Wababe 19 wa Afrika walioshindwa kukata tiketi ya kushiriki michuano ya CAFCL

Wababe 19 wa Afrika walioshindwa kukata tiketi ya kushiriki michuano ya CAFCL

Round ya pili inategemea rank timu 10 kwenye rank ndio zinaanzia round ya pili. Hivyo kama 4 zitaenda shirikisho Yanga itaingia kwenye timu 10 za kuanzia round ya pili.
Timu kupata nafasi ya kuanzia raundi ya pili huwa inatokana na idadi ya wanachama wa CAF watakaoshiriki michuano ya CAF interclub.

Kwenye hatua ya awali, zinatakiwa timu ziwe 64 ili zikichezwa mechi zibakie timu 32 zitakazocheza raundi ya pili, ila kinachotokea ni kwamba wanachama wengine wanaweza kushindwa kushiriki michuano ya CAF kutokana na sababu mbalimbali kama miundombinu, ukosefu wa fedha, n.k na ndio maana ikifikia pazia jipya la michuano CAF hutoa fursa kwa mashirikisho wanachama wa CAF kusajili vilabu vyao vitakavyoshiriki michuano ya CAF ngazi ya vilabu kisha baada ya usajili wanapata kujua ni timu ngapi zitashiriki klabu bingwa na ngapi zitashiriki kombe la shirikisho.

Baada ya kujua, wanaangalia kama zimetia timu 64 au zimepungua au zimezidi. Kama zimepungua timu 64, hapo wanaangalia kuna upungufu wa timu ngapi. Mfano kuna timu 58 ndio zinashiriki hapo kuna pungufu wa timu 6 hivyo hizo timu 6 zitaanzia moja kwa moja hatua ya pili.

Kwahiyo inakuwa 58-6 = 52
Timu 52 zitacheza hatua ya awali na kisha timu 26 zitafuzu na 26 zitatoka. Timu 26 zitakazofuzu zitajumlisha na zile 6 zilizopelekwa raundi ya pili moja kwa moja na kutimiza jumla ya timu 32.


Hivyo nafasi ya kuanzia hatua ya pili haipo guarantee kuwa ni lazima timu 10 bali hutegemea idadi ya timu zinazoshiriki michuano.

Msimu wa 2018/2019
Timu zilikuwa 57 kutoka kwa wanachama 46 hivyo timu 7 pekee ndio zilianzia hatua ya pili

Msimu wa 2019/2020

Timu zilikuwa 61 kutoka kwa wanachama 49 hivyo ni timu 3 pekee ndio zilizopata nafasi ya kufuzu moja kwa moja hatua inayofuata

1) Tp Mazembe
2)Es Tunis
3) Wydad

Hadi Al Ahly mwenyewe huo msimu alianzia hatua ya awali kabisa.
 
CAF wanapotaka majina ya washiriki wa Mashindano Yao,hawaangalii ligi yenu imeisha au imeanza,mtajua nyinyi mumpeleke Nani,Misri mwaka Jana walipeleka alieongoza mzunguko wa kwanza,mwaka huu pia,..anaenda Pyramid anaongoza Hadi Sasa
Huu mwezi wa sita, je dirisha la CAF la usahili wa vilabu umeshafunguliwa ( calendar mpya ya CAF interclub championship) ishu ya misri ilikuwa imetokana na CAF kuanza usahili wa vilabu kwa msimu mpya huku ligi ya misri ikiwa haijatamatika. Ila nachoshangaa hapa kwamba usahili wa CAF bado mpaka mwezi wa saba lakini mtu ame confirm timu wakati hata ligi haijaisha. Unless mniambie kuwa tayari CAF wameshatoa deadline ya usahili wa vilabu vitakavyoshiriki michuano msimu wa 2024/2025
 
Huu mwezi wa sita, je dirisha la CAF la usahili wa vilabu umeshafunguliwa ( calendar mpya ya CAF interclub championship) ishu ya misri ilikuwa imetokana na CAF kuanza usahili wa vilabu kwa msimu mpya huku ligi ya misri ikiwa haijatamatika. Ila nachoshangaa hapa kwamba usahili wa CAF bado mpaka mwezi wa saba lakini mtu ame confirm timu wakati hata ligi haijaisha. Unless mniambie kuwa tayari CAF wameshatoa deadline ya usahili wa vilabu vitakavyoshiriki michuano msimu wa 2024/2025
Katika hizo tImu unadhani tImu gani inanafasi ya kucheza CAFCL,tuangalie google msimamo wa league husika
 
Katika hizo tImu unadhani tImu gani inanafasi ya kucheza CAFCL,tuangalie google msimamo wa league husika
USM Alger ana point 43 huku aliyekuwa wa pili ana point 49
Kuna michezo mitatu kwa kila mmoja hivyo ana nafasi ya kucheza endapo atashinda michezo yote mitatu na endapo wenzake watatoa sare au kufungwa mechi moja.
 
USM Alger ana point 43 huku aliyekuwa wa pili ana point 49
Kuna michezo mitatu kwa kila mmoja hivyo ana nafasi ya kucheza endapo atashinda michezo yote mitatu na endapo wenzake watatoa sare au kufungwa mechi moja.
Nimeangalia,upo sahii lakini nahisi mtoa mada kawatoa hapo USM Alger coz USM hata akishinda zote tatu,wajuu yake wapoteze zote tatu,points watakua sawa,.halafu GD USM ana 5,wenzie Wana 17,so almost impossible kuwafikia, technically USM hachezi CAFCL
 
Nimeangalia,upo sahii lakini nahisi mtoa mada kawatoa hapo USM Alger coz USM hata akishinda zote tatu,wajuu yake wapoteze zote tatu,points watakua sawa,.halafu GD USM ana 5,wenzie Wana 17,so almost impossible kuwafikia, technically USM hachezi CAFCL
Umeandikaje? USMA akishinda mechi zote tatu anakuwa na 43 + 9 = 52 point. Wakati wa juu yake akipoteza zote wanakuwa na 49 points
 
Timu kupata nafasi ya kuanzia raundi ya pili huwa inatokana na idadi ya wanachama wa CAF watakaoshiriki michuano ya CAF interclub.

Kwenye hatua ya awali, zinatakiwa timu ziwe 64 ili zikichezwa mechi zibakie timu 32 zitakazocheza raundi ya pili, ila kinachotokea ni kwamba wanachama wengine wanaweza kushindwa kushiriki michuano ya CAF kutokana na sababu mbalimbali kama miundombinu, ukosefu wa fedha, n.k na ndio maana ikifikia pazia jipya la michuano CAF hutoa fursa kwa mashirikisho wanachama wa CAF kusajili vilabu vyao vitakavyoshiriki michuano ya CAF ngazi ya vilabu kisha baada ya usajili wanapata kujua ni timu ngapi zitashiriki klabu bingwa na ngapi zitashiriki kombe la shirikisho.

Baada ya kujua, wanaangalia kama zimetia timu 64 au zimepungua au zimezidi. Kama zimepungua timu 64, hapo wanaangalia kuna upungufu wa timu ngapi. Mfano kuna timu 58 ndio zinashiriki hapo kuna pungufu wa timu 6 hivyo hizo timu 6 zitaanzia moja kwa moja hatua ya pili.

Kwahiyo inakuwa 58-6 = 52
Timu 52 zitacheza hatua ya awali na kisha timu 26 zitafuzu na 26 zitatoka. Timu 26 zitakazofuzu zitajumlisha na zile 6 zilizopelekwa raundi ya pili moja kwa moja na kutimiza jumla ya timu 32.


Hivyo nafasi ya kuanzia hatua ya pili haipo guarantee kuwa ni lazima timu 10 bali hutegemea idadi ya timu zinazoshiriki michuano.

Msimu wa 2018/2019
Timu zilikuwa 57 kutoka kwa wanachama 46 hivyo timu 7 pekee ndio zilianzia hatua ya pili

Msimu wa 2019/2020

Timu zilikuwa 61 kutoka kwa wanachama 49 hivyo ni timu 3 pekee ndio zilizopata nafasi ya kufuzu moja kwa moja hatua inayofuata

1) Tp Mazembe
2)Es Tunis
3) Wydad

Hadi Al Ahly mwenyewe huo msimu alianzia hatua ya awali kabisa.
Inakuaje wanachama wawe 49 halafu timu ziwe 61?
 
Hawa wakubwa wote wapo shirikisho, Simba mjipange muache ubabaishaji vinginevyo mtaishia makundi.

Simba SC [emoji1241]
• Zamalek SC [emoji1093]
• Wydad AC [emoji1173]
• ASEC Mimosas [emoji1081]
• RS Berkane [emoji1173]
• AS Vita Club [emoji1078]
• CS Sfaxien [emoji1249]
• ZESCO United [emoji1268]
• Etoile du Sahel [emoji1249]
• Coton Sport de Garoua [emoji1062]
• USM Alger [emoji1026]
• Primeiro de Agosto [emoji1029]
• Asante Kotoko [emoji1110]
• Hearts of Oak [emoji1110]
• Stade Malien [emoji1159]
• Real Bamako [emoji1159]
• Kaizer Chiefs [emoji1221]
• Vipers SC [emoji1254]
• Power Dynamos [emoji1268]
Wydad hatashiriki kombe lolote
Zamalek ni bingwa wa CAFCC atashiriki CAFCL kwa title hiyo.
 
Zamalek ataenda Ligi ya Mabingwa kwa sababu ametwaa kombe la shirikisho ambalo limempa tiketi ya moja kwa moja
 
Zamalek ataenda Ligi ya Mabingwa kwa sababu ametwaa kombe la shirikisho ambalo limempa tiketi ya moja kwa moja
Hakuna sheria ya hivyo kwa Africa, hiyo sheria ipo kwa UEFA huko sio CAF. Bingwa wa kombe la shirikisho hatocheza klabu bingwa kama kwenye ligi kuu ya nchini kwake kashindwa kuwa katika msimamo unaomfanya afuzu klabu bingwa. Bingwa wa shirikisho unafuzu moja kwa moja kucheza shirikisho labda uwe bingwa wa ligi kuu ndio utacheza klabu bingwa au kama taifa lenu lina vigezo vya kuingiza timu mbili klabu bingwa basi uwe nafasi ya pili kwenye ligi kuu. Mfano mzuri ni USM Alger alikuwa bingwa wa kombe la shirikisho lakini hakucheza klabu bingwa kacheza huko huko shirikisho.
 
Inakuaje wanachama wawe 49 halafu timu ziwe 61?
Idadi ya wanachama wanaoshiriki ndio inayopelekea kujua jumla ya idadi ya timu zitakazoshiriki michuano.
Hapo kuna wanachama jumla 49, kumbuka kwenye hao wanachama 49 kuna wanachama 12 wanatoa timu mbili klabu bingwa.

49-12=37
Wanachama 37 wanaingiza timu moja moja na wanachama 12 zikiingiza timu mbili mbili kunakuwa na jumla ya timu 24
Hivyo timu 24 ukijumlisha na timu 37 unapata jumla ya timu 61
 
Timu zote izo zimebaki jina tu. Zamalek ashachoka uyo wydad kauza wachezaji wake tegemeo karibu wote ndio maana hata msimu huu ameyumba sana. Sema simba nae sasa hivi tia maji tia maji lakini kama angekua yanga anapiga hao wote bila shida kabisa
Zamalek bingwa wa shirikisho unaandika kachoka ?Yanga amfunge zamalek?ukiwa shabiki jipe nafasi ya kutumia akili ,huyo zamalek kamfunga Ahly ambaye wewe kumfinga ni ndoto
 
Mpira hauchezwi mdomoni kijana. Simba aliemtoa jasho al ahly kwenye AFL kwa yanga alipigwa goli 5 kama kasimama
Zamelek bingwa wa shirikisho kachoka ? Huu ni uhaini dhidi ya mpira.Bingwa wa shirikisho aliyemfunga bingwa wa kihistoria awe mchovu.Simba kafungwa nje ndani na Ahly au wewe ulikuwa kijijini?Unaijua Ahly ya club bingwa au unaiongelea Ahly ya mechi mbili unaingia fanal.
 
Zamelek bingwa wa shirikisho kachoka ? Huu ni uhaini dhidi ya mpira.Bingwa wa shirikisho aliyemfunga bingwa wa kihistoria awe mchovu.Simba kafungwa nje ndani na Ahly au wewe ulikuwa kijijini?Unaijua Ahly ya club bingwa au unaiongelea Ahly ya mechi mbili unaingia fanal.
Si mnasemaga shirikisho ni kombe la vibonde? Mbona tena ghafla kauli zinabadilika
 
Back
Top Bottom