Wababa/kaka hivi ni kweli

Wababa/kaka hivi ni kweli

Si kweli mdogo wangu. Huyo kaka ni mzima kabisa. Ila ukweli ni kwamba haya mambo hayahitaji majoto....Mwendo wa ki-afande afande ni nuksi kabisa. Ndo maana kuna sheria ya kuzuia hata wanawake walio kwenye ndoa kubakwa na waume zao!

Ni kweli kabisa Mzee DC (ingawa hili jina la mzee silipendi lol) huyu mkaka wa watu ni mzima kabisa, nikisema wananiuliza nimejulia wapi mwe! Ule mkwara wa yule dada ulifanya kazi kisawa sawa
 
Alipania mno huyo kaka ako ndo maana akasahau hata kupiga angalau valuu

Umeona eeee, inaelekea alivyoitwa tu alikurupuka bila hata kujiuliza mara mbili pupa ilimponza
 
Mhhhh...inawezekana wewe ni strategist wa ofisi kuu...Mtu wakawaida kama Mzee DC hawezi kupata idea za nguvu kiasi hicho tena kwa muda mfupi.

Kweli huyo kaka alihitaji kuneutralize mkwara kwanza!

Yaani babu ee sorry Mzee DC lol, huyu gaga kanichekesha mpaka mbavu zimeuma kwa kweli
 
Maty,

naomba kwanza unijibu....Awali umesema binti kaja mjini kuhudhuria semi, sasa historia ya kijana kwamba ni kiwembe kaipata wapi?

Ila kama ni kiwembe basi ni kwa kuku wa kienyeji...Kama angekuwa na maufundi na uzoefu wa kukutana na wataalamu wa shughuli kazi yake ingekuwa ndogo na rahisi....

Naomba niishie hapo kwani uwanja wenu umejaa wajukuu kibao.

Ila Mzee DC angeanza kwa kutoa caution na shukrani...na kumalizia kuwa ..."kazi yangu ya kufinyanga vyungu huifanya kwa muda usiozidi 4hrs. Sasa pamoja na kusasambura (jambo ambalo nakushukuru sana kwa kunitunuku hii heshima ya ku-appreciate uumbaji...live bila zengwe), unao huo muda?"
 
Umeona eeee, inaelekea alivyoitwa tu alikurupuka bila hata kujiuliza mara mbili pupa ilimponza

Jamaa hakujiandaa alikurupuka inaonyesha hilo zigo lilikuwa la ukweli jamaa alikuwa anatoboa tu mfuko bila kukagua siku zote
 
Ni kweli kabisa Mzee DC (ingawa hili jina la mzee silipendi lol) huyu mkaka wa watu ni mzima kabisa, nikisema wananiuliza nimejulia wapi mwe! Ule mkwara wa yule dada ulifanya kazi kisawa sawa

Haya basi Maty...Nakubali uniite hili jina unalolipenda (Babu DC, kwani babu wa Loliondo tayari keshapotea!!!).

Huyo dogo anaweza kuwa mzima sana tena..ila mauzoefu ni NIL. Si umeona hata comment ya Gaga? Hizi mambo hazihitaji papara.

Ingekuwa enzi zetu huyo shoga yako angejikuta casuality in less than 4hrs!!
 
Maty,

naomba kwanza unijibu....Awali umesema binti kaja mjini kuhudhuria semi, sasa historia ya kijana kwamba ni kiwembe kaipata wapi?

Ila kama ni kiwembe basi ni kwa kuku wa kienyeji...Kama angekuwa na maufundi na uzoefu wa kukutana na wataalamu wa shughuli kazi yake ingekuwa ndogo na rahisi....

Naomba niishie hapo kwani uwanja wenu umejaa wajukuu kibao.

Ila Mzee DC angeanza kwa kutoa caution na shukrani...na kumalizia kuwa ..."kazi yangu ya kufinyanga vyungu huifanya kwa muda usiozidi 4hrs. Sasa pamoja na kusasambura (jambo ambalo nakushukuru sana kwa kunitunuku hii heshima ya ku-appreciate uumbaji...live bila zengwe), unao huo muda?"

Hahaha babu huyo dada wala hajui kama huyo kaka ni kiwembe, sijui ilikuwaje mpaka akamfanyia hivyo mkaka wa watu. Inawezekana huyo dada ndio zake hizo
 
Najaribu kujiuliza aliyetoa hii 'siri'......ni huyo mkaka au huyo mdada mgeni.....
Hujambo sio?

Huyo mkaka mwenyewe ndio alietoa siri kwani hata ye mwenyewe hakuamini kilichomtokea, na hakudhani yule mdada anaweza kuwa kauzu vile
 
Jamaa hakujiandaa alikurupuka inaonyesha hilo zigo lilikuwa la ukweli jamaa alikuwa anatoboa tu mfuko bila kukagua siku zote

Hahahaha anajifanyaga hakubali kushindwa, na matokeo yake ndio hayo akauvaa mkenge
 
Hahaha babu huyo dada wala hajui kama huyo kaka ni kiwembe, sijui ilikuwaje mpaka akamfanyia hivyo mkaka wa watu. Inawezekana huyo dada ndio zake hizo

Kweli Maty...Halafu aje na mkakati wa nguvu kama huo????? Babu anakuna kichwa kwanza!!!
 
Huyo mkaka mwenyewe ndio alietoa siri kwani hata ye mwenyewe hakuamini kilichomtokea, na hakudhani yule mdada anaweza kuwa kauzu vile

Hopeful hukutaka kujaribu hizo failures zake.......
Ungependa kujaribu na wewe ukauzu?
 
we maty wewe.....!

mimi nikipigwa hio mkwara napotea moja kwa moja hata niona tena
 
Maty ulichokutana nacho weekend iliyopita, naombea usikutane nacho weekend hii. Umechenichekesha hadi basi. Dah nitaiga hii ila baada ya huyo mtu kumalizia haka kakibanda kangu hapa!
hehehehehe!we kabinti wewe

hivi watu bado wanahonga wanawake karne hii?
 
hehehehehe!we kabinti wewe

hivi watu bado wanahonga wanawake karne hii?
Hahahaah karne hii mtu anakwambia kula kunywa nenda zako bana, hela yake huipati kirahisi lol
 
Ha ha ha, Teamo kwani hiyo inakua ni hongo? Hapana ni wajibu tu......lol
 
Kweli Maty...Halafu aje na mkakati wa nguvu kama huo????? Babu anakuna kichwa kwanza!!!

Hahahaha kweli babu labda kama kuna mtu alimtonya ila sidhani, inawezekana huyo dada ndio zake hizo
 
Hopeful hukutaka kujaribu hizo failures zake.......
Ungependa kujaribu na wewe ukauzu?

Hahaha nilipanga niujaribu huu ukauzu kwa mtu mmoja hivi ila lol! nimefumbuliwa macho humu sithubutu!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahaha kweli babu labda kama kuna mtu alimtonya ila sidhani, inawezekana huyo dada ndio zake hizo

Bado Maty...Mtu kafika mjini...leo hii kakutana na jamaa, leo hiyo hiyo wanaanza kukata viwanja....baada ya siku 3 anaamua kumfanyia unyama huo kweli bila prior info?

Babu hajaelewa...Labda kama ni tatizo la umri na network kudorora!
 
Back
Top Bottom