johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi endesha kikao mkuu kilicho na wajumbe wanaotoka mbali kinachohitaji mjumbe kulipwa transiport go and return, ontransit,night allowance, sitting allowance, conference package(wastani ni 45,000-60,000) kwa kichwa kulingana na hoteli),mafuta ya magari, supporting staffs/secretariet, miscn. Usichukulie poa watu 1,200Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Sasa kama hana hela anafanya vya nini.Umewahi endesha kikao mkuu kilicho na wajumbe wanaotoka mbali kinachohitaji mjumbe kulipwa transiport go and return, ontransit,night allowance, sitting allowance, conference package(wastani ni 45,000-60,000) kwa kichwa kulingana na hoteli),mafuta ya magari, supporting staffs/secretariet, miscn. Usichukulie poa watu 1,200
Bajeti ya serikali Yako , kila mwaka asilimia 40% ni bakuli la ombaomba kwa mabeberu ,unashangaa taasisi? Unashangaa chama Cha siasa, unashangaa kambi ya kampeni??Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Moderator this is too much mkiendelea kumwachia huyu kuendelea kuandika upuuzi wake wa kila aina JF yetu itatazamwa kwa jicho lingineSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Moderator wanampa airtime sana ndio maana yuko huru kuandika upuuzi wa kila ainaBajeti ya serikali Yako , kila mwaka asilimia 40% ni bakuli la ombaomba kwa mabeberu ,unashangaa taasisi? Unashangaa chama Cha siasa, unashangaa kambi ya kampeni??
Kweli siku hizi Kuna MAPUMBAVU mengi sana akiwemo mtoa Uzi ,Bado kuvua nguo tu🤔🤔🤔😅🤣😅🤣🚴🚴
Ni kweli kila siku nyuzi za kijinga na anapewa nafasi ya kuwaudhi na kuwakera watu kwa vitu nonsense!!Moderator wanampa airtime sana ndio maana yuko huru kuandika upuuzi wa kila aina
Mbona hawajaja kubangaiza hapa jf?Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Halafu wanamdharau mbowe aliyekuwa anawasaidiaSasa kama hana hela anafanya vya nini.
Kuna mtu hamjui?
Utachanga mambo mangapi.
Gari, Nyumba, Chakula ubelgiji, vikao, press, castle lite...
Gari lenyewe bado hajamaliza kuchangisha anataka nyingine tena..
Mkiambiwa Siasa ni pesa na ni ghali muwe mnaelewa....
Samia anazo ngapi kama siyo za TRA?Sasa kama hana hela anafanya vya nini.
Kuna mtu hamjui?
Utachanga mambo mangapi.
Gari, Nyumba, Chakula ubelgiji, vikao, press, castle lite...
Gari lenyewe bado hajamaliza kuchangisha anataka nyingine tena..
Mkiambiwa Siasa ni pesa na ni ghali muwe mnaelewa....
🚮🚮🚮Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
🚮🚮🚮Halafu wanamdharau mbowe aliyekuwa anawasaidia
Wapuuzi kweli hawa
Lissu amekurupuka kugombea uenyekiti....Angesubiri mbowe aachie ngazi apambane na mwingine.Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Sisi wabangaizaji mdogomdogo tutafika...Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Haahaa mbowe akiachia atamwachia jemsi mboweLissu amekurupuka kugombea uenyekiti....Angesubiri mbowe aachie ngazi apambane na mwingine.
Samia anagombea nini Chadema, nilitoka nikumbusheSamia anazo ngapi kama siyo za TRA?