Daladala zenu attcl safirishieni koroshow tu!...😹🤣🤣nchi ya viwonder!Ndege ambayo sitapanda tena ni KQ Nilipanda mara moja miaka kumi iliyopita nilijuuuta Aiport ya Nairobi kelele uchafu utapeli n. Tutaendelea kupanda KLM SWISS AIR ETHIOPIAN Airline kaaeni na ndege zenu msafirishe mboga mboga
Kwa taarifa yako tunapanda KLM, Emirate, Dubai Air, SA Airline, Ethiopian Airline na wala siyo kwamba tunategemea shirika lenu linalojikongoja!Kwa miaka kadhaa sasa nimekuwa nikisoma hapa Jf jinsi wabongo wanavyojichokea kwa kutegemea Kenya airways kwa sana. Ninyi huwa mna hisi uchungu fulani kwamba mukitaka kuenda nje lazima mupande ndege ya Kenya. Huwa mkiona KQ kwenye airport yenu huwa mnakereka sana ila hamna namna. Inabidi mpande tu kwa sababu nyie hamna ndege yenu inayokatiza anga nje ya Afrika. Hata hiyo Mumbai sidhani kama dreamliner yenu imeanza safari. Mkitaka kuenda Uchina, Marekani, Uingereza lazima mupande midege yetu. Poleni sana
Kuna ndege inatoka Dsm straight to Amsterdam (KLM), DSM to Addis tuna connect to european destination , kwa case ya Asia hapo ndio kabisaaa ATCL os about to lunch direct flight to china hapa kote sioni KQ , naa hapo kumbuka kuna mashirika makubwa kama Turkey, Qatar, Oman air, Emirates, Swissair, hapo kote huoni KQKwa miaka kadhaa sasa nimekuwa nikisoma hapa Jf jinsi wabongo wanavyojichokea kwa kutegemea Kenya airways kwa sana. Ninyi huwa mna hisi uchungu fulani kwamba mukitaka kuenda nje lazima mupande ndege ya Kenya. Huwa mkiona KQ kwenye airport yenu huwa mnakereka sana ila hamna namna. Inabidi mpande tu kwa sababu nyie hamna ndege yenu inayokatiza anga nje ya Afrika. Hata hiyo Mumbai sidhani kama dreamliner yenu imeanza safari. Mkitaka kuenda Uchina, Marekani, Uingereza lazima mupande midege yetu. Poleni sana
Wakenya wengi hawaijui tz au dunia inaendaje kiujumla.Mh ndugu tukakupime akili .... Kuna ndege inatoka Dsm straight ro amsterdam (KLM), DSM to Addis tuna connect to european destination , kwa case ya Asia hapo ndio kabisaaa ATCL os about to lunch direct flight to china hapa kote sioni KQ , naa hapo kumbuka kuna mashirika makubwa kama Turkey, Qatar, Oman air, Emirates , Swissair, hapo kote huoni KQ
Hapa ni kweli na mm nime cemwnt ile kauli ya yule professor. Yaan hawa jamaa wanapigana na adui ambae hawa mjui . Yaan jamaa ana hoji eti ATCL hajui kama zina kwenda mumbai ...hajui during corona ndege zetu zime fanya evacuation za kutosha tena hapo mumbai zaidi ya mara 3 tena mara zote zikiwa zime jamaa abiria 100 +Wakenya wengi hawaijui tz au dunia inaendaje kiujumla.
Atcl mzee ina kwenda mumbai safari 3 kwa wiki (if not mistaken) isitoshe kumbuka tuna ndege mpyaa mfano juzi hapa B787 ilifanya evacuation ya watz 255 waliokuwa china ndege ilitoka dar na kutua china ikabeba watu na kugeuza siku iyo iyo in addition ATCL imeaha fanya evacuation za watz walio kwama india more than 3 time kwa ndege zetu wenyewe.Kwa miaka kadhaa sasa nimekuwa nikisoma hapa Jf jinsi wabongo wanavyojichokea kwa kutegemea Kenya airways kwa sana. Ninyi huwa mna hisi uchungu fulani kwamba mukitaka kuenda nje lazima mupande ndege ya Kenya. Huwa mkiona KQ kwenye airport yenu huwa mnakereka sana ila hamna namna. Inabidi mpande tu kwa sababu nyie hamna ndege yenu inayokatiza anga nje ya Afrika. Hata hiyo Mumbai sidhani kama dreamliner yenu imeanza safari. Mkitaka kuenda Uchina, Marekani, Uingereza lazima mupande midege yetu. Poleni sana
Mjinga wewe na utabaki na ujinga wako. Kuna mashirika mengi ya ndege yanakuja Tanzania na kwenda Dunia nzima
KLM, Swiss, Turkish, Qatar, Emirates, Egyptair, Ethiopian etc wote wanakuja Tanzania. Ngoja KQ ipigwe ban kuja Tanzania uone nani ataanza kulia.
Haimaanishi Kama mna ndege, ndege za nchi zingine haziji kwenu, kama haitaruhusiwa Basi hio yenu pia haitokuja kenya.Ni swala la muda tu,Cha muhimu ni kwamba tuna ndege na tunaendelea kununua,Hili swala la Corona likiisha na kuanza safari za China, Mumbai nk,sidhani Kama KQ itakanyaga bongo.
Emirate, Qatar, Klm, wali resume flight to Dam mapema sana mwezi uliopita. Sijui ww unafikiria Tz no KQ pekee ndio wanao tuwa hapa, Ila pia hata haka ka Rwandair kanastahili ban.Haimaanishi Kama mna ndege, ndege za nchi zingine haziji kwenu ,Kama haitaruhusiwa Basi hio yenu pia haitokuja kenya.