Wabeba maboksi wa Denmark wamlilia Rais Magufuli

Wabeba maboksi wa Denmark wamlilia Rais Magufuli

JF ya zamani imerudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu humu matumbo yanawaka moto baada ya kuwaona hawa masheikh wangu

Allah awazidishieni umri mrefu wenye kheri nanyi masheikh wangu na waislamu wote


kahtaan
FaizaFoxy
Ritz
Lizaboni
Izz
Amin ya rabbi I alaamin!

Naam tumerejea kutoa darsa, maana vijana wanazidi kupotea kwa kula ugoro na kunywa Mapuya!

Teh teh teh!
 
Hilo jangwa la wapi lenye maua bi mkubwa? Au tayari saa sita kasoro ?
Kiroba na jua hili la masika unaweza kwenda imba taarabu kanisani ukaachiwa razi na Gwajima.
Shauri yako.
Huyu bi Nyani Ngabu asikudanganye anabeba box.
Mikono laini ka bandama abebe box lipi?
Sisi wasukuma ndio wachapa kazi.
Huyu mdigo kazi yake anaijua mwenyewe. Nisije kupata dhambi mwezi mtukufu huu.
Maalim ulamaa alhabib Dr kahtaan, nakuona unampa mtu jiti la ROHONI

Teh teh teh!
 
20210329_123416.jpg
 
Roho mbaya ni sumu kwako mwenyewe.Unajikomoa mwenyewe,unaemsema vibaya hayupo tena katika dunia hii,pambana na hali yako mkuu.
Mkuu huyu bwana JOESKY nimiongoni mwa watu wa JK, jiwe alivo ingia madalakani aliwazibia ugari wa magendo ndo maana anamchukia jiwe, fuatilia thread zake ndo utaelewa nacho kisema
 
Hao wabeba Maboksi hawajui kuwa tumepigwa sana na huyo wanaemlilia
Acha majungu ya kike bibie.
Toka lini muuza leso akapigwa?
We omba jua liwake uuze hilo leso.
Unamlaumu marehemu kwa mvua kuanza kumiminika au?
Mzee wetu katangulia mbele ya haki. Una malalamiko nenda polisi ukajieleze km una damu ya Kitanzania. Unless we ndio wale banyamulenge. Miguu yote left hand.
 
Walimlilia Magufuli hivi walikuwa wanamfahamu huyu babu hawa? yaani walitoa machozi yao kumlilia kabisaaaa??
Shangazi nakuuliza magufuli amekukosea nini bata mchanga km wewe?
Wewe uuze nyama za kupiga kabali kwenye hayo mabucha bubu ulitegemea uachwe tu au?
Bila magufuli mngetulisha sana vibudu nyie viumbe msio na imani.
Tena usidhani moto umezimika.
Endelea kuuza nyamafu uone.
Keko siku hizi ukiingia tu unapewa poda na lipstick.
Kazi kwako
 
Kwa kumuenzi wakawekeze Chato.
@nyani ngabu akawekeze nini kamanda Ritz? Mtu mwenyewe taaban dhoofu l hali.

Huyu labda ile marimba ya urithi aloachiwa na bibi yake aende nayo akatuimbie japo nyimbo moja ya maombolezo ya kifipa.
 
Roho mbaya ni sumu kwako mwenyewe.Unajikomoa mwenyewe,unaemsema vibaya hayupo tena katika dunia hii,pambana na hali yako mkuu.
Halafu ukimuuliza kipi kilisababisha kumchukia hana jibu.
 
Jamani alifanya mazuri, tusahau basi yale mnayodhania kakosea, na mazuri yake ushahidi twauona, mabaya yasemwayo hayana ushahidi, ila binadamu lazima awe na kasoro ndugu...uligwa?!
 
Who? You got me confused with somebody else.

Nevertheless, put respect on my title.

Mimi ni Rais. Rais wa Wabeba Maboksi.

NB: Kabula kakusubiri hadi kachoka. Your ass never showed up.
Sawa, Rais MJ-NN, aka Baba Kabula.

Nasikia kitovu kimehama Chatoville.
 
sasa mkuu hilo box mnabebaje huko yani mnakaa madukani kubeba mabox au
Hakuna kuchagua.
Litoke dukani, kwenye lori au nyumbani kwa mtu.
Box kwenda mbele.
Halafu mdanganywa Ulaya kuzuri.
Njoo uone watoto wa baba wanavyozee kabla ya tarehe
 
  • Thanks
Reactions: Izz
Amin ya rabbi I alaamin!

Naam tumerejea kutoa darsa, maana vijana wanazidi kupotea kwa kula ugoro na kunywa Mapuya!

Teh teh teh!
Teh teh teh.
Ulamaa Izz unanipa burudani sana .
Chembe kidevu mahala pake.
Halafu wakiambiwa mapuya haramu wanakuwa wakali.
 
  • Thanks
Reactions: Izz
Back
Top Bottom