Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 568
Mbongo avae hivyo na hicho kitambi atakiweka wapi?
Waxing jee?!
Taratibu wewe ustutukanie :frog::eyeroll1:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbongo avae hivyo na hicho kitambi atakiweka wapi?
Waxing jee?!
Si bora angevua kabisa akatembea bila nguo kabisa????. Vikundi vya kutetea haki za akina mama huwa vinakuwa wapi watu kama hawa wanapowadhalilisha akina mama??? Sasa hapo akibakwa atasema kaonewa au yeye amewakaribisha wabakaji???
Mbongo avae hivyo na hicho kitambi atakiweka wapi?
Waxing jee?!
jamani mbona mnatusimanga kina madam t, kitambi kinazuia nini sasa.. Si natafuta saizi yangu tu, swala ni kuamua kuvaa au kutokuvaa sio umbile, ngoja niitafute niivae nitawaletea picha muonee kama sitapendeza..
ukivaa upite mitaa ya kwetu mwaya maana na mi ntakuwa nnayo nshaweka oda kwa fundi tayari.
Si bora angevua kabisa akatembea bila nguo kabisa????. Vikundi vya kutetea haki za akina mama huwa vinakuwa wapi watu kama hawa wanapowadhalilisha akina mama??? Sasa hapo akibakwa atasema kaonewa au yeye amewakaribisha wabakaji???
We niambie tu mitaa ya kwenu na nipite saa ngapi, yaani masimango yamenihamasisha kweli kuvaa hilo vazi
Vaa kama umemiss kubakwa, huwajui wabongo vizuri, litatokea dungadunga usipotarajia utajuta maana hata zana haitakuwepo.
He! nimeaihirisha.. kumbe ntabakwa. Tatiana bwana tuache tu, tuwapotezee wanaodharau shepu za wenzao
Vaa kama umemiss kubakwa, huwajui wabongo vizuri, litatokea dungadunga usipotarajia utajuta maana hata zana haitakuwepo.
madam t hiyo avatar ni wewe kweli kweli?
View attachment 20076
Haya kazi kwenu wadada mnaopenda kwenda na wakati, igeni hii........!!!!!
Kweli hashyc, kuna kitu kinakutisha jamani
hivi mbona wanabaka hata watu waliojisitiri? Ukiangalia kwa undani sana matukio ya ubakaji utagundua hili.
Mbongo avae hivyo na hicho kitambi atakiweka wapi?
Waxing jee?!