Wabeba maboksi wa Denmark wamlilia Rais Magufuli

Unaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.
Ahahahahaaaaa mkuu habari za siku? nadhani hao vijana hawakujui kama wewe ni kikongwe,
Mshitue na malaria sugu basi kwa sasa mko huru
 
Ahahahahaaaaa mkuu habari za siku? nadhani hao vijana hawakujui kama wewe ni kikongwe,
Mshitue na malaria sugu basi kwa sasa mko huru
Kwani walifungwa hata useme kwa sasa wako HURU?
 
Unaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.
Maulana Ritz umanipa faraja kubwa sana kukuona hapa Jamvini.
Watoto wa mzazi mmoja wanakuja mbio kufurahia ujio wetu.
Wasameh bure. Hawakuwahi kupata malezi ya baba.

Allah akuongeze umri Ustadh wangu.
 
Reactions: Izz
Nimeona hii video nikacheka sana wenzangu ninaoishi nao hapa Denmark, kweli Watanzania tuko vizuri kwa sanaa, dah! Hahahahahaaa.
 
Braza Ritz siamin sasa hivi huko active jamvini na Bibie FaizaFoxy naye karudi kahtaan haonekani.

Let's just wait aftwe 100 days

Wachaga na wagalatia tumekwisha.
Mkuu wewe si miezi kadhaa nyuma ulituaminisha umepewa life ban ya hii ID. Kwenye uzi flani wa W. Africa. Alafu last year na ile ID kuna sehemu uliniquote ukasema somebody atang'ata shuka baada ya kundi fulani kuruhusu. Kuna kubeba box kweli hapa[emoji848]
 
Naam, MJ, Mwenyekiti Wetu wa Wabeba Maboksi GA.
 
Hata hapa TZ ilikuwa hivi
Your browser is not able to display this video.
 
Naam, MJ, Mwenyekiti Wetu wa Wabeba Maboksi GA.
Who? You got me confused with somebody else.

Nevertheless, put respect on my title.

Mimi ni Rais. Rais wa Wabeba Maboksi.

NB: Kabula kakusubiri hadi kachoka. Your ass never showed up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…