Wabongo tunapenda kwenda na wakati, tuige na hii!!

Wabongo tunapenda kwenda na wakati, tuige na hii!!

He! nimeaihirisha.. kumbe ntabakwa. Tatiana bwana tuache tu, tuwapotezee wanaodharau shepu za wenzao

Madam T, ukuvaa hicho kivazi huwezi kubakwa, ila utaharibu plan za watu. Mfano, mtu alipanga kwenda Nairobi, lakini anaamua kuahirisha safari na kukufuatilia kujua unaelekea wapi?:smile-big:
 
he! Nimeaihirisha.. Kumbe ntabakwa. Tatiana bwana tuache tu, tuwapotezee wanaodharau shepu za wenzao

hahaaa,unaogopa kubakwa! Kweli uahirishe maana wanaharakati wanahamasishwa kweli kuhusu swala hili,unaweza jikuta umewekwa selo.
 
attachment.php

Huyu msichana ni mtanzania aliwahi kuwa Uk akarudi 2003, yuko dar anafanyakazi ofisi fulani pale quality plaza

inaonekan yupo katika ecting mana nyuma yake kuna kameramani.
 
Back
Top Bottom