Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Sitoi ht mia Kwa huu upumbavu unaoendeleaWanasema Chama ni kutembeza bakuli .. changa ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitoi ht mia Kwa huu upumbavu unaoendeleaWanasema Chama ni kutembeza bakuli .. changa ndugu
Ilete tuioneSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Poleni mnaomwamini Lisu mbelgiji. Kikinuka anasepa kwaoSitoi ht mia Kwa huu upumbavu unaoendelea
Ccm yenyewe inachangisha hadi leoSasa kama hana hela anafanya vya nini.
Kuna mtu hamjui?
Utachanga mambo mangapi.
Gari, Nyumba, Chakula ubelgiji, vikao, press, castle lite...
Gari lenyewe bado hajamaliza kuchangisha anataka nyingine tena..
Mkiambiwa Siasa ni pesa na ni ghali muwe mnaelewa....
kwahiyo ulitaka wakachukue fedha kwa mama abdul?Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Unashangaa umasikini Tanzania?Wewe ndiye unatakiwa ushangawe.Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Ukombozi wa kiuchumi wa chadema ni mbowe kukaa pembeni kama mwenyekiti, miaka 20+ imetoshaMbowe akiamua kuchukua mali zake zote cdm inaenda mochwari jumla.
Na wakifanya makosa tu kumchagua lisu ndo mwisho wa cdm.
Watu wanapiga domo tu hawajui kuendesha chama ni pesa
Nimesema upuuzi wa kila aina.. Je hukuelewa hapo?Upuuzi kwa nani?Ili upinge upuuzi pinga upuuzi wa aina zote. Umechagua upande hivyo kuwa mvumilivu wa kusikiliza upande usioutaka.Ndiyo demokrasia.
Au unataka udikteta wako ndio uwe ukweli?Unaweza kutokubaliana na mtu lakini ni lazima uunge mkono uhuru wake wa kujieleza.Mpinge kwa hoja na kudai ushahidi sio kumfunga mdomo.
..Hatutaki chama Cha kuchangiwa na mtu mmoja, chadema inapigania kuwa huru kama taasisiKabisa
Wabongo so unawajua Kwa unafiki
Kumbe wakili ni mdau wa castle lite??Sasa kama hana hela anafanya vya nini.
Kuna mtu hamjui?
Utachanga mambo mangapi.
Gari, Nyumba, Chakula ubelgiji, vikao, press, castle lite...
Gari lenyewe bado hajamaliza kuchangisha anataka nyingine tena..
Mkiambiwa Siasa ni pesa na ni ghali muwe mnaelewa....
hizo ARV unazobugia kama karanga ni bakuri kutoka kwa watu wa marekani ukiacha chandarua ambazo mpaka unavulia samaki CCM ni mshauri mkuu wa shetaniSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
kama serikali yako ya mambuzi inachimbiwa vyoo vya shule na wakorea na inakusanya kodi zaidi ya miaka 60 unaishangaa chadema taasisi kuchangishana ina maana akili yako ipo matyakoni kwa vyovyoteSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
sure, huyu Yohana Mbatizaji (feki) adhibitiwe!Moderator this is too much mkiendelea kumwachia huyu kuendelea kuandika upuuzi wake wa kila aina JF yetu itatazamwa kwa jicho lingine
Kiswahili kinakupa shida. Upuuzi kwa watu wote sio yeye tu.Huwa unaandika upuuzi unavumiliwa hivyo wavumilie wengine wakiandika upuuzi wao.Nimesema upuuzi wa kila aina.. Je hukuelewa hapo?
Ndio maana Lissu anataka uenyekiti, haiwezekani pesa za chama ashikilie Mbowe, huku ni kukishika chama matekaSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼