kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Ahahahaaaa vimeumanaWhat’s that?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaaaa vimeumanaWhat’s that?
Ahahahahaaaaa mkuu habari za siku? nadhani hao vijana hawakujui kama wewe ni kikongwe,Unaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.
Tayari na lizaboni washaibuka.Walikuwa kimya tu huku wakijifanya wana kubali kazi zake kumbe wanafiki.
Very soon utaanza kumuona na Fayza Fox
Kwani walifungwa hata useme kwa sasa wako HURU?Ahahahahaaaaa mkuu habari za siku? nadhani hao vijana hawakujui kama wewe ni kikongwe,
Mshitue na malaria sugu basi kwa sasa mko huru
Kamanda chembe kidevu nimefurahi kukuona maalim wangu.Kwani walifungwa hata useme kwa sasa wako HURU?
Bi mkubwa unatafuta mchawi au?Walikuwa kimya tu huku wakijifanya wana kubali kazi zake kumbe wanafiki.
Very soon utaanza kumuona na Fayza Fox
Maulana Ritz umanipa faraja kubwa sana kukuona hapa Jamvini.Unaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.
HuyooooMkuu mpk nipake poda?
Cheupe hebu nikuone ukiwa umepaka poda...Mkuu mpk nipake poda?
Mkuu wewe si miezi kadhaa nyuma ulituaminisha umepewa life ban ya hii ID. Kwenye uzi flani wa W. Africa. Alafu last year na ile ID kuna sehemu uliniquote ukasema somebody atang'ata shuka baada ya kundi fulani kuruhusu. Kuna kubeba box kweli hapa[emoji848]
Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa.
Nyuso zao ni za simanzi kubwa. Hakika kifo cha Magufuli kimewagusa watu dunia nzima.
Na hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wabeba maboksi wote wa Kitanzania duniani kote.
Machi 26 tuliweka chini maboksi kuungana na Watanzania wenzetu kumzika aliyekuwa Rais wetu.
Ulitaka wakulilie wewe fisadiWalimlilia Magufuli hivi walikuwa wanamfahamu huyu babu hawa?? yaani walitoa machozi yao kumlilia kabisaaaa??
Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa.
Nyuso zao ni za simanzi kubwa. Hakika kifo cha Magufuli kimewagusa watu dunia nzima.
Na hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wabeba maboksi wote wa Kitanzania duniani kote.
Machi 26 tuliweka chini maboksi kuungana na Watanzania wenzetu kumzika aliyekuwa Rais wetu.
Who? You got me confused with somebody else.Naam, MJ, Mwenyekiti Wetu wa Wabeba Maboksi GA.