Wababa muwe mnajali wake zenu

Wababa muwe mnajali wake zenu

Ushauri mzuri sa NE ila siku zote unapotaka kumbadilisha mtu unatakiwa utumie maneno yasiyo na ukali, usiwe na jazba na uongee kiupendo, huruma na kwa utaratibu. Isiwe kama unampa mipasho ile ya kwenye taarabu. Sawa eeh?
Ngoja nikugongee kathanks.

Husninyo...nami nakupa senksi..umemwambia maneno mzuri kabisa...hope atayafanyia kazi! maana naona ana hasira huyoooo!!! mhhh Pole zake!
 
Husninyo...nami nakupa senksi..umemwambia maneno mzuri kabisa...hope atayafanyia kazi! maana naona ana hasira huyoooo!!! mhhh Pole zake!

ahsante shostito. Huyu mpendwa wetu huwa anaporomosha masredi ya ajabu bora leo ameongea la maana nimeona nimgongee thanks.
 
Mkuu NE, una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia. You need help kabla hujachanganyikiwa and it is not late.

From your threads and posts, haimpti tabu mtu yeyote kukusoma wewe ni mtu wa namna gani na unafanya nini.

Thread yako hii haina supporting facts zozote zaidi ya kujaa hisia na majungu.

Give us a break Madame.

Respect.

Leo nimeamua kuwapa dozi kubwa, tena huyo Allien nina wasiwasi nae sana bcoz he has alot of technics and am not sure if he is committed or not.


Kama niko committed au siko committed; that is not an issue here. Hili ni jukwaa na kuelimishana WHERE WE DARE TO TALK OPENLY. Of course ni vema basi kukiwa na basis ya hiyo openness.

Respect.

so what do u need me to clarify?

Stop confusing people na thread zako zinazoji-contradict. Stop double standards. Be honest. Transform.

In fact tumeshakusoma sana. We know what is in your mind hata tabia zao.

Tunaweza kujibu post zako zote kwa kukuwekea post zako mwenyewe zikujibu.

Uko very controversial.


Allien kweli ni Allien haswaaa
Mwenzio hapo ktk RED alitaka uthibitisho ili kama uko commited akutokee kama yule MUME WA JIRANI

Through experience nimeona wababa wengi sana wanahonga pesa nyingi kwa vimada lakini hawawatunzi wake zao ipasavyo. Utakuta mwingine hata watoto anashindwa kuwalipia ada ila kimada kinatunzwa haswa. Kuna mmoja namjua yeye kapangisha double room mtaani ila kimada kampangishia self contained!!! hii ni akili kweli? Mmoja ana kampuni kubwa tu halafu ofisini kamuweka kimada na wife anafanya vibarua kwenye mashamba ya mauwa. this is shame. Utakuta libaba likienda kwa kimada linabembelezwa uwongo na kweli basi linaona linapendwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe wapi unafanywa zoba. You should learn to love your wives and dont waste time with SUB-HOUSE.

Kam kuna mwenye tabia hii huku kwa great thinkers acha mara moja.

Yaani MUME WA JIRANI anakufanyia yote haya (RED)??? Halafu kumbe unamfanya zoba (BLUE)
Halafu ukimchoka huyo atafuatia MUME WA JIRANI YAKE JIRANI, halafu MUME WA NDUGU YAKE JIRANI then MUME WA BABA AKE JIRANI, ukimaliza waume za majirani watafuatia MAKAKA WA MAJIRANI . . .
Kweli Allien kasema, thread zako ndo zina majibu yote
Nakushauri uanze dozi za ARV mapema
 
nadhani huyu NE anatakiwa apatiwe mwanasaikolojia mzuri .
mimi naona ana matatizo makubwa kwenye ulimwengu wake unaomzunguka.
Kama angekuwa anatokea IRINGA tungekuwa tunasema mengine
pole sana NE na kweli ww ni NE.
narusha lapa
 
Tatizo wake zetu hamtupetpet knye mamboz hamjitumi kama vmada, unategemeaje?
 
Back
Top Bottom