Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Wanasema Chama ni kutembeza bakuli .. changa nduguHalafu wanamdharau mbowe aliyekuwa anawasaidia
Wapuuzi kweli hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema Chama ni kutembeza bakuli .. changa nduguHalafu wanamdharau mbowe aliyekuwa anawasaidia
Wapuuzi kweli hawa
Mbona amechelewa, kikao hiki sio dharura.Bajeti ya serikali Yako , kila mwaka asilimia 40% ni bakuli la ombaomba kwa mabeberu ,unashangaa taasisi? Unashangaa chama Cha siasa, unashangaa kambi ya kampeni??
Kweli siku hizi Kuna MAPUMBAVU mengi sana akiwemo mtoa Uzi ,Bado kuvua nguo tu🤔🤔🤔😅🤣😅🤣🚴🚴
Nilitaka kukumbusha kuwa mgombea uongozi siyo lazima awe na pesa na hata akiwa nazo hapaswi kuzitumia kwa kufanya kampeni!Samia anagombea nini Chadema, nilitoka nikumbushe
Acha hizo wewe mchawi!! Mbona wewe huwa unaleta thread za kijinga mara nyingi tu humu JF!!??Moderator this is too much mkiendelea kumwachia huyu kuendelea kuandika upuuzi wake wa kila aina JF yetu itatazamwa kwa jicho lingine
Kama zipo ziripoti usizusheAcha hizo wewe mchawi!! Mbona wewe huwa unalete thread za kijinga mara nyingi tu humu JF!!??
Halafu wanamdharau mbowe aliyekuwa anawasaidia
Wapuuzi kweli hawa
Ni wehu kama maria sarungi pekee watachangaSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni [emoji209]
Upuuzi kwa nani?Ili upinge upuuzi pinga upuuzi wa aina zote. Umechagua upande hivyo kuwa mvumilivu wa kusikiliza upande usioutaka.Ndiyo demokrasia.Moderator wanampa airtime sana ndio maana yuko huru kuandika upuuzi wa kila aina
Huyu Yohane amekuwa mwehu.Moderator wanampa airtime sana ndio maana yuko huru kuandika upuuzi wa kila aina
Mbowe akiamua kuchukua mali zake zote cdm inaenda mochwari jumla.Halafu wanamdharau mbowe aliyekuwa anawasaidia
Wapuuzi kweli hawa
Haahaa mbowe akiachia atamwachia jemsi mbowe
Mbowe alikuwa anafanya biashara kila hela aliyoikopesha Chadema amesharudishiwa. Hadai hata senti moja.Mbowe akiamua kuchukua mali zake zote cdm inaenda mochwari jumla.
Na wakifanya makosa tu kumchagua lisu ndo mwisho wa cdm.
Watu wanapiga domo tu hawajui kuendesha chama ni pesa
Sio Kila chama kina uwezo wa kuchota kwenye hazina ya Taifa, unakumbuka Yale magari (V8)yaliyo pakwa rangi ya kijani wakati wa hayati.Sasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
Au tumuite Matonya? Ahahahahaha!!Sasa kama hana hela anafanya vya nini.
Kuna mtu hamjui?
Utachanga mambo mangapi.
Gari, Nyumba, Chakula ubelgiji, vikao, press, castle lite...
Gari lenyewe bado hajamaliza kuchangisha anataka nyingine tena..
Mkiambiwa Siasa ni pesa na ni ghali muwe mnaelewa....
Chadema daima , Mbowe ameshindwa kusoma nyakati ,sasa atondoka kwa fimbo na haiibu ya karneSasa Kauchaguzi ka Wajumbe 1200 mnachangishana fedha za nini?
Tangazo liko Kwa Mbangaizaji Maria kule X
Ahsanteni 🐼
KabisaMbowe akiamua kuchukua mali zake zote cdm inaenda mochwari jumla.
Na wakifanya makosa tu kumchagua lisu ndo mwisho wa cdm.
Watu wanapiga domo tu hawajui kuendesha chama ni pesa