Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli wanaume wa kinyamwezi ni wavivu sana na hawana mamlaka yoyote ndani ya familia unakuta baba kazubaa yaani Kama mmekaa kikao wote wapo kimya utadhani wanawake. Wanaboa Sana hawa ndugu zangu.Japo Wakurya na Wajaluo watakuua wakikukamata ila nakubaliana nawe asili mia moja. Angalia mikoa ya Tabora, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar, Kigoma, Kondoa, Muleba, Tanga kwa mfano....kule jamii zao ni za hovyo sana na ukichunguza chanzo utakuta WANAUME hawapendi kufanya kazi, wao wanataka kushinda kuvaa shuka na kanzu tu na kushinda misikitini au chini ya miembe wakinywa kahawa huku wakijadili vitu visivyo na tija maishani mwao na wakiwa wametoka nyumbani hawajuwi wake na familia zao watakula nini, kila kitu wanamwachia mwanamke afanye. Baada ya masaa kadhaa, mwanamme anarudi nyumbani kutaka chakula na kama hakuti ndipo ananza tukana mkewe. Muda umefika waafrika yabidi tuamke, dini zimetuchanganya sana akili mpaka akili zimekimbia baadhi ya kina baba. Mwanamke ni mali sana, tena ukipata wa maana ni sawa na kuishi peponi.
MI mzee baba wangu ananiogopa kama umeme,. Anajutraa kukutana na Mmachame mie, maana kwenye life hili staki utani hata
Hakuna mwanaume anaependa ujinga hata awe vipi Ila ujue tatizo n Mwanamke mpumbavu.
Kua, Ishi uyaone
Hujielewi weweHakuna mwanaume anaependa ujinga hata awe vipi Ila ujue tatizo n Mwanamke mpumbavu.
Kua, Ishi uyaone
Ni.eamua kuchukua 15% ya uliyoandika ila 85% nimeona ni upuuzi.Kazi kulalamika tuu
Nimetoa Aya hapo chini za Biblia, hawa Wanyandu(wana wa Yakobo) Dada yao alivyoliwa na mwana mfalme. Wala hawakumlaumu dada yao, kilichotokea ni kudili ipasavyo na huyo mwana mfalme na kuua wanaume wote wa mji huo.
Unaona wanaume hao walivyo?
Kuna famillia ukiziletea upumbavu wako umejimaliza mwenyewe
Yaani mtu aachane na mkewe/mumewe kwa sababu yako mpuuzi mmoja, utasagika na utakuwa mfano kwa wengine.
Mke au mume haachwi ila wewe ndio utasagika,
Nimetoa mfano tuu sio wewe😉😉😉
Kuna kaka yangu mmoja wa kitaa alimchapa mtu makonde baada ya kuitwa Mnyamwezi. Chanzo kilikuwa jamaa alimwita yule kaka Mnyamwezi kisa alitoka majuu, mkaka alikasirika ile mbaya na kumnasa vibao jamaa kwa ajili ya hilo jina tu. Mkaka anasema hajawahi kuona jamii ya kishamba kama Wanyamwezi na Wasukuma.Ni kweli wanaume wa kinyamwezi ni wavivu sana na hawana mamlaka yoyote ndani ya familia unakuta baba kazubaa yaani Kama mmekaa kikao wote wapo kimya utadhani wanawake. Wanaboa Sana hawa ndugu zangu.
Haujaambiwa uje kufundisha watu broken English hapa, ujinga gani huu tena?“No, Woman, Nuh cry.” Nuh is Jamaican for “don't,” the meaning of the lyric is No, Woman, don't cry.
Ndiyo mtu uamke asubuhi ukashinde msikitini huku umevaa shuka uliyojifunikia na mkeo jana usiku kubishana na wenzako kwa vitu visivyo na maana maishani mwako?
Huyu ni mwanamme anayeshinda msikitini au chini ya mwembe akinywa kahawa siku nzima huku kavaa shuka aliyojifunikia usiku na mkewe. Mtu wa namna hii hataki kufanya kazi, yeye anataka kubwabwaja tu mitaani huku akitegemea atarudi nyumbani atakuta chakula. Wanaume wa namna hii hawapendi kuambiwa ukweli.Hujielewi wewe
Me mwenyewe natamani sana hiyo kitu sema ndo sijui prosija tu za kufuataNdo maana nimeamua nitoe laki 8 ninunue bastola
Mshenzi nini wewe... lofa weweJapo Wakurya na Wajaluo watakuua wakikukamata ila nakubaliana nawe asili mia moja. Angalia mikoa ya Tabora, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar, Kigoma, Kondoa, Muleba, Tanga kwa mfano....kule jamii zao ni za hovyo sana na ukichunguza chanzo utakuta WANAUME hawapendi kufanya kazi, wao wanataka kushinda kuvaa shuka na kanzu tu na kushinda misikitini au chini ya miembe wakinywa kahawa huku wakijadili vitu visivyo na tija maishani mwao na wakiwa wametoka nyumbani hawajuwi wake na familia zao watakula nini, kila kitu wanamwachia mwanamke afanye. Baada ya masaa kadhaa, mwanamme anarudi nyumbani kutaka chakula na kama hakuti ndipo ananza tukana mkewe. Muda umefika waafrika yabidi tuamke, dini zimetuchanganya sana akili mpaka akili zimekimbia baadhi ya kina baba. Mwanamke ni mali sana, tena ukipata wa maana ni sawa na kuishi peponi.
Nafuu usaidie maana watu wengi hawaelewi hata jamaa anachomaanisha mule wanatafsiri tofauti kabisa na makusudio ya mwimbaji“No, Woman, Nuh cry.” Nuh is Jamaican for “don't,” the meaning of the lyric is No, Woman, don't cry.