Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Baada ya kusema vipi mlimzingatia au mkampuuza?Aliyesema ni mtu wenu anaitwa haji manara kamuhoji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kusema vipi mlimzingatia au mkampuuza?Aliyesema ni mtu wenu anaitwa haji manara kamuhoji
Mnaichukulia sana poa yanga hata kwa mamelod sundowns mlisema atapigwa nyingi badala yake sundowns akapota kwa mbeleko. Zamalek achague uwanja wowote muda wowote kwa yanga anakalishwa mapema tuZamelek bingwa wa shirikisho kachoka ? Huu ni uhaini dhidi ya mpira.Bingwa wa shirikisho aliyemfunga bingwa wa kihistoria awe mchovu.Simba kafungwa nje ndani na Ahly au wewe ulikuwa kijijini?Unaijua Ahly ya club bingwa au unaiongelea Ahly ya mechi mbili unaingia fanal.
Sio round ya pili ni round ya kwanza, Simba na Yanga zitaanzia round ya kwanza kwenye michuano watakayoshiriki, hawata anzia hatua za awaliRound ya pili inategemea rank timu 10 kwenye rank ndio zinaanzia round ya pili. Hivyo kama 4 zitaenda shirikisho Yanga itaingia kwenye timu 10 za kuanzia round ya pili.
Ligi ya Egypt itachelewa kuisha, yanachukuliwa matokeo ya last season ambayo yaliwabeba Al Ahaly, huu ni mwaka wa pili mfululizo wanatumia mfumo wa matokeo ya last season.kaizer aendi shirikisho, stellenbosch and
Sekhukhune United.
egpty ligi bado mbichi
hii list ya uongo,
Kama ndio hivyo soka la Afrika bado sana kukua kudadekiHakuna sheria ya hivyo kwa Africa, hiyo sheria ipo kwa UEFA huko sio CAF. Bingwa wa kombe la shirikisho hatocheza klabu bingwa kama kwenye ligi kuu ya nchini kwake kashindwa kuwa katika msimamo unaomfanya afuzu klabu bingwa. Bingwa wa shirikisho unafuzu moja kwa moja kucheza shirikisho labda uwe bingwa wa ligi kuu ndio utacheza klabu bingwa au kama taifa lenu lina vigezo vya kuingiza timu mbili klabu bingwa basi uwe nafasi ya pili kwenye ligi kuu. Mfano mzuri ni USM Alger alikuwa bingwa wa kombe la shirikisho lakini hakucheza klabu bingwa kacheza huko huko shirikisho.