Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,083
Daah... Hili ni balaa lazima dunia isimame..
Lazima dunia ijue kuwa Kuna nchi inaitwa Tanzania..
Pongezi kubwa Kwa Mange Kimambi japo huwa namchambaga anapoongelea siasa..
Go the na andika Tanzania inatosha... Hata ikiwezekana andika moja ya kivutio cha utalii unachojivunia...
Lazima dunia ijue kuwa Kuna nchi inaitwa Tanzania..
Pongezi kubwa Kwa Mange Kimambi japo huwa namchambaga anapoongelea siasa..
Go the na andika Tanzania inatosha... Hata ikiwezekana andika moja ya kivutio cha utalii unachojivunia...