Wabongo tumekichafua Insta.. Picha ya Miss TZ ina Comments nyingi kuliko followers

BARAKA ZINAKUJA TANZANIA KAA MKAO WA KUZIDAKA. ..
 
Kuwa na positive thoughts baraka zako zitafunguka
 
Tanzania ndo nchi inayoongoza duniani kwa raia wake kutokuwa na kaz na haya ndo madhara yake japokuwa hapa ni faida
 
Inawezekana kulike picha ya mtu ambaye haumfuati na kukomenti pia, inawezekana ww tu hauna huo utaalam
 
Inatia huruma vinchi vingine comments 3. I think tz bando ze2 n rahic au ndo kukosa kaz
 
Sijajianika na kujiuza kwa wazungu kama afanyavyo huyo mjinga mwenzenu.

Vipi, mama'ko na dada'ko wanjiachia uchi au nusu uchi mbele yako?
bibi naomba msaada hatua za kufuata katika ufugaji wa nguruwe
 
Inatia huruma vinchi vingine comments 3. I think tz bando ze2 n rahic au ndo kukosa kaz
kwani mkuu kuandika tanzania na hayo maelezo yako yapi mengi? na wewe hauna kazi?
 
Je, hizo likes na comments zinachangia ktk kumfanya awe mshindi?
 
Watz wengi tunapenda ushindi.wa mezani watu wanalilia tuzo mpaka ushindi unatenguliw
 
nimetoka kucomment huko dk chache zilizopita,
 
Hii ndo shida nchi zilizokuwa za kijamaa kugundua ubepari wananchi wanakuwa na mihemko ya kijinga. Miss world nacho ni kitu cha kujivunia kama nchi?? Kwenye michezo tupo zero, elimu zero mnashangilia Miss vichupi this is sad.
 
Sijajianika na kujiuza kwa wazungu kama afanyavyo huyo mjinga mwenzenu.

Vipi, mama'ko na dada'ko wanjiachia uchi au nusu uchi mbele yako?


Kuliko kumegwa na wauza mkaa bongo kama team fulani si bora nimuuze kwa wazungu kama akina fulani majuzi juzi nimeona wanakunja one bilioni Parisi. So hoja ya kutembea uchi kwa wazungu haina mashiko maadam halazimishwi mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…