Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Kabisa!Tulikua tunawalaumu mababu zetu enzi za utumwa ila kumbe na sie ni wale wale. Akili ndogo tumejaliwa waafrika daah
Yaani unakutana na mtu kajipa kibyongo kwa mbwembwe za usomi na madaraka, lakini na yeye ni kibaraka wa hao wababe. Unadhani bila ya msaada wa viongozi wetu wa kale babu zetu wangechukuliwa utumwa kwa yale maelfu ya watu?
Leo hii kina Mangungo wetu ni hawa wanaoitwa waheshimiwa Rais, waziri, mabalozi na wabunge wa nchi zetu za Afrika.