Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 727
- Thread starter
- #61
Si kweli mdogo wangu. Huyo kaka ni mzima kabisa. Ila ukweli ni kwamba haya mambo hayahitaji majoto....Mwendo wa ki-afande afande ni nuksi kabisa. Ndo maana kuna sheria ya kuzuia hata wanawake walio kwenye ndoa kubakwa na waume zao!
Ni kweli kabisa Mzee DC (ingawa hili jina la mzee silipendi lol) huyu mkaka wa watu ni mzima kabisa, nikisema wananiuliza nimejulia wapi mwe! Ule mkwara wa yule dada ulifanya kazi kisawa sawa