Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #61
Kwani Da Mange yeye anasemaje?
Teh teh teh dereva wa school bus Atlanta.. Mama bongo anakalia sofa alizoacha marehemu mzee tangia miaka ya 90 ๐๐๐Hakuna cha mkongomani hapo....huyo ni msukuma....dereva wa school bus....dadisi vizuri.
Nafikiri uwepo muda wa kuwapa priority wanafuzi. Masaa mawili/matatu kwa siku hasa wakati shule zinapofungwa na saa 1 na nusu na kabla ya shule kufunguliwa. Vile vile mabasi yawepo mengi, pawe na competition kwa kuwa na mashirika yanayotoa hii huduma.Dar es Salaam, Tanzania
2020 Documentary usafiri wa Mwendokasi DSM
Hali halisi na maoni ya abiria wanaotumia usafiri wa mfumo wa mwendokasi BRT
Ripoti hii inazingatia adha halisi na changamoto za usafiri wa umma unaotumia mabasi ya mradi wa BRT Tanzania jijini Dar es Salaam.
Source : ITV Tanzania
Hiyo siyo lafudhi ya kikongo....halafu mbembwe kibao ili kupumbaza maboya๐คฃTeh teh teh dereva wa school bus Atlanta.. Mama bongo anakalia sofa alizoacha marehemu mzee tangia miaka ya 90 ๐๐๐
Nafikiri uwepo muda wa kuwapa priority wanafuzi. Masaa mawili/matatu kwa siku hasa wakati shule zinapofungwa na saa 1 na nusu na kabla ya shule kufunguliwa. Vile vile mabasi yawepo mengi, pawe na competition kwa kuwa na mashirika yanayotoa hii huduma.
Ulaya njaa usituingize huko sisi wa US!
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUlaya njaa usituingize huko sisi wa US!
Pumbaff kabisa, mwendokasi Tz imeletwa na jiwe?!
Mbona una hasira?Pumbaff kabisa, mwendokasi Tz imeletwa na jiwe?!
Poyoyo kweli huyu
Unasupport kuwa huu mradi umeanzishwa na jiwe?Mbona una hasira?
Utakuwa mla vumbi wewe.
Magufuli 2020 ๐ช๐ฟ๐ช๐ฟUnasupport kuwa huu mradi umeanzishwa na jiwe?
Alafu nakuheshimu kweli ila
Kama mimi mla vumbi bhasi we mla ugoro wa kizungu.
mbeba box ni mbeba box tu hata umfanyeje!
Wewe ni mla vumbi?Waambie waje tujenge nchi yetu kwa manufaa ya wajukuu zao ili nao wafurahie matunda ya babu zao na Tanzania iwe sehemu ya kuvutia na sio kukaa huko kulikojengwa na mababu wa wenzao..
Waambie Ulaya na America zilijengwa na watu na sasa wajukuu wanatakiwa wafaidi bila bughudha waje huku nao walijenge Taifa lao..
Sijakataa hiyo Magu 2020, ila kwenye ukweli mseme ukweli na ndiomana JK alipoelezea mpango wa maendeleo wa 1994 ili kufikia uchumi wa kati 2025 alipouelezea tangia ulipoasisiwa (kuanza kusimamiwa) na Mkapa mlinuna wengi na jiwe wenu. Kumbe kila kitu mnataka kumount juu yake kuwa ye ndiye mwanzilishi. Watanzania wa sasa sio wa miaka ya utopolo kama nyinyi mlivyobaki kwenye utopolo.Magufuli 2020 ๐ช๐ฟ๐ช๐ฟ
Mkapa 1994???? We mla vumbi niaje...Sijakataa hiyo Magu 2020, ila kwenye ukweli mseme ukweli na ndiomana JK alipoelezea mpango wa maendeleo kufikia uchumi wa kati alipouelezea tangia ulipoasisiwa na Mkapa 1994 mlinuna wengi na jiwe wenu. Kumbe kila kitu mnataka kumount juu yake kuwa ye ndiye mwanzilishi. Watanzania wa sasa sio wa miaka ya utopolo kama nyinyi mlivyobaki kwenye utopolo.
I though being abroad you could be a man of facts kumbe bure kabisa!
[emoji23] [emoji23]Teh teh teh dereva wa school bus Atlanta.. Mama bongo anakalia sofa alizoacha marehemu mzee tangia miaka ya 90 [emoji23][emoji23][emoji23]