Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Munakuanga na utoto na ukumbavu wa hali ya juu. Mijungu full kama wachawi. MK254 hebu ona hawa wenzako wanavyopenda kulipiza kisasi. Hawa watu wanapenda bifu sana.
Tayari, tunasubiri reactionMjinga wewe na utabaki na ujinga wako. Kuna mashirika mengi ya ndege yanakuja Tanzania na kwenda Dunia nzima
KLM, Swiss, Turkish, Qatar, Emirates, Egyptair, Ethiopian etc wote wanakuja Tanzania. Ngoja KQ ipigwe ban kuja Tanzania uone nani ataanza kulia.
Mmeanza, tumejibuHaimaanishi Kama mna ndege, ndege za nchi zingine haziji kwenu ,Kama haitaruhusiwa Basi hio yenu pia haitokuja kenya.
Munakuanga na utoto na ukumbavu wa hali ya juu. Mijungu full kama wachawi. MK254 hebu ona hawa wenzako wanavyopenda kulipiza kisasi. Hawa watu wanapenda bifu sana.
MK254: ninyi mnafurahia maamuzi ya Rais Uhuru na Sisi tunafurahia maamuzi ya Rais Magufuli kwahiyo kila mtu anafuraha wala hakuna tatizo sababu sote tunafuraha,
Sasa mbona mmeanza kulia lia kule twitter [emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda twitter ingia trending in Tanzania uone namna wakenya wanavyolia.Hakuna mtu anaelia isipokua kila mmoja anafurahia maamuzi ya Rais wake
Kwa mara ya kwanza nimejikuta nafurahi sana kwa hatua za rais Uhuru, amedhihirisha kwamba afya ya Wakenya ni muhimu kuzidi maslahi ya kiuchumi, na akaamua kama mbwai na iwe mbwai, alifunga mpaka na ikaamuliwa kila Mtanzania anayekuja huku lazima apimwe, wakang'aka sana, wakatunisha misuli, wakapiga makelele, ila hatimaye wakatulia, leo hii hakuna anayeingia bila kupimwa tena na wataalam wetu.
Hata hili la ndege, wacha iwe hivyo, bora tupoteze hiyo biashara lakini Wakenya wabaki salama, hawa jamaa walishajichokea wanataka wasambaze corona kote kote.
Wakikataliwa Kenya huwa wanalia sana.
Binafsi nimepata faraja kuona rais Uhuru ameanza kufanya maamuzi magumu dhidi yao....
Muhimu ikafahamika kwenye nyanja zote kwamba Tanzania is a hostile neighbor japo wanafiki sana, usipokua makini watakuchelewesha sana.
Na ndio maana tuliwachagua ili wawe wanafanya maamuzi yenye maslahi kwa ajili yetu, wa kwenu kafanya yake kwa maslahi ya Watanzania, vile vile wetu katanguliza maslahi yetu mbele, kwa hivyo tuendelee, tuviziane kwenye kingine pia na kufungiana mpaka kila mmoja ajihisi salama, kwa sasa mambo ya uchumi tumeweka pembeni, ubora wa afya yetu kama jamii ndio kitu cha msingi.
Leo hii hata Marekani ambao wana undugu wa karibu na Uingereza lakini wamefungiana vitu vingi sana na maisha yanaendelea, na ndio taswira kote, nenda Uhispania na Ufaransa hawaonani, bara Uropa kote wamefungiana, ndio ngoma ya corona ilivyo. Uzuri wa hii corona imedhihirisha kumbe kuna mambo yanaweza kuendelea hata bila uwepo wa uhusiano baina yetu, kwa mfano leo tumefunga mpaka lakini mambo yanaenda, hatujaathirika sana kiuchumi kama tulivyokua tukiogopa hapo awali, na hii imetupatia ujasiri sana.
Hiyo hela ya korona mliyo kopa $1bil inakwisha mwezi huu ,wewe subiri huone huu mwaka aujaisha lazima huu mwaka mtii tena jiandaeni na super lockdown niliwaambia mnafungua nchi lazima mtafunga tena naona vyuo mmefunga tena na mabaaNa ndio maana tuliwachagua ili wawe wanafanya maamuzi yenye maslahi kwa ajili yetu, wa kwenu kafanya yake kwa maslahi ya Watanzania, vile vile wetu katanguliza maslahi yetu mbele, kwa hivyo tuendelee, tuviziane kwenye kingine pia na kufungiana mpaka kila mmoja ajihisi salama, kwa sasa mambo ya uchumi tumeweka pembeni, ubora wa afya yetu kama jamii ndio kitu cha msingi.
Leo hii hata Marekani ambao wana undugu wa karibu na Uingereza lakini wamefungiana vitu vingi sana na maisha yanaendelea, na ndio taswira kote, nenda Uhispania na Ufaransa hawaonani, bara Uropa kote wamefungiana, ndio ngoma ya corona ilivyo. Uzuri wa hii corona imedhihirisha kumbe kuna mambo yanaweza kuendelea hata bila uwepo wa uhusiano baina yetu, kwa mfano leo tumefunga mpaka lakini mambo yanaenda, hatujaathirika sana kiuchumi kama tulivyokua tukiogopa hapo awali, na hii imetupatia ujasiri sana.
Haha!🤣🤣 My brother MK254, can you be authentic and stop being phony at some point? In fact, Kenyatta has botched to meet the anticipations of Kenyans, I don't like what's going on now because I understand that these two countries are very economically interdependent, but you don't want to see it because of your Tz vs Ke idiotic rivalry. This conflict will not get us anywhere other than to bring pain to the poor citizens of the two countries...
Mkuu KLM imeanza kuja dar lini?Mjinga wewe na utabaki na ujinga wako. Kuna mashirika mengi ya ndege yanakuja Tanzania na kwenda Dunia nzima
KLM, Swiss, Turkish, Qatar, Emirates, Egyptair, Ethiopian etc wote wanakuja Tanzania. Ngoja KQ ipigwe ban kuja Tanzania uone nani ataanza kulia.
Tunafanya ulicho kifanya wewe unasema tunataka beef,wakati tulichokifanya ni sawa ulichofanya wewe.Munakuanga na utoto na ukumbavu wa hali ya juu. Mijungu full kama wachawi. MK254 hebu ona hawa wenzako wanavyopenda kulipiza kisasi. Hawa watu wanapenda bifu sana.
Utajuaje wakati umekalia ubishi wa kishamba humu!Mkuu KLM imeanza kuja dar lini?
Hapo unaandika kishujaa lakini rohoni unaumia sanaKwa mara ya kwanza nimejikuta nafurahi sana kwa hatua za rais Uhuru, amedhihirisha kwamba afya ya Wakenya ni muhimu kuzidi maslahi ya kiuchumi, na akaamua kama mbwai na iwe mbwai, alifunga mpaka na ikaamuliwa kila Mtanzania anayekuja huku lazima apimwe, wakang'aka sana, wakatunisha misuli, wakapiga makelele, ila hatimaye wakatulia, leo hii hakuna anayeingia bila kupimwa tena na wataalam wetu.
Hata hili la ndege, wacha iwe hivyo, bora tupoteze hiyo biashara lakini Wakenya wabaki salama, hawa jamaa walishajichokea wanataka wasambaze corona kote kote.
Wakikataliwa Kenya huwa wanalia sana.
Binafsi nimepata faraja kuona rais Uhuru ameanza kufanya maamuzi magumu dhidi yao....
Muhimu ikafahamika kwenye nyanja zote kwamba Tanzania is a hostile neighbor japo wanafiki sana, usipokua makini watakuchelewesha sana.