Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Ushauri mzuri sa NE ila siku zote unapotaka kumbadilisha mtu unatakiwa utumie maneno yasiyo na ukali, usiwe na jazba na uongee kiupendo, huruma na kwa utaratibu. Isiwe kama unampa mipasho ile ya kwenye taarabu. Sawa eeh?
Ngoja nikugongee kathanks.
Unamfahamu anayekupa ushauri?
Husninyo...nami nakupa senksi..umemwambia maneno mzuri kabisa...hope atayafanyia kazi! maana naona ana hasira huyoooo!!! mhhh Pole zake!
Mkuu NE, una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia. You need help kabla hujachanganyikiwa and it is not late.
From your threads and posts, haimpti tabu mtu yeyote kukusoma wewe ni mtu wa namna gani na unafanya nini.
Thread yako hii haina supporting facts zozote zaidi ya kujaa hisia na majungu.
Give us a break Madame.
Respect.
Leo nimeamua kuwapa dozi kubwa, tena huyo Allien nina wasiwasi nae sana bcoz he has alot of technics and am not sure if he is committed or not.
Kama niko committed au siko committed; that is not an issue here. Hili ni jukwaa na kuelimishana WHERE WE DARE TO TALK OPENLY. Of course ni vema basi kukiwa na basis ya hiyo openness.
Respect.
so what do u need me to clarify?
Stop confusing people na thread zako zinazoji-contradict. Stop double standards. Be honest. Transform.
In fact tumeshakusoma sana. We know what is in your mind hata tabia zao.
Tunaweza kujibu post zako zote kwa kukuwekea post zako mwenyewe zikujibu.
Uko very controversial.
Through experience nimeona wababa wengi sana wanahonga pesa nyingi kwa vimada lakini hawawatunzi wake zao ipasavyo. Utakuta mwingine hata watoto anashindwa kuwalipia ada ila kimada kinatunzwa haswa. Kuna mmoja namjua yeye kapangisha double room mtaani ila kimada kampangishia self contained!!! hii ni akili kweli? Mmoja ana kampuni kubwa tu halafu ofisini kamuweka kimada na wife anafanya vibarua kwenye mashamba ya mauwa. this is shame. Utakuta libaba likienda kwa kimada linabembelezwa uwongo na kweli basi linaona linapendwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe wapi unafanywa zoba. You should learn to love your wives and dont waste time with SUB-HOUSE.
Kam kuna mwenye tabia hii huku kwa great thinkers acha mara moja.