Uchaguzi 2020 Wabeba maboksi wawaasa Watanzania wamchague tena Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Wabeba maboksi wawaasa Watanzania wamchague tena Rais Magufuli

Ndiyo tatizo la wafia chama wa diaspora wanawadanganya CCM Mpya.

Wananchi wa Malampaka Tabora, Nanjilinji Kilwa, Handeni Tanga, Heru Juu Manyovu Kigoma, Mbinga Ruvuma n.k vitu hivyo havina mguso ktk maisha yao ya kila siku ya kupata mlo, mashamba yao, uvuvi, ufugaji (kazi /biashara zao), huduma bora za afya, maji safi salama na elimu ya kutatua changamoto ktk maeneo yao.

Kwa kifupi waTanzania wanataka Maendeleo ya Watu katika maeneo yao.
.........................................................................
Masasi, Mtwara
Tanzania

Changamoto za Viwanda vidogo bila Halmshauri za Wilaya kuwapa mikopo



Hali halisi ya wananchi wa kawaida na changamoto za Viwanda vidogo bila Halmshauri za Wilaya kuwapa mikopo kama ilani ya CCM Mpya inavyosema kusaidia kuinua wananchi, ambapo kuna asilimia 5% imetengwa lakini wahusika wanyonge hawafahamu habari hizo wala CCM Mpya kuwapa taarifa hizo. Pia shirika la Maendeleo la Viwanda Vidogo SIDO halijapewa bajeti ya kutosha kuchochea viwanda vidogo.
 
Simpi kura yangu ng'oooooooooooo kura yangu mwaka huu inaenda upinzani
 
Huyo demu diaspora Inaonyesha anamaisha magumu Sana na anatamani arudi bongo
 
Hawa ni wabeba maboksi wa huko Copenhagen, Denmark.

View attachment 1536248
Ikitokea zoezi la sensa kwa "diaspora" wa Bongo waishio ughaibuni utashangaa mno. Ukiondoa wale waliopo ktk ofisi za ubalozi, wengi wao wanaoshi maisha ya kihasara sana kwa kulinganishwa na "indigenous people'. Wapo radhi kuishi maisha duni kwa kificho ili kuonekana kuwa wapo nje, lkn kwa ni watu duni sana huko waliko.
 
Ikitokea zoezi la sensa kwa "diaspora" wa Bongo waishio ughaibuni utashangaa mno. Ukiondoa wale waliopo ktk ofisi za ubalozi, wengi wao wanaoshi maisha ya kihasara sana kwa kulinganishwa na "indigenous people'. Wapo radhi kuishi maisha duni kwa kificho ili kuonekana kuwa wapo nje, lkn kwa ni watu duni sana huko waliko.
Hata kama wanaishi maisha duni [sijui maisha duni kwako ni yepi?], ni maisha yao.

Na hilo halihusiani chochote na wao kutoa maoni yao.
 
Waambie serikali ya awamu ya tano imeharibu kabisa mradi wa mwendokasi. Waambie huku Tanzania mradi kama mradi uliondoka na JK sasaivi kilichobaki ni uchafu mtupu na takataka tu.

Waambie huku kupanda mwendokasi ni kama kukubali kwenda kazini au shule ukiwa mchafu. Mradi haueleweki, mabasi mengi yako hovyo na mabovu, hayafanyiwi maintanance kwa wakati na muda wowote mnaweza kuambiwa hakuna mabasi.

Kikubwa waambie waje siku Tanzania waone jinsi serikali ya awamu ya Tano ilivyoharibu hii mradi. Zaidi waambie kama wanamtaka Magufuli waje wamchukue na ukilaza wao wa CCM kwa sababu sie hatumtaki tenaaa!!
Mwendokasi kaaribu kabisa tena kwa kiburi tu,kwa swala la mwendokasi ni kinyaa kabisa.
 
Wafanyakazi wa ubalozi wetu hapo Netherland wanabeba boksi tena, mmmmmh
 
Kama hao wabeba boksi wanataka uraia pacha basi waache kumsapoti Magufuli, waunge mkono Lissu au Membe. Hao ndo wanapigia chapuo uraia pacha!
 
Wabeba boksi wanashauri nini wakati watanzania maskini namna hii!!

Wapambane na kuchambisha vikongwe huko wanusuru familia zao,wanaisoma namba.
 
Back
Top Bottom