Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

In case hujui Guardiola alicheza Barcelona na alikuwa ni mkata umeme hatari miaka ya 90 inawezekana ulikuwa mdogo sana ila Guardiola mpira anaujua kuucheza vizuri namba 6 mzee wa dimba
Mkuu Wangari Maathai kama hoja yako ya kwamba wafanyabiashara wengi wana upeo mkubwa ingekuwa na mashiko, issue ya consultation ingeanzia kufa nchi za wenzetu ambazo wana mifumo mizuri ya elimu za biashara, wana access kubwa ya informations through internet lakini pia mifumo yao ni rafiki sana kusupport growth na existence ya biashara kuliko kwetu.

Kama ni mfuatiliaji wa mpira, Pep Guardiola ni moja ya high profile modern coaches, ukitazama timu anayoifundisha ikicheza hakika unaona flow ya mpira wake unaridhika kuwa he is a football tactician. Lakini naamini ukimuingiza uwanjani hawezi fanya hata nusu ya robo ya kile anachokifundisha.

Generally, kila mtu ana position yake ambayo akikaa you can get the best out of him, yule Messi angechagua kuwa ni golikipa sidhani kama leo hii dunia ingemtambua kama anavyo tambulika.
 
Mkuu Wangari Maathai kama hoja yako ya kwamba wafanyabiashara wengi wana upeo mkubwa ingekuwa na mashiko, issue ya consultation ingeanzia kufa nchi za wenzetu ambazo wana mifumo mizuri ya elimu za biashara, wana access kubwa ya informations through internet lakini pia mifumo yao ni rafiki sana kusupport growth na existence ya biashara kuliko kwetu.

Kama ni mfuatiliaji wa mpira, Pep Guardiola ni moja ya high profile modern coaches, ukitazama timu anayoifundisha ikicheza hakika unaona flow ya mpira wake unaridhika kuwa he is a football tactician. Lakini naamini ukimuingiza uwanjani hawezi fanya hata nusu ya robo ya kile anachokifundisha.

Generally, kila mtu ana position yake ambayo akikaa you can get the best out of him, yule Messi angechagua kuwa ni golikipa sidhani kama leo hii dunia ingemtambua kama anavyo tambulika.

Mkuu,

Mifano unayotoa kwenye hii mada ni irrelevant.

Wewe kama ni consultant basi JUKUMU lako ni kuhakikisha unashawishi wateja waone umuhimu wako.

Si ndivyo?

Ukishindwa hilo na kuanza kulalamikia watanzania wewe ndiyo una shida kubwa.

Wafanyabiashara wa hapa Tz au nchi yoyote ile hawapo kwaajili yakukuonea wewe huruma au kwasababu eti wafanyabiashara wa America na Europe wanatumia consultation services.

Mfanyabiashara anachotaka ni results.

Kumbuka, money is attracted to value.

Kama watu hawaoni value haijalishi kiasi gani utawalaumu kamwe hawatahitaji huduma yako na hawatokupatia pesa [emoji383]

Ni rahisi tu kufahamu hili.
 
So hapa naona kwa nchi yetu Consultant ni kama Kishoka fulani ambaye TRA wakikuzingua yeye anaenda

Na hii ni kwamba hii nchi mfumo wa kodi bado unakuwa sio rasmi mfano leo TRA wanaweza amka na kuja kukujambisha tu ilkmradi
Mkuu wax alichoandika jamaa hapa hasa hiyo #1 consultants kwenye biashara wanahitajika sana hasa inapokuwa biashara ni kubwa kiasi,haihitaji mshauri wa biashara naye awe na biashara kumbuka hawa ni watu kabisa wanasomea haya mambo why wakili anapomtetea mtu mahakamani hatusemi mbona yeye hajawahi kuwa na kesi atajuaje ugumu wa kesi?

Kibongo bongo biashara mtaji wako ukishavuka mill 100 na ukaingia kwenye VAT consultant humkwepi la sivyo TRA kila siku watakuwa wanakutikisa hata kama ukikaza mwenyewe uta-survive kiubishi sana,TRA wanaweza wakakuletea deni halafu lipo negotiable lazima huyu mtu asimame katikati kukuelekeza cha kwenda kuongea kule au yeye asimame badala yako ila ukikaza shingo ukaenda mwenyewe utaambiwa deni lipo kisheria na kutokana na sheria kifungu No fulani ya mwaka fulani deni utalipa na fine utalipa niambie hujatikisika hapo?

Ila kama mtaji ni chini ya mill 100 bado siuoni umuhimu wao sana,muhimu unatafuta watu kwenye system kama TRA na Municipal wawe wanakupa update mara kwa mara juu ya muenendo wako unavyoonekana kule na siku hizi hizi EFD machines zinasaidia sana ktk hilo muda wowote ukitaka taarifa zako sahihi unazipata na kuujua uelekeo wako kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Wangari Maathai kama hoja yako ya kwamba wafanyabiashara wengi wana upeo mkubwa ingekuwa na mashiko, issue ya consultation ingeanzia kufa nchi za wenzetu ambazo wana mifumo mizuri ya elimu za biashara, wana access kubwa ya informations through internet lakini pia mifumo yao ni rafiki sana kusupport growth na existence ya biashara kuliko kwetu.

Kama ni mfuatiliaji wa mpira, Pep Guardiola ni moja ya high profile modern coaches, ukitazama timu anayoifundisha ikicheza hakika unaona flow ya mpira wake unaridhika kuwa he is a football tactician. Lakini naamini ukimuingiza uwanjani hawezi fanya hata nusu ya robo ya kile anachokifundisha.

Generally, kila mtu ana position yake ambayo akikaa you can get the best out of him, yule Messi angechagua kuwa ni golikipa sidhani kama leo hii dunia ingemtambua kama anavyo tambulika.


Wako wanaofanya biashara mradi kuche ..na wako wengine wanaelewa techniques za kufika level ya mbali...mie naongelea Hawa wakati na wadogo...!...means sijaona umuhimu wa wao kutafuta consultants
 
So hapa naona kwa nchi yetu Consultant ni kama Kishoka fulani ambaye TRA wakikuzingua yeye anaenda

Na hii ni kwamba hii nchi mfumo wa kodi bado unakuwa sio rasmi mfano leo TRA wanaweza amka na kuja kukujambisha tu ilkmradi

Tra wanajambisha vibaya Sana..esp huko interior .
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii ndio JF kuna wajuaji kama milioni hv
Wew kama consultant wa biashara je umewahi kuwatumi consultant wa kielimu,saikolojia ili waiongoze familia yako katika mafanikio ya kielimu, au wewe unataka utumiwe tu wakati wewe huwatumii wataalamu wa nyanja isio kuhusu.
 
Ni kweli mkuu wafanyabiashara wengi ni darasa la 7 ila wana tathmini za mbali ndio maana wanafikia hadi kumiliki viwanda au malori na mabasi kwa hyo sio vilaza.
Kutokana na hilo huwa hawapendi kusikiliza maneno mengi sana ya kumpanga bali wanataka vitendo(practical oriented things) hapo ndio mtapatana.
Yes bro, this is very good point.

Huyu ndugu wakujiita andoza anachoshindwa kuelewa ni kwamba wafanyabiashara si wajinga kama anavyodhani.

Ni kazi yake kuonyesha kwa dhahiri mbinu zake za marketing + sales zitaongeza mapato na faida kwa watu anataka wampatie [emoji383].

Sasa yeye kusema “wabongo hawapendi consultation” hiyo maana yake hata yeye mwenyewe hafahamu sana jinsi yakupata wateja [emoji3525]
 
Mkuu wax alichoandika jamaa hapa hasa hiyo #1 consultants kwenye biashara wanahitajika sana hasa inapokuwa biashara ni kubwa kiasi,haihitaji mshauri wa biashara naye awe na biashara kumbuka hawa ni watu kabisa wanasomea haya mambo why wakili anapomtetea mtu mahakamani hatusemi mbona yeye hajawahi kuwa na kesi atajuaje ugumu wa kesi?

Kibongo bongo biashara mtaji wako ukishavuka mill 100 na ukaingia kwenye VAT consultant humkwepi la sivyo TRA kila siku watakuwa wanakutikisa hata kama ukikaza mwenyewe uta-survive kiubishi sana,TRA wanaweza wakakuletea deni halafu lipo negotiable lazima huyu mtu asimame katikati kukuelekeza cha kwenda kuongea kule au yeye asimame badala yako ila ukikaza shingo ukaenda mwenyewe utaambiwa deni lipo kisheria na kutokana na sheria kifungu No fulani ya mwaka fulani deni utalipa na fine utalipa niambie hujatikisika hapo?

Ila kama mtaji ni chini ya mill 100 bado siuoni umuhimu wao sana,muhimu unatafuta watu kwenye system kama TRA na Municipal wawe wanakupa update mara kwa mara juu ya muenendo wako unavyoonekana kule na siku hizi hizi EFD machines zinasaidia sana ktk hilo muda wowote ukitaka taarifa zako sahihi unazipata na kuujua uelekeo wako kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshauri vema mkuu, naomba kukazia hapo uliposema ukiwa na mtaji chini ya 100m si lazima sana kuwa na consultant(s).

Kama unafanya biashara (nasisitiza biashara) sio umejiajiri, ni muhimu kuwa na consultant kuanzia level ya chini kwa sababu hizi:

1. Biashara inatazamiwa baada ya muda flani itakuwa na kufika level ya kati ama juu (Going concern concept).

2. Kama biashara haikujengwa kwenye misingi thabiti inaweza kushindwa kuzipokea na kuziishi idea mbalimbali zinazotolewa na Consultants hivyo kutofanikiwa na kisha watu kuona hakuna umuhimu wa consultation kumbe shida ni misingi ya biashara yako.

3. Consultation itakusaidia sana kwenye kukuza biashara kwa kuwa inakusaidia kujenga mifumo ya uendeshaji kuliko kufanya kila kitu wewe mwenyewe hivyo itakubidi uzuie biashara isikue ili uweze kuisimamia (kutaka kukumbatia kila kitu).

4. Biashara iliyojengwa kwenye consultation inalandana kimifumo na biashara zingine (mifumo ya uzalishaji, usambazaji, malipo, ordering, sales & marketing etc) hivyo kukuwezesha kutrade na partners wa kitaifa na kimataifa.
 
Matendo
Ni kweli mkuu wafanyabiashara wengi ni darasa la 7 ila wana tathmini za mbali ndio maana wanafikia hadi kumiliki viwanda au malori na mabasi kwa hyo sio vilaza.
Kutokana na hilo huwa hawapendi kusikiliza maneno mengi sana ya kumpanga bali wanataka vitendo(practical oriented things) hapo ndio mtapatana.
Matendo yenye matokeo makubwa lazima yapitie kwenye maneno kwanza au maandishi...unapoona idea ya Azam ukwaju na Ballcone kuna mtu alianza kutoa maneno au maandishi.
 
Ndio mtaendelea kukaa benchi na kulaumu kila siku maana mmekaririshwa hamtaki kubadilika na kutumia mbinu mpya.
Huyo Azam hata kama anatumia,ameanza kutumia wakati ameshakuwa bilionea tayari.
Sidhani kwamba hayo makaratasi yenu ndio yalimfanya afanikiwe na kuwa bilionea
Matendo

Matendo yenye matokeo makubwa lazima yapitie kwenye maneno kwanza au maandishi...unapoona idea ya Azam ukwaju na Ballcone kuna mtu alianza kutoa maneno au maandishi.
 
In case hujui Guardiola alicheza Barcelona na alikuwa ni mkata umeme hatari miaka ya 90 inawezekana ulikuwa mdogo sana ila Guardiola mpira anaujua kuucheza vizuri namba 6 mzee wa dimba
Nimemtolea mfano sababu namjua Guardiola kama mchezaji na sasa kama kocha. In his playing days, he was regarded as the best midfielder of his geration by football legend Johan Cruyff.

Hata hivyo ni ukweli kwamba dunia ya mpira inamtambua Guardiola leo kwa kile alicho achieve as a coach na si akiwa mchezaji.

Maana yangu ni kuwa unaweza ukafanya jambo moja katika ngazi/nafasi fulani usifanikiwe kama ukifanya jambo hilo hilo katika ngazi/nafasi nyingine. Kwa hiyo mtoa mada anaweza asifanye maajabu sana kama mfanyabiashara lakini bado akafanya vema sana kama consultant.
 
So hapa naona kwa nchi yetu Consultant ni kama Kishoka fulani ambaye TRA wakikuzingua yeye anaenda

Na hii ni kwamba hii nchi mfumo wa kodi bado unakuwa sio rasmi mfano leo TRA wanaweza amka na kuja kukujambisha tu ilkmradi

Ni kwa kesi chache sana TRA wanaweza wakakutia kiwewe kwa makusudi either wajipatie chochote kutoka kwako au kwa kutumwa (huku mitaani kunakuwaga na uhasama wa kibiashara wakati mwengine) ila nyingi ni za mfanyabiashara mwenyewe kujisababishia,unakuta mimi kama mfanyabiashara nakwepa amma kwa kujua au kutojua adhabu zake najilimbikizia madeni siku wakiamka deni limekuwa kubwa so inabidi kukaa mezani kama sina point za maana nalipishwa ila consultant ana uwezo wa kuniwakilisha akatoa sababu mbili tatu atakazoona zinafaa ambazo mimi sizijui nikaambiwa nilipe bila fine na bado deni nikapunguziwa.

Yupo jamaa yangu kijana wake alitoa receipt ya Tsh 32,000,000 kwa mara moja asiambiwe lile kosa kwa wakati akaja kujua kupitia Z report ya EFD baada ya week na sheria inataka mistakenly report iwasilishwe TRA ndani ya 24 hrs kwenda yeye kama yeye wakasema ni sahihi as long as hawajui mtaji wake umeongezeka kwa kiwango gani labda asubiri mwaka wa makadirio unaofuata akate rufaa, akashauriwa awatafute consultants alisaidiwa akai-punch ile ngoma ila ilikuwa tayari inakula kwake.

Nadhani kinachomata ni kujua namna ya kupangilia maneno,wapo watu wakiingia TRA hata awe mchafu kiasi gani anasikilizwa na bil ilikuwa kubwa anapunguziwa anaandikiwa hela ndogo anaenda kulipa maisha yanaendelea so siyo kila mtu atamuhitaji consultant wanaowahitaji hawa watu ni wale waoga waoga.
 
Ni kweli mkuu wafanyabiashara wengi ni darasa la 7 ila wana tathmini za mbali ndio maana wanafikia hadi kumiliki viwanda au malori na mabasi kwa hyo sio vilaza.
Kutokana na hilo huwa hawapendi kusikiliza maneno mengi sana ya kumpanga bali wanataka vitendo(practical oriented things) hapo ndio mtapatana.

Ndiyo ukweli wenyewe huo mkuu.

Wewe ukimwendea mfanyabiashara kwa maneno matupu atakupuuza tu hata kama utamwambia wewe ni graduate wa Harvard School of Business.

Tatizo hawa ndugu wanashindwa kutazama mambo kwa uhalisia wake.

Point muhimu yakutia kwenye kikapu na kwenda nayo home ni hii...

Wateja wanapenda kununua/kumpatia pesa mtu/consultant wanayemwamini anaweledi na amedhibitisha hivyo
 
Inawezekana unaona mfano wangu hauhusiani na mada kwa kuwa hujafatilia nilichokuwa namjibu muhusika.

Nilichokuwa namjibu muhusika ambaye alimtaka mtoa mada afanye biashara badala ya kufanya consultation ndipo nikamtolea mfano wa kocha huyo ambaye alikuwa mchezaji kabla na dunia haikumfahamu sana kwa mafanikio aliyopata in his playing days lakini alicho achieve leo kama kocha dunia nzima inamtambua.
Mkuu,

Mifano unayotoa kwenye hii mada ni irrelevant.

Wewe kama ni consultant basi JUKUMU lako ni kuhakikisha unashawishi wateja waone umuhimu wako.

Si ndivyo?

Ukishindwa hilo na kuanza kulalamikia watanzania wewe ndiyo una shida kubwa.

Wafanyabiashara wa hapa Tz au nchi yoyote ile hawapo kwaajili yakukuonea wewe huruma au kwasababu eti wafanyabiashara wa America na Europe wanatumia consultation services.

Mfanyabiashara anachotaka ni results.

Kumbuka, money is attracted to value.

Kama watu hawaoni value haijalishi kiasi gani utawalaumu kamwe hawatahitaji huduma yako na hawatokupatia pesa [emoji383]

Ni rahisi tu kufahamu hili.
 
Inawezekana unaona mfano wangu hauhusiani na mada kwa kuwa hujafatilia nilichokuwa namjibu muhusika.

Nilichokuwa namjibu muhusika ambaye alimtaka mtoa mada afanye biashara badala ya kufanya consultation ndipo nikamtolea mfano wa kocha huyo ambaye alikuwa mchezaji kabla na dunia haikumfahamu sana kwa mafanikio aliyopata in his playing days lakini alicho achieve leo kama kocha dunia nzima inamtambua.

Sawa mkuu,

Tupo pamoja.

Ni mjadala tu [emoji1674]
 
Umeshauri vema mkuu, naomba kukazia hapo uliposema ukiwa na mtaji chini ya 100m si lazima sana kuwa na consultant(s).

Kama unafanya biashara (nasisitiza biashara) sio umejiajiri, ni muhimu kuwa na consultant kuanzia level ya chini kwa sababu hizi:

1. Biashara inatazamiwa baada ya muda flani itakuwa na kufika level ya kati ama juu (Going concern concept).

2. Kama biashara haikujengwa kwenye misingi thabiti inaweza kushindwa kuzipokea na kuziishi idea mbalimbali zinazotolewa na Consultants hivyo kutofanikiwa na kisha watu kuona hakuna umuhimu wa consultation kumbe shida ni misingi ya biashara yako.

3. Consultation itakusaidia sana kwenye kukuza biashara kwa kuwa inakusaidia kujenga mifumo ya uendeshaji kuliko kufanya kila kitu wewe mwenyewe hivyo itakubidi uzuie biashara isikue ili uweze kuisimamia (kutaka kukumbatia kila kitu).

4. Biashara iliyojengwa kwenye consultation inalandana kimifumo na biashara zingine (mifumo ya uzalishaji, usambazaji, malipo, ordering, sales & marketing etc) hivyo kukuwezesha kutrade na partners wa kitaifa na kimataifa.
Sikupingi mkuu,hasa hiyo #3 kwa jicho la tatu nimeielewa sana.

Shukrani!
 
Kwanza nianze kwa kusema kwamb mimi ni msahuri mwelekezi wa Kibiasha kwa wajasiriamali wadogo na wakati hasa wanaofanya biashara zneye Mtaji au annual turnover ya kati yz TZS 10,000 hadi TZS Milion 500.

Nimebahatika kufanya kazi na wajasiriamali wengi na nikagundua kwamba Wajasiriamali wengi wanakwama na kushindwa katika biashara kwa sababu ya kutokufahamu nafasi na jinsi ya kuwatumia Business Consultant.Wengi huamini katika hadithi za kusimuliwa,uzoefu na stori za hapa na pal.Hali hupelekea wengi wao kufanya makosa yale yale yanayopelekea biashara zao kutokukua.

Mshauri katika biashara yoyote ana nafasi kubwa ka mentor,critic na motivator,Mentor anakupa mwongozo,Critic anakufanya ufikiri zaidi na motivator anakutia moyo.Unapofanya biashara yeyote ni lazima uwe na watu wote watatu au ue na mmoja anayefanya kazi zote tatu.Huyu anaitwa Consultant.

Kzi ya consultant ni kufikiri badala yako,kupanga badala yako,kutafuta taarifa badala yako.Nimekutana na watu wengi sana ambao hawataki habari za ushauri na wengine wanatka kupewa ushauri wa bure bila kulipia.Kitu wasichojua ni kwamba sisi tumewekeza rasilimali katika kutafuta taarifa na maarifa pamoja na kujenga mtandao.Wanataka tu msaada lakini ukiwaonjesha kidogo kisha ukataka wakulipe wanachukizwa

Vile vile wengine wanakuwa na kasumba ya kujifanyia mambo kienyeji jambo ambalo nalo linashangaza sana hasa ukizingatia wengine ni wasomi wakuwa kabisa.

Niwaombe wajasiriamali wote wadogo na wakubwa,usiogope kutumia gharama ili kupata taarifa na maarifa sahihi.
Nna kampuni nataka fungua.

Hii kampuni itasajiliwa tz na itakua inatoa huduma hasa nje ya nchi.

Je nikipata faida ya dola 1000 ni kodi gani nitatakiwa lipa kwa mwezi au kota?
 
Back
Top Bottom