Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Kwenye mada. Umewahi kutana au kusikia wabongo wakijisifu ujinga? Sijui ni kutojua au sijui ni nini? Mi nawakutaga wa hivi.
1. Mi mvivu sana kunywa dawa, yaani si malizagi kabisa. Wamenisema wameacha wenyewe. Hapo anongea kwa sifa. Hajui kuwa kutomaliza dawa kuna madhara makubwa na si jambo la kujisifia.
2. Mwingine utasikia, he, huyo! Mvivu kula kama nini!?. Wanaona kama ni sifa wao au watoto wao wakiwa wavivu kula.
3. Mwingine anaona sifa kuwa na allegy(mzio). Utasikia, kambale silagi kabisa(kwa tone ya sifa). Mwili wangu huu unachagua sana vyakula.
4. Afadhali siku hizi tumeelimika na tumeacha kujisifu kuwa na vitambi. Ila ninaona kama kuna katrend ka kujisifia kuwa na UTi!!.
Ni ujinga gani ulikuta wabongo wanajisifia.
1. Mi mvivu sana kunywa dawa, yaani si malizagi kabisa. Wamenisema wameacha wenyewe. Hapo anongea kwa sifa. Hajui kuwa kutomaliza dawa kuna madhara makubwa na si jambo la kujisifia.
2. Mwingine utasikia, he, huyo! Mvivu kula kama nini!?. Wanaona kama ni sifa wao au watoto wao wakiwa wavivu kula.
3. Mwingine anaona sifa kuwa na allegy(mzio). Utasikia, kambale silagi kabisa(kwa tone ya sifa). Mwili wangu huu unachagua sana vyakula.
4. Afadhali siku hizi tumeelimika na tumeacha kujisifu kuwa na vitambi. Ila ninaona kama kuna katrend ka kujisifia kuwa na UTi!!.
Ni ujinga gani ulikuta wabongo wanajisifia.