Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Subiria tuu mkuu. Ukishafikia umri huo kila kitu utasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo alipitiliza, labda haujua kuwa wanaotoka majuu wanaitwa wanyamwezi. Hawa ndugu zetu sijui wana tatizo gani..Kuna kaka yangu mmoja wa kitaa alimchapa mtu makonde baada ya kuitwa Mnyamwezi. Chanzo kilikuwa jamaa alimwita yule kaka Mnyamwezi kisa alitoka majuu, mkaka alikasirika ile mbaya na kumnasa vibao jamaa kwa ajili ya hilo jina tu. Mkaka anasema hajawahi kuona jamii ya kishamba kama Wanyamwezi na Wasukuma.
Hupendi kuambiwa ukweli au?Mshenzi nini wewe... lofa wewe
Subiria tuu mkuu. Ukishafikia umri huo kila kitu utasema
Mshikaji hataki fananishwa na Mnyamwezi hata kidogo. Licha ya kuwa washamba, anasema vijana wao (Wanyamwezi na Wasukuma) wakifikisha miaka 14 au 15 wakiwa wanabalehe, wazazi wao wanawapa ng'ombe kwenda kuchunga mbali na nyumbani ili wakajifunze kuduu na hao ng'ombe zao. Kina Kigwangallah wameyapitia haya. nami natangaza vita, ole wake mtu mtaani si humu JF aniite Mnyamwezi...haki ya nani atajuta kuzaliwa. Tuheshimiane.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo alipitiliza, labda haujua kuwa wanaotoka majuu wanaitwa wanyamwezi. Hawa ndugu zetu sijui wana tatizo gani..
Kwamba amesema yule baba ambae watu wake wanavamiwa na vikundi sijui isisi nk ni baba mpumbavu au mimi sijamuelewa?😀😀😀😀nakubali tycon wa fasihi.
Mimi nitaanza kukuita hivyo [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mshikaji hataki fananishwa na Mnyamwezi hata kidogo. Licha ya kuwa washamba, anasema vijana wao (Wanyamwezi na Wasukuma) wakifikisha miaka 14 au 15 wakiwa wanabalehe, wazazi wao wanawapa ng'ombe kwenda kuchunga mbali na nyumbani ili wakajifunze kuduu na hao ng'ombe zao. Kina Kigwangallah wameyapitia haya. nami natangaza vita, ole wake mtu mtaani si humu JF aniite Mnyamwezi...haki ya nani atajuta kuzaliwa. Tuheshimiane.
Utakuwa unanitafuta visa sasa.Mimi nitaanza kukuita hivyo [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ha haaa sitafanya hivyo mkuuUtakuwa unanitafuta visa sasa.
...👊👊👊.“No, Woman, Nuh cry.” Nuh is Jamaican for “don't,” the meaning of the lyric is No, Woman, don't cry.
Bujibuji bwana, mbona una sound kama umeumizwa na hii makala, umeguswa na nini hapo? Au nawe ni wale wanaume wanaovaa shuka na kushinda miskitini siku kucha kunywa kahawa bila kufanya kazi?Huu uzi aisee. Sina la kusema
NdioBujibuji bwana, mbona una sound kama umeumizwa na hii makala, umeguswa na nini hapo? Au nawe ni wale wanaume wanaovaa shuka na kushinda miskitini siku kucha kunywa kahawa bila kufanya kazi?
Unataka kutuambia huku kwetu africa wanaume wengi ni malofa na wapumbavu maana mataifa yetu ndio maskini na tunategemea sana misaada ya mabeberu
Pole sana kijanaNdio