Wababa bora hawafichi wahalifu wezi, mafisadi, wadhulumati, wamwagaji damu zisizo na hatia, na makosa mengine

Wababa bora hawafichi wahalifu wezi, mafisadi, wadhulumati, wamwagaji damu zisizo na hatia, na makosa mengine

Japo Wakurya na Wajaluo watakuua wakikukamata ila nakubaliana nawe asili mia moja. Angalia mikoa ya Tabora, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar, Kigoma, Kondoa, Muleba, Tanga kwa mfano....kule jamii zao ni za hovyo sana na ukichunguza chanzo utakuta WANAUME hawapendi kufanya kazi, wao wanataka kushinda kuvaa shuka na kanzu tu na kushinda misikitini au chini ya miembe wakinywa kahawa huku wakijadili vitu visivyo na tija maishani mwao na wakiwa wametoka nyumbani hawajuwi wake na familia zao watakula nini, kila kitu wanamwachia mwanamke afanye. Baada ya masaa kadhaa, mwanamme anarudi nyumbani kutaka chakula na kama hakuti ndipo ananza tukana mkewe. Muda umefika waafrika yabidi tuamke, dini zimetuchanganya sana akili mpaka akili zimekimbia baadhi ya kina baba. Mwanamke ni mali sana, tena ukipata wa maana ni sawa na kuishi peponi.
Ni kweli wanaume wa kinyamwezi ni wavivu sana na hawana mamlaka yoyote ndani ya familia unakuta baba kazubaa yaani Kama mmekaa kikao wote wapo kimya utadhani wanawake. Wanaboa Sana hawa ndugu zangu.
 
Hakuna mwanaume anaependa ujinga hata awe vipi Ila ujue tatizo n Mwanamke mpumbavu.

Kua, Ishi uyaone
 
Kazi kulalamika tuu

Nimetoa Aya hapo chini za Biblia, hawa Wanyandu(wana wa Yakobo) Dada yao alivyoliwa na mwana mfalme. Wala hawakumlaumu dada yao, kilichotokea ni kudili ipasavyo na huyo mwana mfalme na kuua wanaume wote wa mji huo.
Unaona wanaume hao walivyo?

Kuna famillia ukiziletea upumbavu wako umejimaliza mwenyewe

Yaani mtu aachane na mkewe/mumewe kwa sababu yako mpuuzi mmoja, utasagika na utakuwa mfano kwa wengine.

Mke au mume haachwi ila wewe ndio utasagika,

Nimetoa mfano tuu sio wewe😉😉😉
Ni.eamua kuchukua 15% ya uliyoandika ila 85% nimeona ni upuuzi.
 
Ni kweli wanaume wa kinyamwezi ni wavivu sana na hawana mamlaka yoyote ndani ya familia unakuta baba kazubaa yaani Kama mmekaa kikao wote wapo kimya utadhani wanawake. Wanaboa Sana hawa ndugu zangu.
Kuna kaka yangu mmoja wa kitaa alimchapa mtu makonde baada ya kuitwa Mnyamwezi. Chanzo kilikuwa jamaa alimwita yule kaka Mnyamwezi kisa alitoka majuu, mkaka alikasirika ile mbaya na kumnasa vibao jamaa kwa ajili ya hilo jina tu. Mkaka anasema hajawahi kuona jamii ya kishamba kama Wanyamwezi na Wasukuma.
 
Hujielewi wewe
Huyu ni mwanamme anayeshinda msikitini au chini ya mwembe akinywa kahawa siku nzima huku kavaa shuka aliyojifunikia usiku na mkewe. Mtu wa namna hii hataki kufanya kazi, yeye anataka kubwabwaja tu mitaani huku akitegemea atarudi nyumbani atakuta chakula. Wanaume wa namna hii hawapendi kuambiwa ukweli.
 
[emoji817] nakubaliana na mtoa Mada.... Nature inamtambua mwanaume km mtawala ...mwanamke km mtawaliwa ..,Mtawala akiwa legelege bhac kizazi chote kinaangamia Na huu ni ukweli uliowazi kabisa
 
Japo Wakurya na Wajaluo watakuua wakikukamata ila nakubaliana nawe asili mia moja. Angalia mikoa ya Tabora, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar, Kigoma, Kondoa, Muleba, Tanga kwa mfano....kule jamii zao ni za hovyo sana na ukichunguza chanzo utakuta WANAUME hawapendi kufanya kazi, wao wanataka kushinda kuvaa shuka na kanzu tu na kushinda misikitini au chini ya miembe wakinywa kahawa huku wakijadili vitu visivyo na tija maishani mwao na wakiwa wametoka nyumbani hawajuwi wake na familia zao watakula nini, kila kitu wanamwachia mwanamke afanye. Baada ya masaa kadhaa, mwanamme anarudi nyumbani kutaka chakula na kama hakuti ndipo ananza tukana mkewe. Muda umefika waafrika yabidi tuamke, dini zimetuchanganya sana akili mpaka akili zimekimbia baadhi ya kina baba. Mwanamke ni mali sana, tena ukipata wa maana ni sawa na kuishi peponi.
Mshenzi nini wewe... lofa wewe
 
“No, Woman, Nuh cry.” Nuh is Jamaican for “don't,” the meaning of the lyric is No, Woman, don't cry.
Nafuu usaidie maana watu wengi hawaelewi hata jamaa anachomaanisha mule wanatafsiri tofauti kabisa na makusudio ya mwimbaji
 
Back
Top Bottom