Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ukiangalia kwa undani utaona kuwa mataifa yaliyoendelea kiuchumi na yale yenye uchumi wa Kati, yote kwa pamoja yanapigana vikumbo kuigombania Afrika.
Siyo kama mshirika wa kimaendeleo bali kama soko na chanzo cha malighafi katika kuendeleza chumi zao.
Wakati wababe hao wa Dunia wakipigana vikumbo, waafrika wenyewe wako bize sana kushangilia na kushadadia nani ana ushawishi zaidi Afrika kuliko mwingine.
Muda si mrefu kunaweza kuzuka vita Afrika ya kupigana kundi moja dhidi ya jingine kwa misingi ya kundi lipi linamuunga mkono mbabe gani wa dunia.
Afrika tumelaaniwa!!??
Siyo kama mshirika wa kimaendeleo bali kama soko na chanzo cha malighafi katika kuendeleza chumi zao.
Wakati wababe hao wa Dunia wakipigana vikumbo, waafrika wenyewe wako bize sana kushangilia na kushadadia nani ana ushawishi zaidi Afrika kuliko mwingine.
Muda si mrefu kunaweza kuzuka vita Afrika ya kupigana kundi moja dhidi ya jingine kwa misingi ya kundi lipi linamuunga mkono mbabe gani wa dunia.
Afrika tumelaaniwa!!??