Ukiangalia reaction za wengi wanawafundisha polisi kazi na mbinu pasipo kukua polisi anamafunzo kama huyo mwalimu Alivyo pitia chuo.Kwenye hili suala mwalimu aliyesoma kuchambua sentensi kwa njia ya matawi na aliyesoma Fizikia wana tofauti gani? Au unamaanisha nini?
View attachment 1908462
Mkuu jitolee kuwafunza shabaha.
Tatizo wamerelax sana maana kazi yao huwa ni kuzibeba tu.Na akikosa mara mbili napiga ya sikio
Mafunzo yetu yalikuwa magumu sana
Uko kwenye boat inayokimbia na unalenga [emoji457] target
Sasa hawa mtu kasimama na unakosa kwa risasi zote hizo
Hao walikuwa madereva tu naona [emoji23]
Tatizo maneno yao huwa yanatufanya tuamini wapo vizuri kuliko uzuri wenyewe...sasa nahisi huwa ni mikwala tuBila kupepesa macho wala kutikisa kichwa Wabongo tumejariwa unafiki tena wa Hali ya juu.
Hii ni juu ya tukio lililo tokea leo maeneo ya Uoanga huko Dar es salaam.
Ukiangalia comment za wadau juu ya tukio hilo wanaliingiza kwenye mambo mawili tofauti.
Mosi ikiwa ni siasa na pili ikiwa ni uzembe wa Polisi kitu ambacho sicho.
Imagine police walivyo jitahidi kadiri ya uwezo wao wewe mtu ambae upo mbali na tukio unakuja kuanza kuwashutumu polisi eti ni wazembe mara wangemoiga miguuni au mikononi ili wapate kumhoji, hivi mpaka mtu ajitoe hivyo na wewe upige miguu au mikono harafu uende kichwa kichwa unajua kuna nani nyuma yake? Je, kama yeye ni chambo utajuaje?
Hapo ndo anakuja mtu ambaye hata mazoezi ya Mgambo yalimushinda anaanza kumlaumu police.
Watanzania tujitafakari ukiwa sehemu ya tukio ni hali tofauti na aliye JF hivyo kama hujui kausha siyo uanze kulaumu tu.
Pia swala la kuhusisha mara ni mwana chama wa chama fulani kwa kutoa piacha akiwa amevalia sare na kuonyesha kadi ya chama na mbaya zaidi kila mtu anatoa kuwa jamaa wa chama hiki mwingine chama kile.
Kwani tukio analifanya binafsi kama mtu au kama mwanachama? Basi wabongo tujitafakari.
Na pia wengine wameanza kutoa yao eti jamaa alikuwa na ugonjwa wa akili angekuwa timamu asinge fanya hivyo, sawa siwezi wapinga sababu sina uhakika kwa hilo.
Je, siku hizi machizi wanavamia kwa kutumia silaha harafu wanachukua silaha yaani kichaa ametarget hayo yote kweli? Labda ni kweli ila kwa nini tunasema kana kwamba tunaujua ukweli.
Wabongo mjitafakari.
Unakuta hata mwalimu aliye soma kuchambua sentensi kwa njia ya matawi nae analeta porojo hapa eti walikosea, sasa wewe hao ndo wenye taaluma zao waache
"No research no right to speak kindly be informed" ni hayo tu.
Povu ruksa
Kwakweli kiongozi tulia tu tuwalaumu vizuri mission kama hizi angepewa hata muwindaji tu! Yani angelenga mikono tu na mtuhumiwa asingekuwa na madharaLazima wapige nao mikwala waogopeke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23], wanazo za kupiga upinzani tu au hukuskia kuna risasi ililengwa na askari ilipinda kona na kumpiga mtuKama police hawana shabaha kwa nini tusiongee
Tatizo wamerelax sana maana kazi yao huwa ni kuzibeba tu.
Ila kutumia ndo hawatumii
Ni njaa ndio inasababisha, sasa ili tupunguze inatakiwa tushibe... Ila kama njaa itaendelea kuwa nasi basi unafki hatutoacha.Basi walau tupunguze.
Mbona wapinzani huwa mnawaonea!?? Na kujifanya mu wajuaji!?? Hapo vipi!?? Pambaneni na hali zenu !!!Bila kupepesa macho wala kutikisa kichwa Wabongo tumejariwa unafiki tena wa Hali ya juu.
Hii ni juu ya tukio lililo tokea leo maeneo ya Uoanga huko Dar es salaam.
Ukiangalia comment za wadau juu ya tukio hilo wanaliingiza kwenye mambo mawili tofauti.
Mosi ikiwa ni siasa na pili ikiwa ni uzembe wa Polisi kitu ambacho sicho.
Imagine police walivyo jitahidi kadiri ya uwezo wao wewe mtu ambae upo mbali na tukio unakuja kuanza kuwashutumu polisi eti ni wazembe mara wangemoiga miguuni au mikononi ili wapate kumhoji, hivi mpaka mtu ajitoe hivyo na wewe upige miguu au mikono harafu uende kichwa kichwa unajua kuna nani nyuma yake? Je, kama yeye ni chambo utajuaje?
Hapo ndo anakuja mtu ambaye hata mazoezi ya Mgambo yalimushinda anaanza kumlaumu police.
Watanzania tujitafakari ukiwa sehemu ya tukio ni hali tofauti na aliye JF hivyo kama hujui kausha siyo uanze kulaumu tu.
Pia swala la kuhusisha mara ni mwana chama wa chama fulani kwa kutoa piacha akiwa amevalia sare na kuonyesha kadi ya chama na mbaya zaidi kila mtu anatoa kuwa jamaa wa chama hiki mwingine chama kile.
Kwani tukio analifanya binafsi kama mtu au kama mwanachama? Basi wabongo tujitafakari.
Na pia wengine wameanza kutoa yao eti jamaa alikuwa na ugonjwa wa akili angekuwa timamu asinge fanya hivyo, sawa siwezi wapinga sababu sina uhakika kwa hilo.
Je, siku hizi machizi wanavamia kwa kutumia silaha harafu wanachukua silaha yaani kichaa ametarget hayo yote kweli? Labda ni kweli ila kwa nini tunasema kana kwamba tunaujua ukweli.
Wabongo mjitafakari.
Unakuta hata mwalimu aliye soma kuchambua sentensi kwa njia ya matawi nae analeta porojo hapa eti walikosea, sasa wewe hao ndo wenye taaluma zao waache.
"No research no right to speak kindly be informed" ni hayo tu.
Povu ruksa
Nao wanadamu wanaogopa wewe jamaa kajiamini kiasi hicho unazani kazi.Kiukweli vyombo vya usalama havikutakiwa kumuua ndugu Hamza, watu wa usalama laiti wangekua na smart wangempiga sahemu nyngine ili tu kumnyong'onyeza na sio kumuua. Hilo limesababisha kukosa taarifa za uchunguzi toka kwa muhusika.