Wababa/kaka hivi ni kweli

Ila usikosee ukaenda kule kwetu kule...mtu anakula tu bata hata ukipiga mkwara, tena ukipiga mkwara ndo kwanza naanza kujiandaa kukutana na timbwili sasa hapo kitachotokea sijui....

kweli vidume tunatofautiana, huyu dada angekutana na wale ambao,
hizi timbwili timbwili ndo zao, angejuta kumfahamu!
kuna jamaa ambao bila mieleka, sarakasi na kukurukakara hajala mzigo bado!
nakumbuka kuna mshkaji mmoja alikutana na timbwili la kula mzigo kwa mkwala,
matokeo yake mpaka anamaliza kula mzigo, akajikuta ana ramani kibao mwilini za kung'atwa,
lakini alimaliza kutafuna mzigo kama kawa.....................................
 
Jamani kwani walikwenda kutumia nguvu au kufanya romance? Romance ni pamoja na kauli nzuri jamani. Au tuseme unaweza ukafuraahia we unakula mzigo na mwenzako anasoma gazeti au anakwambia maliza upesi nawahi mahali. ktk mazingira kama hayo hata mkuyaati wangu utasinyaa tu.
 
Kila siku nawaambia wakinadada hiyo ndo njia ya kuepuka kubakwa.ukiona umebanwa kwenye kona vua mwenyewe jilaze chini mwambie anze kazi uone atakavyosepa fasta


...............mmmh!don't try this at home........................
 
Hahahahaaha duh huyo dada ni kauzu sana, ila hakukutana na mjanja... sasa sikiza nikwambie, mwanaume angemsoma kwanza then akaanzisha rough s.x, angepanda kitandani amvute kwa nguvu vibao kama vitatu vya makalio, hivi mwanamke angeanza kulalamika, ile kulalamika tu basi mwanaume angerudi kwenye mood ya mapenzi
 
Maty.....Are you talking from your experience with him!?

Nijaribishe mie uone moto wake! Yaani hapa bendera chuma, mlingoti chuma!

Hahhahaha lol we masaki una vituko nimechekaje asubuhi hii mwe

well said bro!

Labda jamaa alikuwa keshakula wengine ka wawili hivi siyo bure.manake kama jamaa ni kiwembe basi hakuwa na bahati na huyo binti.
Huyu binti anatakiwa akutane na kijana mwenye ukame...aangalie kama.....kesho yake ataenda kazini.
Hahahaha lol

usijaribu kukopi da maty. unaweza ukaanza na bit halafu aamini nawewe uko fit akuweka kwa kundi la mafundi ukaja kimbia lol
Hahahaha nashukuru kwa kunifungua macho maana mi nilidhani labda huu mkwara unafaa lol


Huyo mdada alikua ni mgeni alikuja kwa ajili ya semina sasa sijui ana kimzizi maana kaka wa watu hana hamu
 

Hahahaha gaga we ni noma hebu zionee huruma mbavu zangu asee
 
Hahaaaaaaaa Maty huwezi amini nimepata picha ya dada alivojinyoosha halafu jongoo wa huyo kaka ulivolegea..........................!mh ngoja niwahi watoto nisije nikawakosea adabu watu humu.
Mimi pia looo.. naona kabisa kajazia bonge la baunsa... au ametahiriwa hana hisia kabisa
 

Watu mna visa nimecheka mpaka basi mwe!
 

Ha ha ha ha ha heheeeeeeeeeeeeee mweeeeeeeeeee jamani nimechekaje mpaka mkoloni kaniangalia ha ha ha ha ha ha
 
hahahahaaaaaa nimecheka sana Gaga, hivi huwa unafikiria nini, kweli aisee maana mwanamke angesema unaniumiza anaongeza bao la pili kali...we viiiipi anazidisha mwishowe anakuwa mlenda mwenyewe
 
Hiyo hutokea tena sana tuu,sababu huyo mwanamke anakuwa haja jitune kimapenzi,hivyo anafanya tuu aepushe usumbufu,kuliko kukutana na mwanamke wa dizaini hiyo ni bora kutafuta sabuni!!
 
Maty,

Hiyo inaitwa corporal punishment...Nani anaipenda?
 
aaaaiiiiiiiiiiii!!! makakaa ganii huyoo?? aogopa hali mdada kajianika na vifaaa vyooooteeee njeee aaaiiiiii!!!!! hawezi tu kaziiiii au mdadaaa auziii akichojoaaa!!!!!! sijashawishika!!!

Si kweli mdogo wangu. Huyo kaka ni mzima kabisa. Ila ukweli ni kwamba haya mambo hayahitaji majoto....Mwendo wa ki-afande afande ni nuksi kabisa. Ndo maana kuna sheria ya kuzuia hata wanawake walio kwenye ndoa kubakwa na waume zao!
 

Alipania mno huyo kaka ako ndo maana akasahau hata kupiga angalau valuu
 

Mhhhh...inawezekana wewe ni strategist wa ofisi kuu...Mtu wakawaida kama Mzee DC hawezi kupata idea za nguvu kiasi hicho tena kwa muda mfupi.

Kweli huyo kaka alihitaji kuneutralize mkwara kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…