc iliyochaguliwa na raia wa Drc ?....

Viongozi wa EAC waikemee Rwanda iache kuivuruga Drc kwa kutumia uasi bandia wa M23.
mtu chake
 
ahahaha..hivi ni jeshi gani la nchi jingine linaweza ingia kichwa kichwa kwa nchi nyingine likiwa limevaa sare za jeshi lenye tobendera na nembo ya nchi?kingine sare za rwanda zinafananaje?Je M23 haiwezi nunua sare zinazofanana na za rwanda au tanzania?sare sio kigezo cha kuamini kwamba rwanda iko ndani ya congo.
Aaaa kwaiyo m23 wanachonganisha ugomvi Kati ya Congo na rwanda
 
Back
Top Bottom