Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Mkuu mm nafanya biashara ya kubadilisha Gas mtaji sio mkubwa kivile ,nifanyaje ilo nipate au niongeze wateja wapya maana kila mwezi wateja ni wale wale wa mtaani ??
Nataka nikupe mbinu

Unapatikana mji gani?
Unamashine ya EFD?
Unamzani?
 
Bravo mkuu,
Nikiri kuwa nikikusoma naona brevity, creativity na passion uliyo nayo juu ya ulicho amua kudeal nacho (consultation). Kitu pekee kinachoweza kuleta vikwazo ni kukosa ushirikiano kwenye mifumo yetu lakini so far nakuona ukimove in a right direction.

Hivi vikwazo vichukue kama changamoto, by the time watu wengine wanazinduka kuwa you are making millions... utakuwa umejijengea msingi wa vizazi na vizazi.

Mafanikio huwa yamejificha kwenye siri, msemo huu watu hudhani kuwa kuficha namna ulivyofanikiwa ndio siri yenyewe, hell no!! Maana yake ni kuona wasiyo ona wengine.

Watu wanakuhoji mbona we hufanyi hizo biashara unazo shauri watu?

Nikusaidie kuwajibu, jamaa aliyebuni mobile transaction business (m-pesa tigo pesa etc) hakuwahi hata kumiliki kibanda cha m-pesa. Alichokiona yeye ni fursa na akatengeneza idea iliyoleta tija kwa watumiaji wake thats all.
Big up bro
 
Kwanza nianze kwa kusema kwamb mimi ni msahuri mwelekezi wa Kibiasha kwa wajasiriamali wadogo na wakati hasa wanaofanya biashara zneye Mtaji au annual turnover ya kati yz TZS 10,000 hadi TZS Milion 500.

Nimebahatika kufanya kazi na wajasiriamali wengi na nikagundua kwamba Wajasiriamali wengi wanakwama na kushindwa katika biashara kwa sababu ya kutokufahamu nafasi na jinsi ya kuwatumia Business Consultant.Wengi huamini katika hadithi za kusimuliwa,uzoefu na stori za hapa na pal.Hali hupelekea wengi wao kufanya makosa yale yale yanayopelekea biashara zao kutokukua.

Mshauri katika biashara yoyote ana nafasi kubwa ka mentor,critic na motivator,Mentor anakupa mwongozo,Critic anakufanya ufikiri zaidi na motivator anakutia moyo.Unapofanya biashara yeyote ni lazima uwe na watu wote watatu au ue na mmoja anayefanya kazi zote tatu.Huyu anaitwa Consultant.

Kzi ya consultant ni kufikiri badala yako,kupanga badala yako,kutafuta taarifa badala yako.Nimekutana na watu wengi sana ambao hawataki habari za ushauri na wengine wanatka kupewa ushauri wa bure bila kulipia.Kitu wasichojua ni kwamba sisi tumewekeza rasilimali katika kutafuta taarifa na maarifa pamoja na kujenga mtandao.Wanataka tu msaada lakini ukiwaonjesha kidogo kisha ukataka wakulipe wanachukizwa

Vile vile wengine wanakuwa na kasumba ya kujifanyia mambo kienyeji jambo ambalo nalo linashangaza sana hasa ukizingatia wengine ni wasomi wakuwa kabisa.

Niwaombe wajasiriamali wote wadogo na wakubwa,usiogope kutumia gharama ili kupata taarifa na maarifa sahihi.
Kichwa cha habari na content haviendani kabisa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuna waliotumia taarifa sahihi tena kwa gharama ila wakafeli! Kulikoni? Sema mtu awe macho na ulinwengu wa roho nitakuelewa
 
Kuna waliotumia taarifa sahihi tena kwa gharama ila wakafeli! Kulikoni? Sema mtu awe macho na ulinwengu wa roho nitakuelewa
Kufeli kuna sura mbili.Kuna kuanguka bila kujua ulipojikwaa na kuanguka huku unajua ulipojikwaa.Huduma tunayotoa inakuezesha kwanza kupanga kwa kina,kuwa na taarifa sahihi na kufahamu mapemo risks ambazo zipo ili ujue kama ni aina ya risks ambazo uako tayari kuzichukua.

Mwisho wa siku unakuwa unafahamu hasa ni nini unafanya na kwa nini na matokeo yake unayategemea.Karibu ujaribu huduma zetu kwa mawasiliano simu 0710323060.
 
Nimesema nikuwa ninajiamini. Yamenitokea mimi!! Huenda kila mahali penye mafanikio pana ubaya uliojificha.
 
Back
Top Bottom