Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Unajua ni vitu viwili ila kwenye kuvitofautisha umeshindwa sema tu hukujua na 90% humu wachangiaji hivyohivyo.
Basi umeshida msomi ..nikuletee ishu ya madini hata dhahabu yenyewe huijui .maana utaanza Sasa kusearch ujue abc..!uzuri wasomi mna mbwembweee...
 
Mie nakushauri tafuta mtaji fanya biashara yako mwenyewe! Kidogo Kuna ugumu sana..wafanyabiashara wengi kwasasa Wana upeo mkubwa Sana wa abc za biashara! Yaan mie sijaona umuhimu huo bado... Kila kitu Kiko mitandaoni ukae ukijua
Mwambie tu sisi wengine biashara zetu ni kupiga sound, longolongo nyingi, faulo kdg ujanjaujanja
Mpk mmbo yanakuwa Sawa... [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Mkuu,

Hebu tuache utani.

Hii haionyeshi experience yoyote.

Umeandika maneno matupu.

Kwa mtu anyejielewa hawezi shawishika hapa

Inabidi ujifunze namna ya kujibu hili swali “what is your experience?”

Mimi pia nafanya kazi za consultation. Hasahasa Online Business. Tena wanaonifuata ni wafanyabiashara wadogo tu.

Kwa hakika nimegundua, wafanyabiasha wanapenda sana kupatiwa consultation iwapo wanadhani itaongoza value kwenye biashara zao.

Ili wewe uweze kukubalika kwao unatakiwa uwe BORA zaidi na si kulialia. Kwasababu hiyo haisaidii hata kama utasema “sijui wabongo hawapendi” Hiyo kauli inakufanya uonekane amateur.

Ukiona wafanyabiashara hawakubali kazi zako maana yake HAUNA VALUE KWAO.

Ni kazi yako sasa kutafuta mbinu ili hao wafanyabiashara wahitaji kazi yako kama
Consultant.

Wewe huoni ajabu unawalalamikia wafabiashara hawapendi kutumia consultants wakati hiyo ndiyo biashara/kazi yako kuhakikisha wanaona uhitaji wako?

Hapo swali la kujiuliza ni Am I good enough?
Mkuu,Lengo la uzi huu sio kuzungumzia kukubalika kwangu,Nimesema hawawatumii vizuri.Lengo ni kuibua mjada kuhusu matumizi ya wataalamu waelekezi(Consultants) katika biashara.Hii CV niliyoweka hapa niliweka tu kama sehemu ya kuchangamsha jukwaa na sio kuja market mimi kama individual consultant kwa sababu kwanza mimi mwenye kazi zangu nyingi natumia team members wangu ambao mimi pamoja na wao tuna experience kubwa na uwezo mkubwa

Ila nakubaliana na wewe kwamba kulalamika na kulaumu hakukupi wateja ni lazima tuwe na mkakati wa kuhakikisha kwamba kazi zetu zinatuuza.
 
Unataka kuwafanya watu wawe milionea wakati unashindwa kuwatumia haohao watu ili uwe milionea.Watanzania wanahitaji just ignition point baada ya hapo wanakupa umilionea, mifano ni mingi.Wachungaji makanisani,gospel quires,sports batting nk watu wanapiga tu hela ila walijitangaza.Biashara ni matangazo.Siku hizi hadi wachawi wa mazindiko wamejiongeza hawasubiri mteja awafuate bali wanamfuata alipo.
Hapa JF alitakiwa alete tangazo la huduma sio malalamiko, muda wa malalamiko umepita sasa ni muda wa kuchukua hatua, malalamiko hudumaza akili hivyo kushindwa kupata mbinu mpya.
Kwanza niombe radhi kama nimeonekana kuleta malalamiko,Lengo langu ni kuchalenge na kuleta mjada kuhusu nafasi ya consultant katika kukua kwa biashara yako.Kuhusu mtindo niliotumia najua unaweza kuleta hisia kwamba nina lalamika ila lengo langu sio kulalamika but kuchalenge mjadala.Ila nimependa michango ya wadau naamiini inasaidia wengi nikiwemo mimi mwenyewe
 
Wew kama consultant wa biashara je umewahi kuwatumi consultant wa kielimu,saikolojia ili waiongoze familia yako katika mafanikio ya kielimu, au wewe unataka utumiwe tu wakati wewe huwatumii wataalamu wa nyanja isio kuhusu.
Nawatumia sana,pamoja na kwamba ni wachache walio specialize katika maeneo uliyotaja
 
Nna kampuni nataka fungua.

Hii kampuni itasajiliwa tz na itakua inatoa huduma hasa nje ya nchi.

Je nikipata faida ya dola 1000 ni kodi gani nitatakiwa lipa kwa mwezi au kota?
Mkuu kwa Tanzania utatozwa kodi kwa kutumia mfumo wa kodi ya mapato ambapo inaangaliwa total turn over kwa mwaka kuamua kiasi cha kodi.Kuna utaratibu mwingine ambao upo kwa msaada zaidi please whatsap 0715323060 au email masokotz@yahoo.com
 
Umeongea ukweli brother..

Kingine kinacholeta shida ni mtu kuwa consultant wa industries karibia zote kitu ambacho kidogo hakiwezekani labda awe mwenye experience na exposure kubwa mno au ana watu sahihi wa kumsaidia

Sawa na business plan tu, unakuta unaandikiwa na mtu ambaye hana uelewa wala udhoefu wa industry yako. Mwisho wa siku unaandikiwa maneno matamu yasiyo na uhalisia
Mkuu,Management principles za biashara ni zile zile.Mifumo ya uendeshaji ni ile ile.Unapkuwa consultant unakuwa na team,Pale ambapo kazi inahitaji input ya mtaalam wa field husika unamtumia.Kwa mafano,Ninapokuwa na mteja anahitaji advice kuhusu masuala ya kodi au sheria namfanyia zile basic framing ya Tatizo lake na solution ambayo itamfaa kwa kuzingatia mahitaji yake kisha namuunganisha Tax consultant au Legal Consultant.Faida ya huduma yangu hii ni kwamba anapo deak na mimi ananiuliza swali lolote lile liwe la kiufundi kuhusu mitambo yake au kuhusu HR au kuhusu Finance au Law.Mimi ninampa expereince based advice kisha inapofika hatua ambayo ina hitaji technical speciality ndo tunaleta wataalamu.
 
Hizi biashara zote 9 bado unazo?
Kwanini umekuwa ukibadilisha badilisha biashara
Umejifunza nini wewe binafsi kupitia biashara zako
Mkuu nyingine niliziacha kwa sababu ya profitabIlity,zingine niliziacha kwa sababu personal na nyingine zilikufa Natural Death.Nyingine bado zipo.Kwa Mfano Biashara yangu ya Kwanza imesurvive mpaka leo na ni kwa sababu ya mfumo wake ina gharama ndogo za uendeshaji zaidi kuliko biashara nyingine na Profit margin nzuri etc
 
Hiyo ndio ipo sana na ndio maana baadhi ya watu wanaamua kuchoma pesa kwenye business agencies ambazo yana facilities za kutosha.

Japo si kila mpango wa biashara lazma ufanikiwe ila kutumia watu binafsi wasio na track record nzuri kisa ni cheap. Ni risk zaidi
Mkuu,uamuzi wa kutumia consultant kutoka katika full consulting agency au independent agency unategemea resources zako na malengo yako.Katika Consulting huna kuna hatua tatu kubwa

Kwanza ni kutambua tatizo au lengo la mteja wako.
Pili ni kutengeneza Makisio ya sababu au matoke
Tatu ni Kufanya Majaribio

Kuna hatua nyingi ndogo hapo kati.Kwa mfano kwa mimi Huwa Hatua ya Kutambua tatizo au lengo huwa inakuwa na Fixed Fee.Yaani Unajisajili tu Kama mteja wangu kisha nakufanya IDENTIFICATION YA TATIZO LAKO.Ukiridhika na Prognosis yangu ndo unaweza sasa kuamua kama utanipa kazi au LA ili nitafute solution na tufanye Mjaribio.Hata ukienda kwa Agency Mkubwa hatua ni hizo hizo ila kinacholeta tofauti ni Ubunifu,Uzoefu na Ujasiri wa Consultant kuamini katika solution yao hapo ndipo consultants wanatofautiana.

karibu ujaribu huduma zetu naamini utaridhika na kufurahia

Mawasiliano ni +255715323060 Email masokotz@yahoo.com
 
Wew kama consultant wa biashara je umewahi kuwatumi consultant wa kielimu,saikolojia ili waiongoze familia yako katika mafanikio ya kielimu, au wewe unataka utumiwe tu wakati wewe huwatumii wataalamu wa nyanja isio kuhusu.
Nawatumia sana,pamoja na kwamba ni wachache walio specialize katika maeneo uliyotaja
 
Mkuu,uamuzi wa kutumia consultant kutoka katika full consulting agency au independent agency unategemea resources zako na malengo yako.Katika Consulting huna kuna hatua tatu kubwa

Kwanza ni kutambua tatizo au lengo la mteja wako.
Pili ni kutengeneza Makisio ya sababu au matoke
Tatu ni Kufanya Majaribio

Kuna hatua nyingi ndogo hapo kati.Kwa mfano kwa mimi Huwa Hatua ya Kutambua tatizo au lengo huwa inakuwa na Fixed Fee.Yaani Unajisajili tu Kama mteja wangu kisha nakufanya IDENTIFICATION YA TATIZO LAKO.Ukiridhika na Prognosis yangu ndo unaweza sasa kuamua kama utanipa kazi au LA ili nitafute solution na tufanye Mjaribio.Hata ukienda kwa Agency Mkubwa hatua ni hizo hizo ila kinacholeta tofauti ni Ubunifu,Uzoefu na Ujasiri wa Consultant kuamini katika solution yao hapo ndipo consultants wanatofautiana.

karibu ujaribu huduma zetu naamini utaridhika na kufurahia

Mawasiliano ni +255715323060 Email masokotz@yahoo.com

Hope tutapata mrejesho mzuri zaidi huko mbeleni na nakutakia kheri zaidi kwa ukifanyacho brother
 
Hope tutapata mrejesho mzuri zaidi huko mbeleni na nakutakia kheri zaidi kwa ukifanyacho brother
SHukrani mkuu,Tuko Pamoja katika kupeleka taifa letu mbele.
 
Hope tutapata mrejesho mzuri zaidi huko mbeleni na nakutakia kheri zaidi kwa ukifanyacho brother
Mkuu tunaendelea Vizuri.So far Nimepata wajasiriamali kadhaa kutoka humu JF ambao kwa hakika nimefurahia kufanya kazi nao kwani wamenipa insights kubwa sana hasa kuhusu changamoto zao za kibiashara.
 
Consultation nyingi za kibongo ni za kimagumashi sana... they dont give you the actual business fever .. ila wanakupa uhalisia tu wa kwenye makatatasi

Lakini baadhi ya consultants they dont know industries, bongo hapa tafuta consultants wa Tech uone unavyosaga lami umwambie kuwa unataka kuanzisha "peer to peer sharing economy platform" umeshampoteza maboya hao ndio consultants wetu

Consultant anatakiwa ajue masoko yakoje, uelekeo wa soko la dunia likoje na kila sector unakuta kuna expert wake ndio maana kampuni kama McKinsey and company iko juu sababu ya hii

Njoo hapa sasa kampuni ina consultant mmoja kwenye madini yumo, kwenye sekta ya fedha yumo, kwenye michezo yumo, kwenye teknolojia yumo

Ndio maana wazungu kama sio sekta yao wanakwambia black and white kuwa hatu consult biashara za aina fulani

Sasa basi kibongobongo mtu akiona hivyo anajua ni dili
[emoji120][emoji120] nimekuelewa sana mkuu
 
Back
Top Bottom