Wabongo tuache unafiki

Wabongo tuache unafiki

Sawa tumekusikia lakini unatakiwa ujue kuwa unafiki hatuwezi kuacha,maana upo Kwa wananchi,Kwa viongozi,Kwa wanamuziki,viongozi wa dini, wanamichezo kote huko unafiki upo....
Basi walau tupunguze.
 
Mkuu jitolee kuwafunza shabaha.

Na akikosa mara mbili napiga ya sikio
Mafunzo yetu yalikuwa magumu sana
Uko kwenye boat inayokimbia na unalenga [emoji457] target
Sasa hawa mtu kasimama na unakosa kwa risasi zote hizo
Hao walikuwa madereva tu naona [emoji23]
 
Na akikosa mara mbili napiga ya sikio
Mafunzo yetu yalikuwa magumu sana
Uko kwenye boat inayokimbia na unalenga [emoji457] target
Sasa hawa mtu kasimama na unakosa kwa risasi zote hizo
Hao walikuwa madereva tu naona [emoji23]
Tatizo wamerelax sana maana kazi yao huwa ni kuzibeba tu.
Ila kutumia ndo hawatumii
 
Bila kupepesa macho wala kutikisa kichwa Wabongo tumejariwa unafiki tena wa Hali ya juu.

Hii ni juu ya tukio lililo tokea leo maeneo ya Uoanga huko Dar es salaam.

Ukiangalia comment za wadau juu ya tukio hilo wanaliingiza kwenye mambo mawili tofauti.

Mosi ikiwa ni siasa na pili ikiwa ni uzembe wa Polisi kitu ambacho sicho.

Imagine police walivyo jitahidi kadiri ya uwezo wao wewe mtu ambae upo mbali na tukio unakuja kuanza kuwashutumu polisi eti ni wazembe mara wangemoiga miguuni au mikononi ili wapate kumhoji, hivi mpaka mtu ajitoe hivyo na wewe upige miguu au mikono harafu uende kichwa kichwa unajua kuna nani nyuma yake? Je, kama yeye ni chambo utajuaje?

Hapo ndo anakuja mtu ambaye hata mazoezi ya Mgambo yalimushinda anaanza kumlaumu police.

Watanzania tujitafakari ukiwa sehemu ya tukio ni hali tofauti na aliye JF hivyo kama hujui kausha siyo uanze kulaumu tu.

Pia swala la kuhusisha mara ni mwana chama wa chama fulani kwa kutoa piacha akiwa amevalia sare na kuonyesha kadi ya chama na mbaya zaidi kila mtu anatoa kuwa jamaa wa chama hiki mwingine chama kile.

Kwani tukio analifanya binafsi kama mtu au kama mwanachama? Basi wabongo tujitafakari.

Na pia wengine wameanza kutoa yao eti jamaa alikuwa na ugonjwa wa akili angekuwa timamu asinge fanya hivyo, sawa siwezi wapinga sababu sina uhakika kwa hilo.

Je, siku hizi machizi wanavamia kwa kutumia silaha harafu wanachukua silaha yaani kichaa ametarget hayo yote kweli? Labda ni kweli ila kwa nini tunasema kana kwamba tunaujua ukweli.
Wabongo mjitafakari.

Unakuta hata mwalimu aliye soma kuchambua sentensi kwa njia ya matawi nae analeta porojo hapa eti walikosea, sasa wewe hao ndo wenye taaluma zao waache
"No research no right to speak kindly be informed" ni hayo tu.
Povu ruksa
Tatizo maneno yao huwa yanatufanya tuamini wapo vizuri kuliko uzuri wenyewe...sasa nahisi huwa ni mikwala tu
 
Kwakweli kiongozi tulia tu tuwalaumu vizuri mission kama hizi angepewa hata muwindaji tu! Yani angelenga mikono tu na mtuhumiwa asingekuwa na madhara
Ngoja tuunganishe dots bila shaka mwisho utaelewa kwa nini kilifanyika hiki.
 
Jamaa yupo katika ya barabara nusu saa nzima askari wanafuatua hewa tu

Hawa wanajua kushughulikia wapinzani tu
 
Jamaa yupo katika ya barabara nusu saa nzima askari wanafuatua hewa tu

Hawa wanajua kushughulikia wapinzani tu
Hawana experience na vita watafanya nini unazani.
 
Kiukweli vyombo vya usalama havikutakiwa kumuua ndugu Hamza, watu wa usalama laiti wangekua na smart wangempiga sahemu nyngine ili tu kumnyong'onyeza na sio kumuua. Hilo limesababisha kukosa taarifa za uchunguzi toka kwa muhusika.
 
Bila kupepesa macho wala kutikisa kichwa Wabongo tumejariwa unafiki tena wa Hali ya juu.

Hii ni juu ya tukio lililo tokea leo maeneo ya Uoanga huko Dar es salaam.

Ukiangalia comment za wadau juu ya tukio hilo wanaliingiza kwenye mambo mawili tofauti.

Mosi ikiwa ni siasa na pili ikiwa ni uzembe wa Polisi kitu ambacho sicho.

Imagine police walivyo jitahidi kadiri ya uwezo wao wewe mtu ambae upo mbali na tukio unakuja kuanza kuwashutumu polisi eti ni wazembe mara wangemoiga miguuni au mikononi ili wapate kumhoji, hivi mpaka mtu ajitoe hivyo na wewe upige miguu au mikono harafu uende kichwa kichwa unajua kuna nani nyuma yake? Je, kama yeye ni chambo utajuaje?

Hapo ndo anakuja mtu ambaye hata mazoezi ya Mgambo yalimushinda anaanza kumlaumu police.

Watanzania tujitafakari ukiwa sehemu ya tukio ni hali tofauti na aliye JF hivyo kama hujui kausha siyo uanze kulaumu tu.

Pia swala la kuhusisha mara ni mwana chama wa chama fulani kwa kutoa piacha akiwa amevalia sare na kuonyesha kadi ya chama na mbaya zaidi kila mtu anatoa kuwa jamaa wa chama hiki mwingine chama kile.

Kwani tukio analifanya binafsi kama mtu au kama mwanachama? Basi wabongo tujitafakari.

Na pia wengine wameanza kutoa yao eti jamaa alikuwa na ugonjwa wa akili angekuwa timamu asinge fanya hivyo, sawa siwezi wapinga sababu sina uhakika kwa hilo.

Je, siku hizi machizi wanavamia kwa kutumia silaha harafu wanachukua silaha yaani kichaa ametarget hayo yote kweli? Labda ni kweli ila kwa nini tunasema kana kwamba tunaujua ukweli.
Wabongo mjitafakari.

Unakuta hata mwalimu aliye soma kuchambua sentensi kwa njia ya matawi nae analeta porojo hapa eti walikosea, sasa wewe hao ndo wenye taaluma zao waache.

"No research no right to speak kindly be informed" ni hayo tu.

Povu ruksa
Mbona wapinzani huwa mnawaonea!?? Na kujifanya mu wajuaji!?? Hapo vipi!?? Pambaneni na hali zenu !!!
Eti!! Mtu ana bastola anapora bunduki mbili kwa mpigo!?? Hahaaa hahaa aiseee
 
Ni njaa ndo inasababisha,sasa ili tupunguze inatakiwa tushibe..Ila kama njaa itaendelea kuwa nasi basi unafki hatutoacha.
Ili tushibe inatakiwa waache tozo eti
 
Kiukweli vyombo vya usalama havikutakiwa kumuua ndugu Hamza, watu wa usalama laiti wangekua na smart wangempiga sahemu nyngine ili tu kumnyong'onyeza na sio kumuua. Hilo limesababisha kukosa taarifa za uchunguzi toka kwa muhusika.
Nao wanadamu wanaogopa wewe jamaa kajiamini kiasi hicho unazani kazi.
 
Back
Top Bottom