Wabongo celebrity kujazana kwenye page za watu maarufu duniani ni aibu sana

Wabongo celebrity kujazana kwenye page za watu maarufu duniani ni aibu sana

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Yaani unaingia page ya mtu maarufu dunia nzima unakutana na comments za wabongo ambao na wao maarufu hapa bongo zinatia aibu.

Ni kama wanalazimisha umaarufu sehemu ambako sio sahihi.

Ukiingia page ya Fabrizio unakutana na wachambuzi wa kibongo nao wanaleta ujuaji huko na kingereza cha kuunga unga, ukiingia kwa wasanii pia unakutana na wasanii wetu kama wanalazimisha urafiki Kwa nguvu.

Very sad.....
 
Hiyo ni ego minded yako bro.....mambo ya kujisikia na nn..kujiona wewe huwezi kujichanganya na watu kwa kujiona wewe ni wa standard flani....Kwani kuna shida gani wakifanya hvo ??? Ni nn wanapungukiwa?
 
Sio kwa Celebrities tu, hata hawa wenzangu na mimi kwenye page za michezo Africa wakiripoti habari za kutoka let's say Kenya, Uganda, Ghana, Zimbabwe..

Utawakuta na kiingereza cha "She took my book, Tookn't she?", utasikia farmers league, Tanzania is big than them.

Nadhani katika package ya Mtanzania, ULIMBUKENI na USHAMBA tumezidishiwa.
 
ndo maana Diddy huwa anawatatua linda mastaa wa Africa.
Yaani unaingia page ya mtu maarufu dunia nzima unakutana na comments za wabongo ambao na wao maarufu hapa bongo zinatia aibu.

Ni kama wanalazimisha umaarufu sehemu ambako sio sahihi.

Ukiingia page ya Fabrizio unakutana na wachambuzi wa kibongo nao wanaleta ujuaji huko na kingereza cha kuunga unga, ukiingia kwa wasanii pia unakutana na wasanii wetu kama wanalazimisha urafiki Kwa nguvu.

Very sad.....
 
Sio kwa Celebrities tu, hata hawa wenzangu na mimi kwenye page za michezo Africa wakiripoti habari za kutoka let's say Kenya, Uganda, Ghana, Zimbabwe..

Utawakuta na kiingereza cha "She took my book, Tookn't she?", utasikia farmers league, Tanzania is big than them.

Nadhani katika package ya Mtanzania, ULIMBUKENI na USHAMBA tumezidishiwa.
Nimechekaa had machoziiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani unaingia page ya mtu maarufu dunia nzima unakutana na comments za wabongo ambao na wao maarufu hapa bongo zinatia aibu.

Ni kama wanalazimisha umaarufu sehemu ambako sio sahihi.

Ukiingia page ya Fabrizio unakutana na wachambuzi wa kibongo nao wanaleta ujuaji huko na kingereza cha kuunga unga, ukiingia kwa wasanii pia unakutana na wasanii wetu kama wanalazimisha urafiki Kwa nguvu.

Very sad.....
Wewe unaonekaana una maringo ya kishamba sana yani mtu fulani unajipa umuhimu mno chini ya jua. Nnauhakika mind reading yangu ni 100% ✓
 
Issue ni kuwa demu wako unakutana naye uso kwa Uso huko kwa ma celebrate pages.

Why mwandiko wa The Boss umekuwa very soft today?

Unatafuta kumbe upo tu.
 
Back
Top Bottom