Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Very true.
Na kinachosababisha kuwa hivyo ni kwamba Watanzania tuko nyuma kidunia kwenye mambo yote yanayohusu taaluma.
Yaani unakuta mtu akishamaliza chuo basi kamaliza anajiona ni expert tayari na anakuwa hana mpango wa kujiendeleza kwa kufuatilia kozi mbalimbali za kidunia.
Ingekuwa tunapata nafasi ya kujilinganisha na wataalamu wa nchi mbalimbali tungepata uhalisia ulivyo na tungekazana.
Ni kweli mkuu, bado hatutaki kukubali kuwa elimu ya mkoloni ililenga kutufuta ujinga na si kutupatia maarifa.

Mkoloni aligundua kuwa kuna uhitaji wa kutustaarabisha kwa kiwango cha kati ili tushiriki katika kutawaliwa huku tukijihisi ni watu huru. Hivyo alibuni elimu itakayompa urahisi wa kututawala huku akiwa mbali.

Cha ajabu miaka almost 60 baada ya uhuru bado tumeendelea kuamini kuwa ipo siku elimu hii itatukomboa. Kimsingi elimu tuliyo nayo haitupeleki tunapohitaji bali inatuongoza anapotaka tuelekee mkoloni.

Mataifa yote yaliyojikomboa yalikinzana na mfumo huu katika hatua zao za awali kabisa kuelekea ukombozi halisi.
 
Ni kweli mkuu, bado hatutaki kukubali kuwa elimu ya mkoloni ililenga kutufuta ujinga na si kutupatia maarifa.

Mkoloni aligundua kuwa kuna uhitaji wa kutustaarabisha kwa kiwango cha kati ili tushiriki katika kutawaliwa huku tukijihisi ni watu huru. Hivyo alibuni elimu itakayompa urahisi wa kututawala huku akiwa mbali.

Cha ajabu miaka almost 60 baada ya uhuru bado tumeendelea kuamini kuwa ipo siku elimu hii itatukomboa. Kimsingi elimu tuliyo nayo haitupeleki tunapohitaji bali inatuongoza anapotaka tuelekee mkoloni.

Mataifa yote yaliyojikomboa yalikinzana na mfumo huu katika hatua zao za awali kabisa kuelekea ukombozi halisi.
Ni watu wa China na Korea ndio walishtuka na kubadili huo mfumo.
Waliobaki hawana huo uono wa mbali sana.
Magenius wetu ni wanaokariri vizuri notes zilizotungwa na wazungu na sio uwezo wa kufikiri nje ya box.
 
Ni watu wa China na Korea ndio walishtuka na kubadili huo mfumo.
Waliobaki hawana huo uono wa mbali sana.
Magenius wetu ni wanaokariri vizuri notes zilizotungwa na wazungu na sio uwezo wa kufikiri nje ya box.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wengi wanaojiita wasomi ukiwafatilia utagundua hawana 'ujiniasi' wowote zaidi walitumia muda na akili zao kwenye jambo moja (kusoma).

Unamkuta 'jiniasi' hajui kucheza mchezo wowote, hajui namna ya kuinteract na jamii, hajui hata kuapply hicho alicho kisoma....yaani alicho nacho na anachokiona cha maana ni vyeti tu.

Ndio maana sasa unawaona wanakimbia kada zao na kupigana vikumbo kwenye siasa, wameacha kuamini hata yale waliyo tumia muda mwingi kutuaminisha vyuoni, wengine wamekana hadi thesis zao ili tu wapate kutii matumbo yao...

Yule jamaa alisema, I have got a family to feed not a society to impress...watu wanafikiri kwa kutumia mioyo, wanaongozwa na tamaa zao.
 
Biashara gani nakati Consultation ni Biashara iliyokamilika.
Nadhani hakuna kifungu cha sheria wala mstari wowote katka dinikinacho mkataza mtu kuanzisha na kumiliki biashara zaid ya moja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wengi wanaojiita wasomi ukiwafatilia utagundua hawana 'ujiniasi' wowote zaidi walitumia muda na akili zao kwenye jambo moja (kusoma).

Unamkuta 'jiniasi' hajui kucheza mchezo wowote, hajui namna ya kuinteract na jamii, hajui hata kuapply hicho alicho kisoma....yaani alicho nacho na anachokiona cha maana ni vyeti tu.

Ndio maana sasa unawaona wanakimbia kada zao na kupigana vikumbo kwenye siasa, wameacha kuamini hata yale waliyo tumia muda mwingi kutuaminisha vyuoni, wengine wamekana hadi thesis zao ili tu wapate kutii matumbo yao...

Yule jamaa alisema, I have got a family to feed not a society to impress...watu wanafikiri kwa kutumia mioyo, wanaongozwa na tamaa zao.
Na jamii nayo inawategemea wasomi hawa wawe matajiri. Hapo ndipo mkanganyiko unapozidi. Si ajabu kumuona profesa wa Netherlands akienda kazini na baisikeli na anaishi maisha ya kawaida tu. Mkazo wake umo katika kazi yake yaani kufundisha na kufanya utafiti (kuchapisha mawazo yake) ili kizazi kijacho kiendelee kustawi. Lakini Bongo hapa akiwa profesa ni lazima pia atajirike. Ndiyo mvurugano huu tunaouona wa kukimbilia kwenye siasa kutafuta njia zingine za mkato ili wasichekwe kuwa elimu yao haijawasaidia. Elimu yetu bado inaonwa kama nyenzo ya kuwafanya waipatayo watajirike. Useless !!!
IMG-20200730-WA0001.jpg
 
Mkuu unakosea,

Tatizo wala si kwamba ni Wabongo.

Tatizo ni kwamba hao wafanyabiashara unaowalalamikia ni kwamba hawaoni VALUE yoyote toka kwako wewe consultant.

Kwa kawaida ukiwa consultant wa ukweli watu wanakufuata wenyewe.

Inabidi watu waone bila shaka kwamba wewe ni mjuzi wa biashara unayotaka watu wakupatie pesa kwa ushauri + mbinu zako.

Waonyeshe baadhi ya biashara ulizozisaidia na kweli zimefanikiwa. Au waonyeshe biashara yako iliyofanikiwa ili waamini.

Hiyo inaitwa social proof.

Tofauti na hapo utabakia kulaumu wafanyabiashara bure tu.
Mkuu,Untaka Social Proof?Kwamba huamini katika uwezo wa consultant?Unafikiri consultants wanatumia social proof kushawishi wateja?IKO hivi,Wateja wengi niliofanya kazi nao bado hawajawa Mabilionea,ila thamani ya ushauri niliowapa imewawezesha,kuona fursa,kuepuka hasara na kufanya maamuzi wakiwana taarifa zaidi.Ukijua kutumia vizuri huduma ya consultant unaweza kuepuka mengi na kufanikiwa katika mengi

Karibu
 
Mkuu,Untaka Social Proof?Kwamba huamini katika uwezo wa consultant?Unafikiri consultants wanatumia social proof kushawishi wateja?IKO hivi,Wateja wengi niliofanya kazi nao bado hawajawa Mabilionea,ila thamani ya ushauri niliowapa imewawezesha,kuona fursa,kuepuka hasara na kufanya maamuzi wakiwana taarifa zaidi.Ukijua kutumia vizuri huduma ya consultant unaweza kuepuka mengi na kufanikiwa katika mengi

Karibu
Bado sehemu kubwa ya jamii yetu inamtazama consultant kama 'tapeli'. Wengi hawaelewi na hawaamini katika intellectual investment (consultation in particular).

Kuna kipindi nilienda Tra kufanya clearance za kodi nikamuuliza meneja kama wanatoa pia intellectual license kwa watu kama wachoraji, wasanii, waandishi nk nk? Akanijibu simply hapana.

Sijui kama kwa sasa wanatoa ila unaweza kuona ni kiasi gani hata serikali haijaweza kuzitambua na kuzirasimisha kada hizo, hivyo siwashangai wananchi wake wakiziona ni usanii.

Maoni yangu kwako ni kuwa keep going, kwenye dunia ya sasa hakuna kitu powerful na useful kama information, wanaoelewa watakutumia na manufaa watayaona mkuu nawe utanufaika pia.
 
Bado sehemu kubwa ya jamii yetu inamtazama consultant kama 'tapeli'. Wengi hawaelewi na hawaamini katika intellectual investment (consultation in particular).

Kuna kipindi nilienda Tra kufanya clearance za kodi nikamuuliza meneja kama wanatoa pia intellectual license kwa watu kama wachoraji, wasanii, waandishi nk nk? Akanijibu simply hapana.

Sijui kama kwa sasa wanatoa ila unaweza kuona ni kiasi gani hata serikali haijaweza kuzitambua na kuzirasimisha kada hizo, hivyo siwashangai wananchi wake wakiziona ni usanii.

Maoni yangu kwako ni kuwa keep going, kwenye dunia ya sasa hakuna kitu powerful na useful kama information, wanaoelewa watakutumia na manufaa watayaona mkuu nawe utanufaika pia.
Mkuu ukweli ni kwamba for the past 5 years nimekuwa nikifanya kazi ambazo ni 80%Consulting na 20% Non consulting.Nilichogundua ni kwamba Imenibidi nijifunze vitu vingi sana ambavyo viko nje ya Fani yangu ili niweze kuongeza Value kwa huduma ninazotoa.Ni kweli kwamba bado Consultants hawaeleweki hasa katika eneo la SMEs ambao ndio wanaowahutaji zaidi.

Sasa hivi nataka nianze kitengo cha R&D ili sasa nianze kufanya Studies za SMEs kwa lengo la kutengeneze local knowledge POOL hasa kwa kuzingatia demand niliyo iona sokoni.
 
Bravo mkuu,
Nikiri kuwa nikikusoma naona brevity, creativity na passion uliyo nayo juu ya ulicho amua kudeal nacho (consultation). Kitu pekee kinachoweza kuleta vikwazo ni kukosa ushirikiano kwenye mifumo yetu lakini so far nakuona ukimove in a right direction.

Hivi vikwazo vichukue kama changamoto, by the time watu wengine wanazinduka kuwa you are making millions... utakuwa umejijengea msingi wa vizazi na vizazi.

Mafanikio huwa yamejificha kwenye siri, msemo huu watu hudhani kuwa kuficha namna ulivyofanikiwa ndio siri yenyewe, hell no!! Maana yake ni kuona wasiyo ona wengine.

Watu wanakuhoji mbona we hufanyi hizo biashara unazo shauri watu?

Nikusaidie kuwajibu, jamaa aliyebuni mobile transaction business (m-pesa tigo pesa etc) hakuwahi hata kumiliki kibanda cha m-pesa. Alichokiona yeye ni fursa na akatengeneza idea iliyoleta tija kwa watumiaji wake thats all.
Mkuu ukweli ni kwamba for the 5 years nimekuwa nikifanya kazi ambazo ni 80%Consulting na 20% Non consulting.Nilichogundua ni kwamba Imenibidi nijifunze vitu vingi sana ambavyo viko nje ya Fani yangu ili niweze kuongeza Value kwa huduma ninazotoa.Ni kweli kwamba bado Consultants hawaeleweki hasa katika eneo la SMEs ambao ndio wanaowahutaji zaidi.

Sasa hivi nataka nianze kitengo cha R&D ili sasa nianze kufanya Studies za SMEs kwa lengo la kutengeneze local knowledge POOL hasa kwa kuzingatia demand niliyo iona sokoni.
 
Mkuu wewe ulishawahi kufanya biashara?. Malengo yako umefikia wapi?.
Mkuu hii ninayofanya yenyewe ni biashara mkuu,Au wewe unataka kujua biashara zote ambazo nimewahi kufanya?Huwa I share that with my clients ili kuwapa mwanga juu ya uzoefu wangu na changamoto ambazo zimenifanya niamue hasa kutoa huduma za consultancy kwa SMEs na Start ups.

Kimsingi nimeshafanya biashara tena za aina nyingi kuanzia,Kuuza Chips,Kuuza supu,Kuuza genge,Duka la reja reja,Duka la jumla,Duka la spare za Magari,Import,Network Marketing,Online business za aina tofauti and much more.Nikikutajia aina ya biashara ambazo nimewahi kufanya unaweza usiamini ili naweza nikakupa fact moja tu.(Nilizijenga zikakua,na nikaona kwamba hazilipi kadiri ya matarajio yangu nikazifunga na nikajaribu aina nyingine na nyingine.Kutokulipa kwa biashara sababu moja wapo ilikuwa na upungufu wa mtaji na profit margin ndogo na gharama kubwa za uendeshaji na too much efforts with very litle gain) Kwa ufupi biashara nimefanya mkuu.

Iwapo unataka nikupe abc za kukua kibiashara tuwasiliane kwa whatsap +255715323060 au emai:masokotz@yahoo.com and you will be amazed.
 
Mkuu hii ninayofanya yenyewe ni biashara mkuu,Au wewe unataka kujua biashara zote ambazo nimewahi kufanya?Huwa I share that with my clients ili kuwapa mwanga juu ya uzoefu wangu na changamoto ambazo zimenifanya niamue hasa kutoa huduma za consultancy kwa SMEs na Start ups.

Kimsingi nimeshafanya biashara tena za aina nyingi kuanzia,Kuuza Chips,Kuuza supu,Kuuza genge,Duka la reja reja,Duka la jumla,Duka la spare za Magari,Import,Network Marketing,Online business za aina tofauti and much more.Nikikutajia aina ya biashara ambazo nimewahi kufanya unaweza usiamini ili naweza nikakupa fact moja tu.(Nilizijenga zikakua,na nikaona kwamba hazilipi kadiri ya matarajio yangu nikazifunga na nikajaribu aina nyingine na nyingine.Kutokulipa kwa biashara sababu moja wapo ilikuwa na upungufu wa mtaji na profit margin ndogo na gharama kubwa za uendeshaji na too much efforts with very litle gain) Kwa ufupi biashara nimefanya mkuu.

Iwapo unataka nikupe abc za kukua kibiashara tuwasiliane kwa whatsap +255715323060 au emai:masokotz@yahoo.com and you will be amazed.

Mie nakushauri tafuta mtaji fanya biashara yako mwenyewe! Kidogo Kuna ugumu sana..wafanyabiashara wengi kwasasa Wana upeo mkubwa Sana wa abc za biashara! Yaan mie sijaona umuhimu huo bado... Kila kitu Kiko mitandaoni ukae ukijua
 
Mie nakushauri tafuta mtaji fanya biashara yako mwenyewe! Kidogo Kuna ugumu sana..wafanyabiashara wengi kwasasa Wana upeo mkubwa Sana wa abc za biashara! Yaan mie sijaona umuhimu huo bado... Kila kitu Kiko mitandaoni ukae ukijua
Unafikiri sifanyi biashara nyingine?Unafikiri wafanya biashara wanajua abc za biashara?Unafaikiri kila kitu kuwa mtandaoni kunafanya huduma za consultants zisihitajike?

That is a wrong thinking.I will give you a proof if you let me.
 
Unafikiri sifanyi biashara nyingine?Unafikiri wafanya biashara wanajua abc za biashara?Unafaikiri kila kitu kuwa mtandaoni kunafanya huduma za consultants zisihitajike?

That is a wrong thinking.I will give you a proof if you let me.

Inategemea....binafsi nimepata experience za kutosha Sana Sana nadhani sitaona jipya!..all the best
 
Kwanza nianze kwa kusema kwamb mimi ni msahuri mwelekezi wa Kibiasha kwa wajasiriamali wadogo na wakati hasa wanaofanya biashara zneye Mtaji au annual turnover ya kati yz TZS 10,000 hadi TZS Milion 500.

Nimebahatika kufanya kazi na wajasiriamali wengi na nikagundua kwamba Wajasiriamali wengi wanakwama na kushindwa katika biashara kwa sababu ya kutokufahamu nafasi na jinsi ya kuwatumia Business Consultant.Wengi huamini katika hadithi za kusimuliwa,uzoefu na stori za hapa na pal.Hali hupelekea wengi wao kufanya makosa yale yale yanayopelekea biashara zao kutokukua.

Mshauri katika biashara yoyote ana nafasi kubwa ka mentor,critic na motivator,Mentor anakupa mwongozo,Critic anakufanya ufikiri zaidi na motivator anakutia moyo.Unapofanya biashara yeyote ni lazima uwe na watu wote watatu au ue na mmoja anayefanya kazi zote tatu.Huyu anaitwa Consultant.

Kzi ya consultant ni kufikiri badala yako,kupanga badala yako,kutafuta taarifa badala yako.Nimekutana na watu wengi sana ambao hawataki habari za ushauri na wengine wanatka kupewa ushauri wa bure bila kulipia.Kitu wasichojua ni kwamba sisi tumewekeza rasilimali katika kutafuta taarifa na maarifa pamoja na kujenga mtandao.Wanataka tu msaada lakini ukiwaonjesha kidogo kisha ukataka wakulipe wanachukizwa

Vile vile wengine wanakuwa na kasumba ya kujifanyia mambo kienyeji jambo ambalo nalo linashangaza sana hasa ukizingatia wengine ni wasomi wakuwa kabisa.

Niwaombe wajasiriamali wote wadogo na wakubwa,usiogope kutumia gharama ili kupata taarifa na maarifa sahihi.
Tunaomba wadhifa CV yako hapa tukupe kazi tafadhali ! !
 
Tafuta 'Biashara' 10 zishauri, zikue na zisimame.

Then ziweke kwenye 'sample portifolio' yako na kupitia kwazo utapata wateja wengi tu kupitia Recommendation.

Maana consultants wengi wa bongo mnashauri mambo yaliyo nje ya uhalisia na kufanya vitu ambavyo hata wasio wataalamu wanafanya
 
Tunaomba wadhifa CV yako hapa tukupe kazi tafadhali ! !
In Brief:
Age 30+
Work Experience:15+Years in Employment,Business and Consulting
Business Experience

First Business Started in :2003:
Second Business in 2007
Third Business in 2009
Fourth Business in 2012
Fifth Business 2014
Sixth business 2016
Seventh business 2019
Ninth business 2020

Work Experience:

First Job in 2007
Second Job in 2008
Third Job in 2009
Fourth Job in 2011
Fifth Job in 2012
Sixth Job in 2014
Seventh Job in 2016
Eighth and Current Job in 2018

Education:
1 Degree
1 Diploma
4 Certificate
12 Certifications
and I am still learning
Consulting Clients
Past number of clients:23
Pro bono Consulting 45
Current Assignements 13

For work discussion:Whatsap +255715323060 Email:masokotz@yahoo.com
 
Back
Top Bottom